Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Ndani ya ccm
In God we Trust
Kwamba ufisadi ni jambo la kawaida
In God we Trust
Kwamba ufisadi ni jambo la kawaida
Endeleeni kupekecha hazina yetu enyi mchwa...ulitaka babako akapekeche
Endeleeni kupekecha hazina yetu enyi mchwa... milioni 200 na ushee za kujiburudisha achilia mbali per diemsulitaka babako akapekeche
Kwahiyo unaridhika na breakdown ya matumizi ya bilions za kodi yako kujiburudisha na kuweka vocha achilia mbali per diems?Nimeisoma post namba moja yote sijaona upotevu wowote wa pesa.
labda kuna mistari sijaisoma, hebu nieleze mstari upi unaongelea upotevu wa pesa zenu walipa kodi?
hakuna jipya hapo?Hayo "mapya" yaliyoibuka ni yepi?
Hivi una marinda kweli wewe?chadema mzidi kisusia kama kawaida yenu kutia mpira kwapani
Liko wapi?hakuna jipya hapo?
Achana na huyo zombieWapi wamezungumzia chadema kwenye hiyo taarifa ya upotevu wa mabilion?
Una tumbo LA kuharachadema mzidi kisusia kama kawaida yenu kutia mpira kwapani
Bajeti iko wapi na matumizi yako wapi? Sijaona.Kwahiyo unaridhika na breakdown ya matumizi ya bilions za kodi yako kujiburudisha na kuweka vocha achilia mbali per diems?
Kwa bajeti hiyo, 2020 itayeyuka zaidi ya Trillion moja. Na wanafiki mtakuja huku kutetea uchafu huo.
Kama nchi imezidi wajinga tutafanyaje?Jiwe atavunja rekodi ya ukwapuaji katika shamba la bibi.
Nisikiavyo wakati ule wa uchaguzi alikuwa anasema ni lazima tu shinde, wanaomzunguka walikuwa wanamjibu mzee hii ngoma bila milioni... ni ngumu.
Mzee anainuwa simu na kuamrisha wapewe.
Hakuna jipya, sababu ndani ya ccm ufisadi ni sehemu ya utamaduni wake... Nawashangaa wanaoshangaa.Sasa jipya lipi?
kuna ma roboti humu mkuu.ambayo hayasomi kilicho andikwa yenyewe ni ku coment tuu.Hapo chadema inahusika na nini?
Kitaturu,
Hakuna haja ya kuumiza kichwa kwa maswali kama hayo...!!
Ukweli ni kwamba FEDHA HII YOTE ILIKUWA NI PAMOJA NA GHARAMA ZA KUWANUNUA HAO WABUNGE WALIOKUWA WAKO UPINZANI ILI WAHAMIE CCM, RUSHWA KWA MAPOLISI NA TISS KUHAKIKISHA KURA ZOTE ZINACHAKACHULIWA NA KUPEWA WAGOMBEA WA CCM.....!!!Unakumbuka siku ile baada ya Kutangazwa mshindi Jimbo la UKONGA MAPOLISI WALIONEKANA WAKISHANGILIA NA KUSHEREKEA WAKIWA NA BASHITE.......HAWA NDO WALIOKULA HIYO PESA YA UCHAGUZI...!!
Kuna jimbo kama la Korogwe Vijijini HAKUKUWA NA UCHAGUZI ULIOFANYIKA LAKINI FIGURE IKO PALEPALE...!!
Wote waliotaka kuingia kwenye kinyanganyiro walipewa MPUNGA WA UHAKIKA na wakabwaga manyaga....ili CCM ipite kwa ULAINI.
Kwa lugha rahisi na nyepesi na bila kutafuna maneno... HII NI AINA MOJAWAPO YA UFISADI WA SERIKALI YA AWAMU HII YA 5.
Ndio story mlizokuwa mnapigiana kwenye vijiwe vya mbege mwezi Wa 12Jiwe atavunja rekodi ya ukwapuaji katika shamba la bibi.
Nisikiavyo wakati ule wa uchaguzi alikuwa anasema ni lazima tu shinde, wanaomzunguka walikuwa wanamjibu mzee hii ngoma bila milioni... ni ngumu.
Mzee anainuwa simu na kuamrisha wapewe.
Siyo maradufu; mara 3!