Mapya yaibuka uchaguzi wa marudio majimbo matatu

I agree, demokrasia ina gharama zake.....

Hata hivyo, haya matumizi yaliyorekodiwa hapa ni ufisadi mfupi kwa jina la "demokrasia ni gharama"....

Hebu cheki hii, eti TShs 629,000,000 zimetumika kwa ajili ya CHAKULA na VIBURUDISHO...

maswali ni haya:

1. Kina nani walikuwa wanakula chakula hiki?

2. Aina gani ya chakula?

3. Kina nani walikuwa "wanaburudishwa" na "kurutubishwa"?

4. Ikumbukwe kuwa kuna posho za kujikimu kwa kila aliyeshiriki zoezi hili. Hivi, unapopewa posho ya kujikimu si ndiyo gharama zako za malazi, chakula, kujiburudisha nk zinakuwa ndani? Iweje kuwe na fungu separate tena la chakula, VIBURUDISHO na virutubisho na wakati huo huo kuna posho???

4. Hivi tukisema, serikali ya awamu ya tano chini ya Magufuli Pombe ndiyo imefungulia bomba la ufisadi tunakuwa tunakosea wapi???

5. Je, huu si ndiyo ushahidi usio hata na chembe ya shaka?

6. Iweje majimbo matatu tu yatafune billion 270 wakati majimbo 265 yalitumia kiasi pungufu ya hicho?

7. Serikali inapata wapi uhalali wa kuwachangisha wananchi elfu 10 ama 20 ama 50 eti kumchangia ujenzi wa madarasa ama zahanati wakati kuna kikundi kidogo cha watu kinafuja fedha na kodi zetu kiasi hiki???

HAPANA, HILI HALIKUBALIKI. tusidanganyane, tukatae hili. TUSEME wote ENOUGH is ENOUGH!!!

Watu wamepiga sna hela ni hatar sana mkuu mwenyewe nimesoma hata sijaamini
 
hizi pesa zingeweza kusaidia ujenzi wa madarasa nchi nzima zikawapunguzia shida watoto wetu kusomea chini ya miembe wakiwa wamekalia mawe na magogo kama wakimbizi. Tatizo la jiwe kupenda kusifiwa ndio kumetufikisha katika matumizi mabovu ya namna hii ndio maana mwanae kokoto (bashite) alionekana akishingilia na kikundi chao cha ushindi na mamlaka husika zikamfumbia macho kwa upuuzi ule.
 
I agree, demokrasia ina gharama zake.....

Hata hivyo, haya matumizi yaliyorekodiwa hapa ni ufisadi ulio wazi kabisa kwa jina la "demokrasia ni gharama"....

Hebu cheki hii, eti TShs 629,000,000 zimetumika kwa ajili ya CHAKULA na VIBURUDISHO na VIRUTUBISHO...sijui walikuwa wanarutubisha nini kwenye uchaguzi...

maswali ni haya:

1. Kina nani walikuwa wanakula chakula hiki?

2. Aina gani ya chakula?

3. Kina nani walikuwa "wanaburudishwa" na "kurutubishwa"? Walikuwa wanarutubisha nini? Mbegu za kiume na za kike??

4. Ikumbukwe kuwa kuna posho za kujikimu kwa kila aliyeshiriki zoezi hili. Hivi, unapopewa posho ya kujikimu si ndiyo gharama zako za malazi, chakula, kujiburudisha nk zinakuwa ndani? Iweje kuwe na fungu separate tena la chakula, VIBURUDISHO na virutubisho na wakati huo huo kuna posho???

4. Hivi tukisema, serikali ya awamu ya tano chini ya Magufuli Pombe ndiyo imefungulia bomba la ufisadi tunakuwa tunakosea wapi???

5. Je, huu si ndiyo ushahidi usio hata na chembe ya shaka?

6. Iweje majimbo matatu tu yatafune billion 270 wakati majimbo 265 yalitumia kiasi pungufu ya hicho?

7. Serikali inapata wapi uhalali wa kuwachangisha wananchi elfu 10 ama 20 ama 50 eti kumchangia ujenzi wa madarasa ama zahanati wakati kuna kikundi kidogo cha watu kinafuja fedha na kodi zetu kiasi hiki???

HAPANA, HILI HALIKUBALIKI. tusidanganyane, tukatae hili. TUSEME wote ENOUGH is ENOUGH!!!

Kitaturu,
Hakuna haja ya kuumiza kichwa kwa maswali kama hayo...!!
Ukweli ni kwamba FEDHA HII YOTE ILIKUWA NI PAMOJA NA GHARAMA ZA KUWANUNUA HAO WABUNGE WALIOKUWA WAKO UPINZANI ILI WAHAMIE CCM, RUSHWA KWA MAPOLISI NA TISS KUHAKIKISHA KURA ZOTE ZINACHAKACHULIWA NA KUPEWA WAGOMBEA WA CCM.....!!!Unakumbuka siku ile baada ya Kutangazwa mshindi Jimbo la UKONGA MAPOLISI WALIONEKANA WAKISHANGILIA NA KUSHEREKEA WAKIWA NA BASHITE.......HAWA NDO WALIOKULA HIYO PESA YA UCHAGUZI...!!

Kuna jimbo kama la Korogwe Vijijini HAKUKUWA NA UCHAGUZI ULIOFANYIKA LAKINI FIGURE IKO PALEPALE...!!
Wote waliotaka kuingia kwenye kinyanganyiro walipewa MPUNGA WA UHAKIKA na wakabwaga manyaga....ili CCM ipite kwa ULAINI.
Kwa lugha rahisi na nyepesi na bila kutafuna maneno... HII NI AINA MOJAWAPO YA UFISADI WA SERIKALI YA AWAMU HII YA 5.
 
Kitaturu,
Hakuna haja ya kuumiza kichwa kwa maswali kama hayo...!!
Ukweli ni kwamba FEDHA HII YOTE ILIKUWA NI PAMOJA NA GHARAMA ZA KUWANUNUA HAO WABUNGE WALIOKUWA WAKO UPINZANI ILI WAHAMIE CCM, RUSHWA KWA MAPOLISI NA TISS KUHAKIKISHA KURA ZOTE ZINACHAKACHULIWA NA KUPEWA WAGOMBEA WA CCM.....!!!Unakumbuka siku ile baada ya Kutangazwa mshindi Jimbo la UKONGA MAPOLISI WALIONEKANA WAKISHANGILIA NA KUSHEREKEA WAKIWA NA BASHITE.......HAWA NDO WALIOKULA HIYO PESA YA UCHAGUZI...!!

Kuna jimbo kama la Korogwe Vijijini HAKUKUWA NA UCHAGUZI ULIOFANYIKA LAKINI FIGURE IKO PALEPALE...!!
Wote waliotaka kuingia kwenye kinyanganyiro walipewa MPUNGA WA UHAKIKA na wakabwaga manyaga....ili CCM ipite kwa ULAINI.
Kwa lugha rahisi na nyepesi na bila kutafuna maneno... HII NI AINA MOJAWAPO YA UFISADI WA SERIKALI YA AWAMU HII YA 5.

Hii ndo point mkuu ukisoma mwanzo kabisa wanasema pesa ni mara tano zaidi ya mwaka 2015
 
Kuna hidden cost like kununua hao wabunge allah

Hawawezi ku-display kitu kama hicho...Hela nyingi imepigwa kwenye RUSHWA NA HONGO KUWARUBUNI WABUNGE TOKA UPINZANI......!!!Kama kuna watu jasiri wafuatilie Account za WAITARA, MOLLEL na KALANGA kama hutakuta mamilioni kadhaa yako huko....kwa ujumnla ni wapinzani wote waliohamia CCM....!!DEMOKRASIA YA TANZANIA INABAKWA MCHANA KWEUPEEEE!!
 
Kwa wastani, bajeti hiyo ni zaidi ya Sh4.1 bilioni kwa kila jimbo, ikilinganishwa na Sh991 milioni zilizotumika kwa kila jimbo mwaka 2015 katika uchaguzi wa rais, wabunge na madiwani.........mwisho wa kunukuu.

Mambo yanayofanyika kwenye hii nchi yanaumiza na kusikitisha sana. Ona raia wanavyoteseka na maisha magumu halafu kuna majitu bila aibu wala huruma yanafanya mambo ya kishenzi namna hii.

Eti Sh626.21 milioni kwa ajili ya chakula na viburudisho. Viburudisho? seriously! kwenye uchaguzi watu huwa wanakwenda kuburudika? Chakula gani hicho cha kununua kwa mil.600 na kwa ajili ya nani kama tayari wamelipwa per diem.

Fedha nyingine zilitumika kwa ukarimu (Sh16.45 milioni).. dah!..ukarimu kwenye uchaguzi!!!
 
Uchaguzi wa 2020 utakua trillion moja shenzy kabisa...kisha tukimaliza tunarudi kwenye njaa zetu, tutakosa hadi chupi za kuvaa.
 
Kwamba ufisadi ni jambo la kawaida
Sijaona shutuma yoyote ya ufisadi hapo au kuwa hizo pesa hazikutumika kama ilivyo paswa. Sijaona mtu yoyote kulengwa kuwa kafanya ufisadi. Naona matumizi tu yamepanda. Jipya lipi?
 
Back
Top Bottom