Richard hokororo
Member
- Nov 4, 2015
- 13
- 16
Sa kwn maswala ya uchaguzi n mambo ya ccm???inakumbusha ujinga wa kususa harafu unawahi kukodolea macho.
ww unaleta mambo ya ccm yanakuhusu nn
Sent using Jamii Forums mobile app
Sa kwn maswala ya uchaguzi n mambo ya ccm???inakumbusha ujinga wa kususa harafu unawahi kukodolea macho.
ww unaleta mambo ya ccm yanakuhusu nn
Bora wewe umeona. Ni kweli hamna jipya, wizi wa kupindukia wa fedha za umma uko palepale.Sasa jipya lipi?
Sijaona shutuma yoyote ya ufisadi hapo au kuwa hizo pesa hazikutumika kama ilivyo paswa. Sijaona mtu yoyote kulengwa kuwa kafanya ufisadi. Naona matumizi tu yamepanda. Jipya lipi?
Sijaona shutuma yoyote ya ufisadi hapo au kuwa hizo pesa hazikutumika kama ilivyo paswa. Sijaona mtu yoyote kulengwa kuwa kafanya ufisadi. Naona matumizi tu yamepanda. Jipya lipi?
Wewe nae ni poyoyo tu,huelewi loloteinakumbusha ujinga wa kususa harafu unawahi kukodolea macho.
ww unaleta mambo ya ccm yanakuhusu nn
umasikini wa akili ni hatari sanachadema mzidi kisusia kama kawaida yenu kutia mpira kwapani
siku ikifika mtatajana , halafu ni kwanini Kihamia anatembea na Passport mfukoni ?Hayo "mapya" yaliyoibuka ni yepi?
Stupidity and Ignorance at best. Inaonekana wewe ni sehemu ya hao mchwa wanaotafuna mamilioni ya vocha za kupiga simu.inakumbusha ujinga wa kususa harafu unawahi kukodolea macho.
ww unaleta mambo ya ccm yanakuhusu nn
Wewe USSR unakera sana. Watu wanapekecha hazina kama mchwa halafu unakuja na mabandiko yako ya kizandiki. Hata kama huipendi nchi yako siyo kwa namna hii. Itabidi wakuchunguze uraia wako.unajiabisha sana kijana.hao unaowatete wanakusaidia nn maelezo mengi hakuna cha maana
We nae mkubwa lkn kichwani mweupeSasa jipya lipi?
Kumbe we mtu mzima ujielewi,Sijaona shutuma yoyote ya ufisadi hapo au kuwa hizo pesa hazikutumika kama ilivyo paswa. Sijaona mtu yoyote kulengwa kuwa kafanya ufisadi. Naona matumizi tu yamepanda. Jipya lipi?
Lipi jipya hapo?Kumbe we mtu mzima ujielewi,
Tena nawashangaa sana, badala ya kujibu maswali mnanivaa mimi? Si kichwani tu, mweupe sehemu nyingi.We nae mkubwa lkn kichwani mweupe
Wewe ni ZUZU na SHENX Type...!!Watu wanajadili UFUJAJI WA FEDHA ZA WALIPA KODI wewe unawalaumu CHADEMA...?Kweli nchi hii kuna vichaa na mabazazi wa kutupwa.Ule utafiti ulio baini kwamba katika KILA WATZ 4 kuna 1 ni KICHAA kabisa..ulikuw asahihi!!!
Na hii sehemu ya 1 katika 4 au 25% ya vichaa iko kwa NZI WA KIJANI wanaopatikana mitaa ya Lumumba......ni hatari sana kwa kweri!...
wengine wala hatuna ushabiki wa ivyo vyama vyenu, tunalipa kodi nchi isonge mbele, ila ikitokea fununu Kuna upotevu ktk kodi zetu au hazina yetu lazima tutege sikio kwa umakini kuwasikiliza kina CAG km wasemacho Kweli au masikio yetu yanasikia tofauti,Lipi jipya hapo?
Au roho zinawauma kuyakosa hayo majimbo?
Nimeisoma post namba moja yote sijaona upotevu wowote wa pesa.wengine wala hatuna ushabiki wa ivyo vyama vyenu, tunalipa kodi nchi isonge mbele, ila ikitokea fununu Kuna upotevu ktk kodi zetu au hazina yetu lazima tutege sikio kwa umakini kuwasikiliza kina CAG km wasemacho Kweli au masikio yetu yanasikia tofauti,
Sasa wanafiki kama wewe nyinyi mpo kimaslai Ya matumbo yenu, na ndiomaana muda mwingine huyo NGOSHA ambae mnajifanya kumtetea mtandaoni wakati upande wa pili mnakwapua KUFURU, anawakomesha, mfano ww nyumba ndogo Ya Kisena wa Udart ambae yupo segerea kwa money laundaring na economic case, muda simrefu nawewe utaanza kuweweseka
Chaguzi hizi zimetumika kama njia mojawapo ya upigaji dili wa ukoo wa panya .I agree, demokrasia ina gharama zake.....
Hata hivyo, haya matumizi yaliyorekodiwa hapa ni ufisadi ulio wazi kabisa kwa jina la "demokrasia ni gharama"....
Hebu cheki hii, eti TShs 629,000,000 zimetumika kwa ajili ya CHAKULA na VIBURUDISHO na VIRUTUBISHO...sijui walikuwa wanarutubisha nini kwenye uchaguzi...
maswali ni haya:
1. Kina nani walikuwa wanakula chakula hiki?
2. Aina gani ya chakula?
3. Kina nani walikuwa "wanaburudishwa" na "kurutubishwa"? Walikuwa wanarutubisha nini? Mbegu za kiume na za kike??
4. Ikumbukwe kuwa kuna posho za kujikimu kwa kila aliyeshiriki zoezi hili. Hivi, unapopewa posho ya kujikimu si ndiyo gharama zako za malazi, chakula, kujiburudisha nk zinakuwa ndani? Iweje kuwe na fungu separate tena la chakula, VIBURUDISHO na virutubisho na wakati huo huo kuna posho???
4. Hivi tukisema, serikali ya awamu ya tano chini ya Magufuli Pombe ndiyo imefungulia bomba la ufisadi tunakuwa tunakosea wapi???
5. Je, huu si ndiyo ushahidi usio hata na chembe ya shaka?
6. Iweje majimbo matatu tu yatafune billion 270 wakati majimbo 265 yalitumia kiasi pungufu ya hicho?
7. Serikali inapata wapi uhalali wa kuwachangisha wananchi elfu 10 ama 20 ama 50 eti kumchangia ujenzi wa madarasa ama zahanati wakati kuna kikundi kidogo cha watu kinafuja fedha na kodi zetu kiasi hiki???
HAPANA, HILI HALIKUBALIKI. tusidanganyane, tukatae hili. TUSEME wote ENOUGH is ENOUGH!!!
Ungejipa nafasi ya kusoma kwa utulivu ungegundua mapya....,
Kwa kifupi 2015 majimbo hayo yalitumia million 996 kila moja,miaka miwili baadae inatumika 4•1 billion kila jimbi...!!!!!!! hili ndilo jipya ila soma mwenyewe utagundua mapya mengine.
Sent using Jamii Forums mobile app