Mapya ya anaedai kubakwa na kapuya...

Mapya ya anaedai kubakwa na kapuya...

Vipi mlibakwa wote na mlalamikaji??!! Upu.mbavu ni kivumishi sahihi Kwako!!!
 
Mashambulizi from other side yameanza! ! Tuambie kwann alhaji alitupa line miezi 6 iliyopita, lakini few weeks back mwandishi alimpata kwa same number ingawa ilipokelewa na dereva wake! ! Jamaa anajikanyaga sana, tutajua tu mwisho wa hii film
Tena alhaji anakuja na mwanamke nje ya ndoa? Ndivyo dini Inavyosema?
 
Kapuya zako zimefika husafishiki. Kukaa kimya ni strategy nzuri kuliko wewe au wapambe wako kuleta utetezi hapa. Ni ushauri tu!
 
Kuna watu wazushi lkn huyu bint kiboko!! Ni huyu aliyesema Kapuya alimbaka na kumuambukiza ukimwi!! Ni muongo kabisa duh!! Ni kweli walikuwa wapenzi lkn maelezo meng aliyotoa ni usanii mtupu! Kumbe aliwahi kumtapel hata mama Salma Kikwete na akatupwa Segerea! Tena aliwahi kumtapel Kimei wa CRDB! Hahaha njaa hzi hatar! Aliwahi kumtapel hata bosi wa Global publisher! Si mwanafunzi ni mdada mwenye miaka 21 na ana mtt!! Ana majina zaid ya matano!! Hii hatar kabisa!! Mechoka mie...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Nini hii? Kama damage control the cat is out of the bag, too little too late.
 
ndiuka, unataka tukuamini kuwa Kapuya amezini na hicho kitoto?
 
Last edited by a moderator:
Huyu mbakaji hasafishiki wandugu. Hamwezi kudivage attention za watu kwa kuleta theads za kujaribu kumpakazia matope, kama mnalipwa mwambieni ukweli tu kuwa hapa mnamwibia maana hasafishiki kwenye hii saga.

TANZANIA DAIMA na CHADEMA wanamiliki Mahakama siku hizi!
 
Acheni Propaganda Makamanda.
Ameandika mwenyewe kwamba ni kweli waliwahi ku do Kuna watu wazushi lkn huyu bint kiboko!! Ni huyu aliyesema Kapuya alimbaka na kumuambukiza ukimwi!! Ni muongo kabisa duh!! Ni kweli walikuwa wapenzi lkn maelezo meng aliyotoa ni usanii mtupu!
 
Kuna watu wazushi lkn huyu bint kiboko!! Ni huyu aliyesema Kapuya alimbaka na kumuambukiza ukimwi!! Ni muongo kabisa duh!! Ni kweli walikuwa wapenzi lkn maelezo meng aliyotoa ni usanii mtupu! Kumbe aliwahi kumtapel hata mama Salma Kikwete na akatupwa Segerea! Tena aliwahi kumtapel Kimei wa CRDB! Hahaha njaa hzi hatar! Aliwahi kumtapel hata bosi wa Global publisher! Si mwanafunzi ni mdada mwenye miaka 21 na ana mtt!! Ana majina zaid ya matano!! Hii hatar kabisa!! Mechoka mie...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Kama unataka mgawo wa gridi ya Taifa si uende tu Urambo sio mbali siku hizi na anagawa bure sio Tsh 500 kama kikombe cha babu wa Loliondo
 
Kapuya kashaanza kuvuruga wanaume.kakupa ngapi dada ahaa samahani kaka
 
Yani amtapeli shigongo halafu huyo huyo shgongo aandke habari zake tena? Hayo maelezo yako yanafanana na utetezi wa huyo kapuya?? Ny.oko wewe

ningemuamini kapuya kama asingeiruka # yake ya simu
 
Kuna watu wazushi lkn huyu bint kiboko!! Ni huyu aliyesema Kapuya alimbaka na kumuambukiza ukimwi!! Ni muongo kabisa duh!! Ni kweli walikuwa wapenzi lkn maelezo meng aliyotoa ni usanii mtupu! Kumbe aliwahi kumtapel hata mama Salma Kikwete na akatupwa Segerea! Tena aliwahi kumtapel Kimei wa CRDB! Hahaha njaa hzi hatar! Aliwahi kumtapel hata bosi wa Global publisher! Si mwanafunzi ni mdada mwenye miaka 21 na ana mtt!! Ana majina zaid ya matano!! Hii hatar kabisa!! Mechoka mie...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Koteeeeeee niingekubali illa hapo kwa Boss wa global publisher umechemka, maana angefanya hivyo kwa hyo boss walahi jama asingeacha kuruka na story front page ya magazeti yake na zaidi angetungia kitabu au hujjui huyu kaka anaishi kwa fursa?

Hata hivyo hao unaodai amewatapel wote ni public figure wapi uliwahi kusikia zaidi ya wewe kuleta hz pumba zako hapa?
 
Kuna watu wazushi lkn huyu bint kiboko!! Ni huyu aliyesema Kapuya alimbaka na kumuambukiza ukimwi!! Ni muongo kabisa duh!! Ni kweli walikuwa wapenzi lkn maelezo meng aliyotoa ni usanii mtupu! Kumbe aliwahi kumtapel hata mama Salma Kikwete na akatupwa Segerea! Tena aliwahi kumtapel Kimei wa CRDB! Hahaha njaa hzi hatar! Aliwahi kumtapel hata bosi wa Global publisher! Si mwanafunzi ni mdada mwenye miaka 21 na ana mtt!! Ana majina zaid ya matano!! Hii hatar kabisa!! Mechoka mie...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
processing data
 
Dah ningeshauri ata neno alhaj lisitumike tena kwa huyu bwana mkubwa!napata ukakasi kulitamka.hija hakuna hapo!
 
ana miaka kumi na 16, ana soma turian secondary, cheti cha kuzaliwa anacho, ndugu yako kambaka na kumwambukiza Virusi vya ukimwi..acha ngonjera zako.

Hata kama ana miaka 21,ndiyo anaruhusiwa kubakwa na kuuwawa!?naona prof,kashatoa ajira!
 
Back
Top Bottom