Maputo yaipiga bao Da r es salaam

Maputo yaipiga bao Da r es salaam

Ni aibu sana mtoto wa kiume kukashifu kwao na kusifia kwa jirani huo ni udhaifu mkubwa na dalili mbaya hasa kwa zama hizi zilizojaa maovu
 
Soma tena kwa uzuri hiyo habari halafu uchanganue.

Ni yaleyale ya Zambia, yaani huyu Mnyusi na Lungu wa Zambia wanauza maliasili na mali za wananchi wa nchi zao kwa China.

Sasa wafahamu Msumbiji wanadaiwa kiasi gani kutokana na fedha wanazokopa kutoka China?

Flyover ya TAZARA imejengwa kwa msaada wa serikali ya Korea Kusini na mtu akitaka kutupatia msaada basi tunamwomba ajenge kitu, huko ndo kutumia akili kwa sisi waafrika.

Raisi JPM amekataa jambo hilo na ndio maana tunajenga reli zetu na mali kama TTCL zinarudishwa kwa watanzania maana hizo ni mali za nchi.

Nchi yoyote ile inayouza "state assets" yaani mali ya nchi maraisi wake wana matatizo katika kufikiri.
Mkuu flyover ya TAZARA imejengwa kwa pesa za Ufalme wa Japan na pesa za serikali ya Tanzania. Daraja la Kenyatta hadi Sea view ndilo linajengwa kwa pesa za Korea Kusini.
 
Mkuu flyover ya TAZARA imejengwa kwa pesa za Ufalme wa Japan na pesa za serikali ya Tanzania. Daraja la Kenyatta hadi Sea view ndilo linajengwa kwa pesa za Korea Kusini.

Mkuu, shukran kwa kunirekebisha.
 
Wewe usiye na taarifa sahihi usitugombanishe na serikali ya Japan iliyogharamia ujenzi wa daraja la TAZARA.

Uko sawa, nimesahihisha.

Japan TAZARA, na Korea kusini kupitia benki ya Exim ni kwa daraja la Salender.

Shukran.
 
Endelea na ngonjera za kujifanya hamdaiwi thubutuuu mnamideni mpaka uvunguni na Hanna cha maana kilichofanyika zaidi ya kujifanya ukichaa wa kununua korosho
Mkuu lengo lako hasa la kuanzisha huu ilikua kutujuza au kubishana?
 
Lengo ilikuwa kuwajuza tu, wakati nyinyi mnaimba mapambio kwamba mko kweny raiti track ujue kuna wenzenu wamewapiga gape na wala hawajivuni. Sisi miaka mitatu tunapiga stori za flying over kichefuchefu ya tazara. Mambo mengine tuoneni aibu jamani.
 
Kila mty hujikuna ajipatapo. Kwani tusifurahie kitu ambacho hatukuwa nacho?
 
Soma tena kwa uzuri hiyo habari halafu uchanganue.

Ni yaleyale ya Zambia, yaani huyu Mnyusi na Lungu wa Zambia wanauza maliasili na mali za wananchi wa nchi zao kwa China.

Sasa wafahamu Msumbiji wanadaiwa kiasi gani kutokana na fedha wanazokopa kutoka China?

Flyover ya TAZARA imejengwa kwa msaada wa serikali ya Japan na mtu akitaka kutupatia msaada basi tunamwomba ajenge kitu, huko ndo kutumia akili kwa sisi waafrika.

Raisi JPM amekataa jambo hilo na ndio maana tunajenga reli zetu na mali kama TTCL zinarudishwa kwa watanzania maana hizo ni mali za nchi.

Nchi yoyote ile inayouza "state assets" yaani mali ya nchi maraisi wake wana matatizo katika kufikiri.
TTCL hii ambayo sasa inakwenda kuanguka tena au ipi?
 
Yaani hutaki watu washangilie mafanikio ya nchi? Watu kweli mna roho ya korosho.
Sio kwamba nashangilia mafanikio ya wengine unapojisifu unakimbia angalia wenzio walipo. Ndio gape lenyewe hilo, bado sana.
 
Back
Top Bottom