Shukrani kwa kuileta hii maana nimemuuliza jamaa ameshindwa kuisoma.
Sielewi kama ni kiingereza au !
Daraja lenyewe 700m wakati mkapa bridge ni 970m. Ww ndio mshambaKushangilia daraja la Tazara ni ulimbukeni au ni ushamba. Maputo city imezindua bonge la daraja linalovuka bahari, Dar tunachekesha sana fuatilia BBC
New bridge spans Mozambique capital
Flyover ya TAZARA imejengwa kwa msaada wa serikali ya Korea Kusini
Cha kushangaza et pamoja na ukichaa wake anaowaongoza watu wenye maarifa yao. Only in TzWewe sio machine ni kichaa kama boss wenu
Usikute unaongea hivyo. Alafu unafugwa kwa mme wa dada yako.Wewe endelea kushabikia matuta ya Tazara hapo ili usiwe mtumwa na kizazi chako. Na keshe mwende mkasombelee ngorosho kule mbekenyela.
Kulopoka tu mko vizuri vijana wa ufipaNilijue la kazi gani wakati Flyover zinaonekana? nyie mnakopa nusu mnajengea tuta nusu iliyobakia mnanunulia wabunge na madiwani huo si ukichaa
Daraja la kigamboni linakatisha wapi?
Au kuwa chadema lazima uwe fyatu wa akili ?
Akili za chadema hadi kufyatulia risasi Na kumwaga kutengeneza kidonda kwa kupaka tomato sauceKushangilia daraja la Tazara ni ulimbukeni au ni ushamba. Maputo city imezindua bonge la daraja linalovuka bahari, Dar tunachekesha sana fuatilia BBC
New bridge spans Mozambique capital
ohh lawd...kwahyo pjm shemale au?Wakati jiwe akizindua tuta hapo Tazara wanaume wanazindua miflyover ya ukweli
Sasa kwenye nchi ambayo matundu manne ya vyoo yanazinduliwa na Brass band ya polisi unashangaa nini kushangilia daraja la Tazara ?Kushangilia daraja la Tazara ni ulimbukeni au ni ushamba. Maputo city imezindua bonge la daraja linalovuka bahari, Dar tunachekesha sana fuatilia BBC
New bridge spans Mozambique capital
Wewe usiye na taarifa sahihi usitugombanishe na serikali ya Japan iliyogharamia ujenzi wa daraja la TAZARA.Soma tena kwa uzuri hiyo habari halafu uchanganue.
Ni yaleyale ya Zambia, yaani huyu Mnyusi na Lungu wa Zambia wanauza maliasili na mali za wananchi wa nchi zao kwa China.
Sasa wafahamu Msumbiji wanadaiwa kiasi gani kutokana na fedha wanazokopa kutoka China?
Flyover ya TAZARA imejengwa kwa msaada wa serikali ya Korea Kusini na mtu akitaka kutupatia msaada basi tunamwomba ajenge kitu, huko ndo kutumia akili kwa sisi waafrika.
Raisi JPM amekataa jambo hilo na ndio maana tunajenga reli zetu na mali kama TTCL zinarudishwa kwa watanzania maana hizo ni mali za nchi.
Nchi yoyote ile inayouza "state assets" yaani mali ya nchi maraisi wake wana matatizo katika kufikiri.
Nyumbu wa ufipa wana uhakika linapita mto msimbazi..Daraja la kigamboni linakatisha wapi?
Au kuwa chadema lazima uwe fyatu wa akili ?
Jiwe ana miradi mingi mikubwa..hao wengine wanajaribu kupitia jiwe..kumbuka jiwe ana mradi wa bomba la mafuta from tanga to UG..jiwe ana mradi mkubwa wa ufuaji umeme wa stieglers gorge..jiwe ana mradi mkubwa wa SGR na utafika kigali..jiwe ana harakati za kuhakikisha ndege zake zinafika India,Guangzhou mpaka USA..huyo ndio jiwe..bado mna miaka saba ya kula ndimuJamani hebu mpeni break jiwe!! Nyie ndo mnaharibu maana akiona hii habari kesho atakurupuka kuanzisha hiyo project pale baharini ili tu awa prove wrong bila kujali kipaumbele cha nchi kwa wakati huo ni kipi!!
Jiwe anafanya kazi kwa panic mwacheni atulize kichwa mtamuumiza na hizi habari!