Jamani msitafute mchawi, mkulu ndo tatizo. haiwezekani umepangwa kupiga penati halafu na ww unatoa pasi!!!. Sina haja ya kutaja mambo ambayo yy kama yy alikuwa anatakiwa kutoa kauli ya mwisho, anamwachia Pinda.
Wanabodi,
Baada ya kujadili mazuri na mafanikio ya rais wetu, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, kila kwenye mafanikio hapa kosi mapungufu, matatizo au changamoto ambazo zikifanyiwa kazi zinabadilisha hali iliyopo na kutupeleka mahali bora zaidi.
Nawaombeni sana katika kujadili mapungufu, nawaombeni tujadili kwa nidhamu na staha ya hali ya juu haswa kwa kuzingatia huyu tunayemjadili ni rais wetu, hivyo sitegemei kuona lugha za kebehi, machukizo, matukana ua lugha zozote ambazo hazina staha!.
Katika kujadili mapungufu, madhaifu, matatizo na changamoto zinazomkabili rais Jakaya Kikwete, nawaombeni tujadili kwa spirit ya constructive criciticism kwa kueleza mapungufu hayo in good faith kwa nia ya kujenga na sio kubomoa.
Watanzania tumekuwa ni watu wa kilalamika na kunungunika wakati wote bila kuchukua hatua zozote positive. Naomba hii thread sio thread ya malalamiko au manunguniko dhidi ya JK bali shaurini nini cha kufanyika!.
Naomba ukosoaji ufanyike kwa nia njema ukiambatana na ushauri wa nini cha kufanyika kurekebisha mapungufu hayo!.
Kwa kuanzia moja ya mapungufu makubwa ya JK ni mtu wa huruma iliyopitiliza mipaka matokeo yake kutafsiriwa kama ni weakness, yaani JK ni rais weak asiyeweza kuchukua maamuzi magumu!.
Mfano wa kwanza wa udhaifu huu wa huruma uliyopitiliza ni pale alipowasamehe majizi ya EPA na kutaruhusu yarudishe fedha yalizo kwiba na kusemehewa kutofikishwa mahakamani!. Spika Sitta pia alimlaumu rais JK kwa upole huu!. Lingekuwa ni bunge makini, imperchment process ingeanza right away!.
Ni upole huo huo ndio unaopelekea hajamwajibisha Waziri wa Afya na naibu wake kwa sababu anawahurumia!.
Ushauri ni kwa JK kuwa bold na kufanya maamuzi magumu!. Mfano kwenye huu mgomo wa sasa, siungi mkono JK kuitikia shinikizo la madaktari na wanaharakati kumwajibisha Mponda na naibu wake, hiyo nayo ni weakness. Bold decision ni wahusika watakaosabisha kifo chochote, kupandishwa kizimbani kwa murder!.
JK anatakiwa kupunguza huruma na upendo wa mshumaa kumulikia wenzake huku yeye anateketea!. Huruma na upendo aliountesha sasa unatosha!. Awe mkali kama alivyokuwa Nyerere watu kujua wamefutwa kazi ni kupitia taarifa ya habari ya RTD tena ikizimwa na David Wakati!.(RIP).
Ni huruma na upendo huu uliopitiliza ndio unapelekea kuwahurumia baadhi ya mawaziri na wasaidizi wake ambao hawamsaidii hivyo kuendelea kuwabeba!. Kwa vile JK hawezi kufanya kila kitu, piga chini wale wote ambao hawakusaidii hata ikibidi kumpiga chini Pinda, piga chini uliokoe taifa hiki kipindi chako cha miaka 3 kilichobakia!.
Nawatakia majadiliano mema.
Natanguliza shukrani kwa kuzingatia spirit ya constructive criticisim in good faith kwa nia ya kujenga na sio kubomoa!.
Wasalaam
Pasco wa jf.
NB. Kama hauwezi constructive criticisim naomba usichangie, jisomee tuu na kuishia zako, sio lazima uchangie kila thread!.
Jamani jamani, Ikiwa JK aliiingia Ikulu kwa pesa za EPA (ufisadi), itakuwaje awe na mapungufu anapofanya Ufisadi.. mapungufu yake yangekuwa kama angefanya kinyume cha Ufisadi..JK anawalinda mafisadi inavyopaswa kulindwa, anawaweka watu wake wanaoweza kumlinda yeye na utawala huu iweje yawe mapungufu ili hali nyie wenyewe mlimchagua kwa sifa za kulinda Ufisadi?..Mapungufu mnayo nyie wenyewe wananchi na ndio maana mlimchagua YEYE..na he is doing what you deserve ikiwa leo hii mfano mbora kwenu kwa kiongozi ni Mkapa na Lowassa...Na ndio maana nasema mapungufu hupimwa kutokana na ujazo mnaoutaka na sifa zake. Kama JK ni robo chupa, Mkapa kafika nusu halafu Lowassa robo tatu ya Ufisadi itakuwaje mseme JK ana mapungufu kwa kutumia kipimo tofauti kabisa wakati sifa zinakwenda kwa kina Mkapa?
Sasa ikiwa yeye ana mapungufu hivi kweli hamkuona mapungufu wakati wa Mwinyi na Mkapa ambao wote wameyafanya sawa au zaidi ya JK ila kwa nyakati tofauti?. IPTL, Loliondo, Rada, City water, Meremeta, Green bank yaani kashifa juu ya kashifa toka enzi za kina Ami mpungwe na Idd Simba.. Ilikuwaje Elimu nchini imepiga mbizi baada ya Mwinyi kuingia madarakani, Mahospital yetu pamoja na kuwa mengi (quantity) lakini quality ya huduma zake zilipungua toka wakati wa Mwinyi tukavaa mitumba na ikawa sifa kubwa za Mh. Mwinyi na Ruksa - kipindupindu, Ukoma na maradhi ambayo yaliisha wekwa ktk koba la karantini yakarudi kwa kasi kubwa. Hamtaki kuzungumzia maswala ya Elimu na Afya, viwanda na miundombinu ilivyokufa kwa sababu mnazo interest zenu japokuwa kuna vitu wazi kabisa.
Makanisa wamerudishiwa mashule na Hospital mbona Aghakhan yule mdosi hakurudishiwa shule zake kama vile Mwanza sekondary, Tambaza na kadhalika. halafu tujiulize hivi kweli kurudisha zile shule ilikuwa maamuzi ya busara. Mtasema NDIO japokuwa ni ktk maamuzi kama hayo JK hana uwezo wa kuwaambia chochote akihofia kiti chake, leo taasisi za dini wanaepa kodi, tax exemption zimetupotezea mabillioni ya fedha na tuna NGOs mia kidogo zote hizi zikiepa kodi. JK aseme jamanin haifai tayari anaitwa mdini..Machinga, Chokoraa, MaChangudoa wamejaa mabarabarani kila kona ya miji yetu wakizuiwa kidogo, Vurugu nchi nzima na wanaungwa mkono na wanasiasa wetu wenyewe.
Magufuli na Mama Tibaijuka wakajaribu mangapi, na mwisho wa siku huonekana wao ndio watu wabaya sana wenye wivu na mtajaribu kila njia kuonyesha wao sii saints. Heee jamani tazameni reli ya kati, bandari, tumeua viwanda na hata kilimo na mazao yote ya biashara tukitegemea kuuza nyumba na viwanja kwa mafisadi ndio ajira kubwa leo ya Mtanzania, bado tu hamuoni tunakoelekea!.Jk anafanya exactly what he is supposed to do! kwa sababu akifanya inavyotakiwa haswa kupambana na ufisadi nchini na katika mazingira ambayo almost 50% ya wananchi wake ni unemployed, hatuzalishi kitu ila kuiba fedha za WB na Bank ya Afrika mtamchukia vibaya na pengine hataweza kumaliza miaka yake ya utawala.
Hee! wameondoka wangapi walijaribu kutetea maslahi ya wananchi na hakuna Mtanzania hata mmoja anayewakumbuka kwa mazuri. Toka Kolimba hadi huyu Mwakyembe mguu nje ndani hawapewi msaada wowote zaidi ya watu kudai atoe ushahidi laa sivyo afe huko huko India. Kuna mpiganaji gani alosifika kwa kupambana na ufisadi zaidi ya Dr.Slaa na vijana kama Zitto ambao leo hawapendwi na wameundiwa chuki kubwa. Wao sii wajinga hata kidogo wanapenda kuishi, maisha matamu jamani watafika mahala watachoka vile vile.
Madaktari wamegoma lakini hamtaki kuzungumzia fedha wanazopewa asasi zinazohusika na huduma za Afya wao wanazitumia vipi, JK anaogopa kugusia swala la CSSC na hatkuna kiongozi hata mmoja wa Upinzani anayethubutu kuzungumzia hili - Hakuna na kama yupo asimame hata mmoja kukemea mfumo wa misamaha ya Tax, Elimu na Afya nchini!.. wote hawa wana waogopa nyie wananchi kutokana na nguvu ya Udini iliyopo nchini, kinyume watapoteza unga wao. Leo mnamtuaka Mponda na Nkya wajiuzuru bila kujua wamekosa nini hasa kupitia sheria..Mapungufu tunayo sisi wananchi na kibaya zaidi sisi ni wanafiki hakuna mfano!
wanabodi,
baada ya kujadili mazuri na mafanikio ya rais wetu, mhe. Jakaya mrisho kikwete, kila kwenye mafanikio hapa kosi mapungufu, matatizo au changamoto ambazo zikifanyiwa kazi zinabadilisha hali iliyopo na kutupeleka mahali bora zaidi.
Nawaombeni sana katika kujadili mapungufu, nawaombeni tujadili kwa nidhamu na staha ya hali ya juu haswa kwa kuzingatia huyu tunayemjadili ni rais wetu, hivyo sitegemei kuona lugha za kebehi, machukizo, matukana ua lugha zozote ambazo hazina staha!.
Katika kujadili mapungufu, madhaifu, matatizo na changamoto zinazomkabili rais jakaya kikwete, nawaombeni tujadili kwa spirit ya constructive criciticism kwa kueleza mapungufu hayo in good faith kwa nia ya kujenga na sio kubomoa.
Watanzania tumekuwa ni watu wa kilalamika na kunungunika wakati wote bila kuchukua hatua zozote positive. Naomba hii thread sio thread ya malalamiko au manunguniko dhidi ya jk bali shaurini nini cha kufanyika!.
Naomba ukosoaji ufanyike kwa nia njema ukiambatana na ushauri wa nini cha kufanyika kurekebisha mapungufu hayo!.
Kwa kuanzia moja ya mapungufu makubwa ya jk ni mtu wa huruma iliyopitiliza mipaka matokeo yake kutafsiriwa kama ni weakness, yaani jk ni rais weak asiyeweza kuchukua maamuzi magumu!.
Mfano wa kwanza wa udhaifu huu wa huruma uliyopitiliza ni pale alipowasamehe majizi ya epa na kutaruhusu yarudishe fedha yalizo kwiba na kusemehewa kutofikishwa mahakamani!. Spika sitta pia alimlaumu rais jk kwa upole huu!. Lingekuwa ni bunge makini, imperchment process ingeanza right away!.
Ni upole huo huo ndio unaopelekea hajamwajibisha waziri wa afya na naibu wake kwa sababu anawahurumia!.
Ushauri ni kwa jk kuwa bold na kufanya maamuzi magumu!. Mfano kwenye huu mgomo wa sasa, siungi mkono jk kuitikia shinikizo la madaktari na wanaharakati kumwajibisha mponda na naibu wake, hiyo nayo ni weakness. Bold decision ni wahusika watakaosabisha kifo chochote, kupandishwa kizimbani kwa murder!.
Jk anatakiwa kupunguza huruma na upendo wa mshumaa kumulikia wenzake huku yeye anateketea!. Huruma na upendo aliountesha sasa unatosha!. Awe mkali kama alivyokuwa nyerere watu kujua wamefutwa kazi ni kupitia taarifa ya habari ya rtd tena ikizimwa na david wakati!.(rip).
Ni huruma na upendo huu uliopitiliza ndio unapelekea kuwahurumia baadhi ya mawaziri na wasaidizi wake ambao hawamsaidii hivyo kuendelea kuwabeba!. Kwa vile jk hawezi kufanya kila kitu, piga chini wale wote ambao hawakusaidii hata ikibidi kumpiga chini pinda, piga chini uliokoe taifa hiki kipindi chako cha miaka 3 kilichobakia!.
Nawatakia majadiliano mema.
Natanguliza shukrani kwa kuzingatia spirit ya constructive criticisim in good faith kwa nia ya kujenga na sio kubomoa!.
Wasalaam
pasco wa jf.
Nb. Kama hauwezi constructive criticisim naomba usichangie, jisomee tuu na kuishia zako, sio lazima uchangie kila thread!.
Idadi ya mabenki kuwa kubwa haina maana kwamba nchi inasonga mbele. cha msingi ni kwamba mabenki hayo yanamsaidia mtanzania? ama ni mirija tu ya ku-siphon mali za mtanzania? kuna uwekezaji wa akili na wa faida na kuna ule wa hasara. wetu ni wa hasara zaidi.Nchi inasonga mbele.
Watu tunatoka Dar kwa Bajaj hadi Mwanza. Tuna mabenki zaidi ya 50 sasa nchi hii.
Tuna mashule mengi tu. Tuna vyuo na vyuo vikuu vingi tu.
Hii ni maendeleo kwa wale wanaotengeneza magari hayo na kutuuzia, siyo sisi tunaoyanunua kama mazuzu, magari ya gharama kubwa ambayo hayatumiki kuinua uchumi, bali kutambiana kwa ufahari wa kijinga. yanaongeza foleni na kuchelewesha hata wale ambao wako serious na nchi hii, washindwe kutoa mchango wao vizuri. wenye akili wala hawahangaiki nayo, ila sisi tu hapa. nenda Rwanda ukaone.Watanzania wanamiliki majumba, magari ya kisasa kwelikweli.
Mode, nakuomba na hii thread ifanye sticky ili tunapoendelea kusoma yale mazuri ya JK, na mabaya pia tuyaone!.Wanabodi,
Baada ya kujadili mazuri na mafanikio ya rais wetu, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, kila kwenye mafanikio hapakosi matatizo, mapungufu au changamoto ambazo zikifanyiwa kazi zinabadilisha hali iliyopo sasa na kutupeleka hali bora zaidi.
Katika kujadili mapungufu, nawaombeni sana tujadili kwa nidhamu na staha kwa kuzingatia huyu tunayemjadili ni rais wetu, hivyo sitegemei kuona lugha za kebehi, machukizo, matukano, au maudhi, kwa kifupi lugha zozote ambazo hazina staha!.
Katika kujadili mapungufu, madhaifu, matatizo na changamoto zinazomkabili rais Jakaya Kikwete, nawaombeni tujadili kwa spirit ya constructive criciticism kwa kueleza mapungufu hayo in good faith kwa nia ya kujenga na sio kubomoa.
Watanzania tumekuwa ni watu wa kilalamika na kunung'unika wakati wote bila kuchukua hatua zozote positive za kurekebisha!. Naomba hii thread sio thread ya malalamiko au manunguniko dhidi ya JK bali thread ya kutoa ushauri nini cha kufanyika!.
Kwa kuanzia moja ya mapungufu makubwa ya JK ni mtu wa huruma iliyopitiliza mipaka matokeo yake kutafsiriwa kama ni weakness, yaani "JK ni rais weak"!,: asiyeweza kuchukua maamuzi magumu!.
Mfano wa kwanza wa udhaifu huu wa huruma uliyopitiliza ni pale alipoyasamehe yale majizi ya EPA kwa kuyaruhusu yarudishe fedha yalizo kwiba kwa exchange ya kusemehewa na kutofikishwa mahakamani!. Hata Spika Sitta pia alimlaumu rais JK kwa upole huu!. Lingekuwa ni bunge makini, imperchment process ingeanzia pale pale right away kwa sababu rais hana mamlaka ya kuizuia sheria kuchukua mkondo wake!, huu ni uvunjaji wa katiba ya JMT!.
Ni upole huo huo ndio unaopelekea hajamwajibisha Waziri wa Afya na naibu wake kwa sababu anawahurumia!.
Ushauri ni kwa JK kuwa bold na kufanya maamuzi magumu!. Mfano kwenye huu mgomo wa sasa, siungi mkono JK kuitikia shinikizo la madaktari na wanaharakati kumwajibisha Mponda na naibu wake, hiyo nayo ni weakness. Bold decision ni wahusika watakaosabisha kifo chochote, kupandishwa kizimbani kwa murder!.
JK anatakiwa kupunguza huruma na upendo wa mshumaa kumulikia wenzake huku yeye kwake kunateketea!. Huruma na upendo alioisha uonyesha sasa unatosha!. JK anatakiwa awe mkali kama alivyokuwa Nyerere watu kujua wamefutwa kazi ni kupitia taarifa ya habari ya saa 2:00 usiku ya RTD tena ikisomwa na David Wakati!.(RIP).
Ni huruma na upendo huu uliopitiliza ndio unapelekea kuwahurumia baadhi ya mawaziri na wasaidizi wake ambao hawamsaidii hivyo kuendelea kuwabeba!.
Kwa vile JK hawezi kufanya kila kitu, piga chini wale wote ambao hawakusaidii hata ikibidi kumpiga chini Pinda, piga chini ili uliokoe taifa katika kipindi hiki chako cha miaka 3 kilichobakia!.
Nawatakia majadiliano mema.
Natanguliza shukrani kwa kuzingatia spirit ya constructive criticisim in good faith kwa nia ya kujenga na sio kubomoa!.
Wasalaam
Pasco wa jf.
NB. Kama hauwezi constructive criticisim unaweza kujisomee tuu na kuishia zako bila kuchangia, kwani sio lazima uchangie kila thread!.
Wanabodi,
Baada ya kujadili mazuri na mafanikio ya rais wetu, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, kila kwenye mafanikio hapakosi matatizo, mapungufu au changamoto ambazo zikifanyiwa kazi zinabadilisha hali iliyopo sasa na kutupeleka hali bora zaidi.
Katika kujadili mapungufu, nawaombeni sana tujadili kwa nidhamu na staha kwa kuzingatia huyu tunayemjadili ni rais wetu, hivyo sitegemei kuona lugha za kebehi, machukizo, matukano, au maudhi, kwa kifupi lugha zozote ambazo hazina staha!.
Katika kujadili mapungufu, madhaifu, matatizo na changamoto zinazomkabili rais Jakaya Kikwete, nawaombeni tujadili kwa spirit ya constructive criciticism kwa kueleza mapungufu hayo in good faith kwa nia ya kujenga na sio kubomoa.
Watanzania tumekuwa ni watu wa kilalamika na kunung'unika wakati wote bila kuchukua hatua zozote positive za kurekebisha!. Naomba hii thread sio thread ya malalamiko au manunguniko dhidi ya JK bali thread ya kutoa ushauri nini cha kufanyika!.
Kwa kuanzia moja ya mapungufu makubwa ya JK ni mtu wa huruma iliyopitiliza mipaka matokeo yake kutafsiriwa kama ni weakness, yaani "JK ni rais weak"!,: asiyeweza kuchukua maamuzi magumu!.
Mfano wa kwanza wa udhaifu huu wa huruma uliyopitiliza ni pale alipoyasamehe yale majizi ya EPA kwa kuyaruhusu yarudishe fedha yalizo kwiba kwa exchange ya kusemehewa na kutofikishwa mahakamani!. Hata Spika Sitta pia alimlaumu rais JK kwa upole huu!. Lingekuwa ni bunge makini, imperchment process ingeanzia pale pale right away kwa sababu rais hana mamlaka ya kuizuia sheria kuchukua mkondo wake!, huu ni uvunjaji wa katiba ya JMT!.
Ni upole huo huo ndio unaopelekea hajamwajibisha Waziri wa Afya na naibu wake kwa sababu anawahurumia!.
Ushauri ni kwa JK kuwa bold na kufanya maamuzi magumu!. Mfano kwenye huu mgomo wa sasa, siungi mkono JK kuitikia shinikizo la madaktari na wanaharakati kumwajibisha Mponda na naibu wake, hiyo nayo ni weakness. Bold decision ni wahusika watakaosabisha kifo chochote, kupandishwa kizimbani kwa murder!.
JK anatakiwa kupunguza huruma na upendo wa mshumaa kumulikia wenzake huku yeye kwake kunateketea!. Huruma na upendo alioisha uonyesha sasa unatosha!. JK anatakiwa awe mkali kama alivyokuwa Nyerere watu kujua wamefutwa kazi ni kupitia taarifa ya habari ya saa 2:00 usiku ya RTD tena ikisomwa na David Wakati!.(RIP).
Ni huruma na upendo huu uliopitiliza ndio unapelekea kuwahurumia baadhi ya mawaziri na wasaidizi wake ambao hawamsaidii hivyo kuendelea kuwabeba!.
Kwa vile JK hawezi kufanya kila kitu, piga chini wale wote ambao hawakusaidii hata ikibidi kumpiga chini Pinda, piga chini ili uliokoe taifa katika kipindi hiki chako cha miaka 3 kilichobakia!.
Nawatakia majadiliano mema.
Natanguliza shukrani kwa kuzingatia spirit ya constructive criticisim in good faith kwa nia ya kujenga na sio kubomoa!.
Wasalaam
Pasco wa jf.
NB. Kama hauwezi constructive criticisim unaweza kujisomee tuu na kuishia zako bila kuchangia, kwani sio lazima uchangie kila thread!.
Baada ya kilichomkuta Mhe. JJ. Mnyika, nimepitia hii thread nikagundua kumbe kosa la Mnyika ni kuwa too bold to call a spade, a spade!.
Inawezekana kabisa, Mhe. Ndungai amemtoa nje Mnyika kwa kuyaona matamshi yale siyo ya staha!, that being the case, Naibu Spika was Right!
Wanabodi,
Katika kujadili mapungufu, nawaombeni sana tujadili kwa nidhamu na staha kwa kuzingatia huyu tunayemjadili ni rais wetu, hivyo sitegemei kuona lugha za kebehi, machukizo, matukano, au maudhi, kwa kifupi lugha zozote ambazo hazina staha!.
"JK ni rais weak"!,: asiyeweza kuchukua maamuzi magumu!.
.
Mkuu Kongosho, mission na vission ni ile ilani ya uchaguzi aliyoinadi na kuchaguliwa. He had a mission ya maisha bora kwa kila Mtanzania na vision Tanzania yenye neema inawezekana kupitia ari mpya, kasi mpya, na nguvu mpya!. Watendaji aliowategemea ndio wamemwangusha!.
Baada ya kilichomkuta Mhe. JJ. Mnyika, nimepitia hii thread nikagundua kumbe kosa la Mnyika ni kuwa too bold to call a spade, a spade!.
Katika kumzungumzia JK, nilitoa angalizo lifuatalo "Katika kujadili mapungufu, nawaombeni sana tujadili kwa nidhamu na staha kwa kuzingatia huyu tunayemjadili ni rais wetu, hivyo sitegemei kuona lugha za kebehi, machukizo, matukano, au maudhi, kwa kifupi lugha zozote ambazo hazina staha!." Inawezekana kabisa, Mhe. Ndungai amemtoa nje Mnyika kwa kuyaona matamshi yale siyo ya staha!, that being the case, Naibu Spika was Right!
Mkuu Kongosho, mission na vission ni ile ilani ya uchaguzi aliyoinadi na kuchaguliwa. He had a mission ya maisha bora kwa kila Mtanzania na vision Tanzania yenye neema inawezekana kupitia ari mpya, kasi mpya, na nguvu mpya!. Watendaji aliowategemea ndio wamemwangusha!.
1, hasimamii kile anachokisema (kwa ufupi ni muongo)
2, ni mtu kigeugeu
3, anajifanya msikivu sana kumbe mnafiki.
4, ni mdini mkubwa.
5. hajui ni kwanini yupo ikulu na wala hajui majukumu ya mtu anayefika ikulu ni yapi. (anafikiri ikulu ni dangulo au soko la maharamia)