Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,567
- Thread starter
- #61
Mkuu Waberoya, nilipikusoma unawaita watu majuha, kwanza nilishtuka, niliposoma tena nikajifariji kumbe hao majuha ni wa CCM!. Hata kama ni ukweli unawaona CCM majuha, huku sii kuwatukana?!. Si niliomba tuepuke matukano na lugha za staha?!.hizi sentensi huwa zinasemwa sana na majuha wa CCM
Juzi mnyika kasema hivi hivi
leo ww unasema hivi hivi
kesho sijui nani atasema
You are dead wrong my dear pasco........all i can say no is think again and you have a room to correct that view!
Nikirudi kwenye mada, please lets be realistic, hivi ni kweli ni rais Kikwete ndiye anategemewa afanye kila kitu?!. Hao mawaziri wake na wasaidizi wake wanafanya kazi gani?!. Rais aliahidi maisha bora kwa kila Mtanzania, baada ya ahadi hiyo lilibaki jukumu la timu yake kupanga malengo na kujadili utekelezaji, sasa kama malengo yamepangwa na hayakufikiwa kosa ni la nani?.
Thank God nilikuwepo alipotembelea baadhi ya taasisi akapanga malengo na baada ya miaka mitano akapita tena, kule kule watu wale wale na nyimbo zile zile!. Ni nani hakutimiza wajibu wake?!.
Waberoya wewe uu miongoni mwa ma greti thinka wetu humu jukwaani, kama ni mtazamo huo ni ujuha, weka basi na mtazamo wako ambao sio wa kijuha kama mtazamo huu!.