Mapungufu ya Kikwete: Constructive Criticisim!

yes hasimamii kile anachokiamini..........uongozi wowote kwanza unakuwa na vision halafu unaisuport kwa mission kabambe..
 
aliingia kwenye urais bila vission wala mission.
Hili ni pungufu kubwa sana hata katika maisha ya mtu mmoja mmoja.

Katika ngazi ya uraisi ni balaa zaidi.

Cha kumsaidia, walio karibu naye wampe vission japo ya muda huu mchache uliobaki.
Bora achegue hata sekta moja aiendeleze japo akitoka tumkumbuke kwa hilo.

Sasa hivi tutamkumbuka sikui kwa kitu gani labda safari za nje.

This is very true.
watanzania tumeishia kuwa kama kuku wanaotolewa kwenye banda wahangaike kujitafutia ridhiki ya kila siku.
Jamani, urais sio mchezo mdogo, stay away from Ikulu, sio kila mtu anaweza kwenda pale.:A S embarassed::shock:
 
Mkuu Kongosho, mission na vission ni ile ilani ya uchaguzi aliyoinadi na kuchaguliwa. He had a mission ya maisha bora kwa kila Mtanzania na vision Tanzania yenye neema inawezekana kupitia ari mpya, kasi mpya, na nguvu mpya!. Watendaji aliowategemea ndio wamemwangusha!.
Sikubaliani na wewe kwamba watendani wamemwangusha. He did not show the way. he is AN executive presIdent na kila kitu kinamtegemea YEYE kuonyesha njia. Mbaya zaidi, institutions ambazo zinge sprear head maendeleo zime cease na zinahitaji start kick kila wakati.

Ni rahisi sana kuongoza USA kwa kuwa institutions zipo na zinafanya kazi zake kama kawaida, kuliko Tanzania ambako institutions nyingi hazifanya kazi inavyotakiwa. Kwa maana hiyo, rais anatakiwa kuwa kama day worker, kila siku kusimamia watu.
 
Mtu unacho kioo mkononi, je utashindwa kuona uchafu wa uso wako? Au uchafu wa nguo ulizovaa? Malalamiko ya wananchi kupitia magazeti, television na mitandao ya kijamii ni kioo tosha lakini hakimsaidii JK. Maandamano toka nyanja zote bado zinagonga mwamba kwa JK kujirekebisha. Hitimisho la hili ni ushari wa BURE kuwa ameshindwa na ajiuzuru yeye na watu wake aliowaweka madarakani. Hakuna ushauri mwingine. La sivyo kama hataki kujiuzulu basi akubali matokeo magumu kutoka kwa wananchi. Alikotoka ni karibu kuliko anakokwenda.
 
Safari za nje ya nji zipungue.Sometimes anaambata na umati wa watu na wote wanagharamiwa na kodi ya wananchi.Sometimes kuna safari amabazo waziri wa mambo ya nje au mawaziri husika wanaweza kuwakilisha na wapunguze idadi ya wasindikizaji.
 
aliingia ikulu na marafiki wengi nakuacha urafiki uendeleee,raisi ni msikivu sana anasikiliza sana mpaka umbea,majungu.
Kazou, kwenye hili la JK kuwa ni msikivu sana na kusikiliza mpaka umbeya na majungu, naomba nimtetee!. Angesikiliza mpaka umbea na majungu, saa hizi angeshasikia watu kibao wana...a debe!. Hata jf ingeshafingwa zamani!.

Kati ya madhaifu ya JK ni mapuuza!. Naamini kabisa kuna vitu anaambiwa afanye kwa maslahi ya taifa, anasikiliza tuu na hafanyi!. Naamini baada ya ule mgomo wa kwanza, baada ya kamati ya bunge kurudisha majibu, walitoa mapendekezo fulani na kumpigia JK usiku huo huo na kumwambia!. Alisikiliza and he did nothing!. Pinda baada ya kuwatimua Mama Nyoni na Dr. Mtasiwa, alimshauri JK kuwatimua watu fulani, JK did nothing!. Kiukweli JK sio msikivu kabisa!.

Kwa vile msingi wa thread hii ni constructive criticisim. JK lazima sio tuu awe msikivu zaidi bali pia awe mtekelezaji promptly baadhi anayotasikia!.

Tuchukue fursa hii kwa kuwa msikivu kwenye baadhi ya mambo kikiwemo kilio cha katiba mpya na kuwakaribisha wapinzani Ikulu kuwasikiliza na kutekeleza ushauri wao!.

Pia tumpongeze kwa kutosikiliza majungu pale ikulu, kwa nature ya watu wa ukanda Pwani. majungu ni jadi yao!. Tunamshukuru JK anatoka ukanda huo na wapika majungu wamefunga breki!.
 
Duh, sasa MMU na Chit Chat nako tumwage mapweint.

Afu, bye bwana naogopa kuchakachua hapa. Hii ina maslah kwa taifa, kwa uchakachuzi njoo kule kwetu.
Sina lengo la kuchakachuwa hii thread, ila naogopa nikimtaja tu Lowasa kwamba awajibishwe na ndiye anayesababisha JK aonekane legelege basi hapo Pasco mishipa yote itamsimama kuanza utetezi wakati hii thread ametaka tuseme udhaifu wa JK.
 
Weakness na Huruma can never be used interchangeably. He is weak that's it. Kwamba kuwasamehe wezi wa EPA ni huruma! Pasco you are not serious. Sorry, nimekaidi maombi yako ya kutolaumu.
 
Hii ni ilani ya Chama!
pamoja nayo bado yeye kama kiongozi mkuu wa Nchi,
bado alipaswa/anapaswa kuongoza nchi kwa Vision na Mission Binafsi
yenye kujenga nchi!

Kimsingi, yawezekana alikuwa nayo na ndo haya yanayopelekea mapungufu yake kuonekana!

kimsingi, mtu ambaye hana uwezo wa kuona mbali, usaidiwa kwa kupewa MIWANI
itakayomwezesha kuona mbali, kwa huyu yeye anajisaidia kwa kujipa miwani ya Kuona Karibu!

Hata mwalimu mzuri, ni yule anayeacha wanafunzi wake wanatoa mawazo yao
kisha yeye utumia mapungufu yao kuwaweka sawa! huyu ameshindwa, hata tukikesha naye!

Ni wakati sasa Watanzania kujifunza hili kutokurudia haya Makosa ya
kuchagua kiongozi asiyeweza kuona mbali!


Mkuu Kongosho, mission na vission ni ile ilani ya uchaguzi aliyoinadi na kuchaguliwa. He had a mission ya maisha bora kwa kila Mtanzania na vision Tanzania yenye neema inawezekana kupitia ari mpya, kasi mpya, na nguvu mpya!. Watendaji aliowategemea ndio wamemwangusha!.
 
Kwangu mimi JK anaonekana amechoka na anatamani 2015 ifike haraka awaachie li-nchi lenu likiwa limechoka.

Sijui kwa hakika kama tatizo la JK ni huruma au uoga..nadhani anatatizo kubwa zaidi,nalo ni kutojali na kuchukulia mambo kirahisi.

Nahisi pia kuwa wasaidizi wake uwa hawampi taarifa za kutosha..na kama wanampa taarifa za kutosha basi wanampa ambazo si sahihi. Kama wanampa taarifa kuwa bwana mkubwa wananchi wanafurahi na wanasema maisha ni mazuri na wanakushukuru sana kwanini asiwe hivi alivyo? Mtu asiyejali, anacheka kwa kila kitu.

Ukiwa na wasaidizi wanaokupa propaganda badala ya uhalisia lazima uwe kama JK... Ukiwa na wasaidizi wasiotaka kutenganisha kazi za chama na serikali haya lazima yatokee na bado hapa ni mwanzo kabisa. Nina hakika inawezekana wakati mwingine wanampa taarifa halisia na zakutosha isipokuwa wanapojadiliana wanamuonyesha mambo si magumu kiasi hicho..wanaweza sema hawa madaktari wanasukumwa na CHADEMA hawa na kuna kijana mmoja sio dokta anaitwa Ulimboka tumpige yule watarudi tu, ngoja tuwatishe kama usipofika ofisini tutakufuta watarudi wote muheshimiwa subiri uone.. kwa siasa hizi huyu jamaa ataendelea kufanya vibaya milele.
 
Kazou, kwenye hili la JK kuwa ni msikivu sana na kusikiliza mpaka umbeya na majungu, naomba nimtetee!. Angesikiliza mpaka umbea na majungu, saa hizi angeshasikia watu kibao wana...a debe!. Hata jf ingeshafingwa zamani!.

Kati ya madhaifu ya JK ni mapuuza!. Naamini kabisa kuna vitu anaambiwa afanye kwa maslahi ya taifa, anasikiliza tuu na hafanyi!. Naamini baada ya ule mgomo wa kwanza, baada ya kamati ya bunge kurudisha majibu, walitoa mapendekezo fulani na kumpigia JK usiku huo huo na kumwambia!. Alisikiliza and he did nothing!. Pinda baada ya kuwatimua Mama Nyoni na Dr. Mtasiwa, alimshauri JK kuwatimua watu fulani, JK did nothing!. Kiukweli JK sio msikivu kabisa!.

Kwa vile msingi wa thread hii ni constructive criticisim. JK lazima sio tuu awe msikivu zaidi bali pia awe mtekelezaji promptly baadhi anayotasikia!.

Tuchukue fursa hii kwa kuwa msikivu kwenye baadhi ya mambo kikiwemo kilio cha katiba mpya na kuwakaribisha wapinzani Ikulu kuwasikiliza na kutekeleza ushauri wao!.

Pia tumpongeze kwa kutosikiliza majungu pale ikulu, kwa nature ya watu wa ukanda Pwani. majungu ni jadi yao!. Tunamshukuru JK anatoka ukanda huo na wapika majungu wamefunga breki!.

Pasco, lazima ukubali ukweli kwamba Kikwete aliingia Ikulu bila kuwa na vision na mission yeye kama yeye. This implies that hana hata legacy yoyote anayotaka kuacha nyuma baada ya urais wake kwisha. Alidhani nchi inaweza kuongozwa kirahisi tu kwa kujaza washkaji zake. Ukweli ni kwamba urais unahitaji KICHWA chako kwanza, kitu ambacho sina uhakika kama Kikwete alijua hivyo. Yeye alijua akiteua maprofesa nchi ingesonga mbele huku yeye akizunguka dunia.

USHAURI:
. Rais aache urafiki kwenye jambo ambalo lina maslahi pana kwa umma. Waziri au kiongozi yeyote mbovu awajibishwe mara moja na kupisha wengine.

. Uteuzi wa mawaziri na watendaji kazini uzingatie uwezo na siyo urafiki.

. Aache kuwaingilia kazi mawaziri wake na kuwaruhusu wafanye kazi kwa mujibu wa sheria. Mfano, kitendo cha kumwita Dr. Magufuli mbabe wakati abatekeleza sheria ni kuwavunja moyo wasaidizi wake.

. Apunguze tabia ya kutembea nje za nchi ili apunguze gharama zisizo na maana na apate muda wa kuwatumikia wananchi wake.
 
Aliingizwa na kundi la watu kwa maslahi yao, kwahiyo yeye hajui mpaka leo kwamba pale Ikulu hasa anatakiwa afanye nini!!!!!!!!!!!!!!

Hana Vision wala mission na alishawahi kusema kuwa vitu vingine amevikuta tu kwenye Ilani ya Uchaguzi, havijui na hakupanga kuvitekeleza.
 
Nadhani amekuwa kama wacheza mpira wetu.........kuamini kuwa imani asilia na kumwachia mungu inasaidia kuzishinda changamoto....ikiwa hata tatizo la umeme alisema ni la Mungu na sio yeye
 
Mkuu Kongosho, mission na vission ni ile ilani ya uchaguzi aliyoinadi na kuchaguliwa. He had a mission ya maisha bora kwa kila Mtanzania na vision Tanzania yenye neema inawezekana kupitia ari mpya, kasi mpya, na nguvu mpya!. Watendaji aliowategemea ndio wamemwangusha!.

Duh!
Siamini kama na wewe Pasco unanunua huo utumbo...
Kwa mara ya kwanza nimeanza kuelewa mjadala wako na MTM..



Ok, sawa "JK ameangushwa"
sasa itasaidia nini sisi kuorodhesha mapufu yake hapa??
Sababu hao "watendaji" aliowategemea ni bado anawategemea....
Kwa maana yako ni kuwa JK yupo chini kaanguka na hatoamka sababu bado yupo na watendaji walewale...
Haitafaa kitu kwa miaka hii 3 iliyobaki.
 
1, hasimamii kile anachokisema (kwa ufupi ni muongo)
2, ni mtu kigeugeu
3, anajifanya msikivu sana kumbe mnafiki.
4, ni mdini mkubwa.
5. hajui ni kwanini yupo ikulu na wala hajui majukumu ya mtu anayefika ikulu ni yapi. (anafikiri ikulu ni dangulo au soko la maharamia)


Nakuunga mkono zumbemkuu.
Wakati wa mgomo wa madaktari alikaa kimya na ulipoisha akaibuka na kusema hautatokea tena lakini ndani ya chini ya wiki mbili toka aseme hivyo madaktari wamegoma!! Akheri angeendelea kukaa kimya
 
living-with-a-brain-disorder-brain-blogger.jpg
 
1. Unakusanya maoni au unamshauri kushughulika na madaktari mkuu ?????

2. Naona kama kuna mada juu ya mada hapa

3. Sijui kwa nini umeamua kuiita "constructive criticism" ??? Before whose eyes in this multiparty era!!!!!!

4. Tuanze na hayo kabla ya kuanza hiyo task ulotoa
 
Mkuu Kongosho, mission na vission ni ile ilani ya uchaguzi aliyoinadi na kuchaguliwa. He had a mission ya maisha bora kwa kila Mtanzania na vision Tanzania yenye neema inawezekana kupitia ari mpya, kasi mpya, na nguvu mpya!. Watendaji aliowategemea ndio wamemwangusha!.
hizi sentensi huwa zinasemwa sana na majuha wa CCM

Juzi mnyika kasema hivi hivi
leo ww unasema hivi hivi

kesho sijui nani atasema

You are dead wrong my dear pasco........all i can say no is think again and you have a room to correct that view!
 
1, hasimamii kile anachokisema (kwa ufupi ni muongo)
2, ni mtu kigeugeu
3, anajifanya msikivu sana kumbe mnafiki.
4, ni mdini mkubwa.
5. hajui ni kwanini yupo ikulu na wala hajui majukumu ya mtu anayefika ikulu ni yapi. (anafikiri ikulu ni dangulo au soko la maharamia)


Zumbemkuu nimekubaliana nawe.
Alisema wakati madakatari walipogoma alikaa kimya akaenda Davos kula kuku. Waliporejea kazini akijitokeza na kusema atahakikisha mgomo hautatokea tena. Leo hii tunashuhudia chini ya wiki mbili baada ya kauli hiyo wamegoma na yuko kimya. Sijui anajiandaa kwenda kula kuku tena wapi!!!
 
hizi sentensi huwa zinasemwa sana na majuha wa CCM

Juzi mnyika kasema hivi hivi
leo ww unasema hivi hivi

kesho sijui nani atasema

You are dead wrong my dear pasco........all i can say no is think again and you have a room to correct that view!

Huwa inaniuzi sana hiyo kauli, yeye ndo ameteua vichwa hivyo kwanini aseme vinamwangusha wakati anauwezo wa kuwatoa na kubadili vichwa vingine HUU NI UTETEZI WAKIJINGA SANA.
JAMAA HAJIWEZI KABISAA NA MIMI NAMSAMEHE BURE!
 
Back
Top Bottom