ISRAEL JR
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 1,439
- 631
Akizungumza na wanachama wa CCM ukumbi wa CCM wilaya ya Mkuranga Ndugu Kinana amewataka wana-CCM kujitokeza kwa wingi kuomba nafasi za uongozi ndani ya Chama katika uchaguzi unaoendelea pamoja na kuwahimiza viongozi wa ngazi zote kuhakikisha uchaguzi unakuwa wa huru, haki na wenye kuzingatia katiba ya CCM na kanuni zake ili kuwapata viongozi waadilifu.
'CCM Imara, Shiriki Uchaguzi Kwa Uadilifu'
#CCMImara
#KaziIendelee