Abdulrahman Kinana amesema Uchaguzi ujao utakuwa wa haki kwani wasimamizi watakuwa Waadilifu na Waaminifu.
"Bunge limekubali (Bunge la Tanzania) limesema wasimamizi wa uchaguzi watakuwa watumishi wa umma waandamizi. Mtu atateuliwa kwa sifa; sifa za uadilifu, uhodari wa kazi na uaminifu. Mnataka nini tena? Tume itapata fedha kutoka kwenye mfuko mkuu wa Serikali."-Abdulrahman Kinana
Nini maoni yako?
"Bunge limekubali (Bunge la Tanzania) limesema wasimamizi wa uchaguzi watakuwa watumishi wa umma waandamizi. Mtu atateuliwa kwa sifa; sifa za uadilifu, uhodari wa kazi na uaminifu. Mnataka nini tena? Tume itapata fedha kutoka kwenye mfuko mkuu wa Serikali."-Abdulrahman Kinana
Nini maoni yako?