Mapokezi Makubwa kwa Dr.Slaa

Mapokezi Makubwa kwa Dr.Slaa

HAMY-D, pamoja na kutokukubaliana na wewe kwa mambo mengi tu, nakupa big up kwa kuchangia uendeshaji wa hili jamvi letu tunalolipenda lakini je, huyu ndugu yako ZeMarcopolo, aliyehamishia humu hadi kitanda, huwezi kumshawishi naye akachangia japo kiduchu?
Sio hivyo tu bali ZeMarcopolo kaacha kazi yake halali ya ukunga/ungariba pale Mvomero Morogoro nakujada Dar kukesha viunga vya Lumumba akipiga porojoma huku jioni akigombania treni kwenda Mawenzi Tabata
 
Afadhali aliyeenda na mkewe kuliko aliyebeba mamako kama hawara na kwenda kubadilisha damu yenye VVU kwa kodi yako! Kwanza kabeba mamako pili kamuambukiza VVU tatu katumia kodi yako kubadili damu yake mwenyewe!!

Kwani yule anayekwenda USA kupiga picha na vimada wa Hollywood anapiga picha kwa kodi ya nani?
Na kama unafikiri siku ile mlipokutana hakuvaa kinga na kuamini ulimuambukiza VVU hivyo na yeye kuwaambukiza wengine, naomba usahau.Maana kwa mujibu wa statement yako unatutaarifu wazi kuwa aliwahi 'kukudokoa'!

Generally, umeonyesha ni bora kuwa na UKIMWI unaweza ukawaza maendeleo chanya kwa nchi kuliko kuwa na Upungufu wa Akili Kichwani-UAKI na kutoa maoni-uozo,na kujidhihirisha wazi kuwa umebeba kichwa kilichojaa kamasi badala ya ubongo!
 
big result now.....tutaibiwa mpaka "!!!!!!"!!.....
kuna siku nilisikia mbunge wa ccm akisema yeye kaiba kidogo lakini wengine wameiba pesa nyingi"!!
 
Fanyeni kazi jamani yaani apokelewe kwambwembwe huyu mzinifu? Big NO.....
 
- Ni kweli ametuwakilisha vizuri sana kwa kwenda nchi za watu na mke wa mtu ambaye kesi yake bado ipo mahakamani, sawa sawa!!, hii ni bendera fuata upepo tu bila hata kuuliza!!

Le Mutuz

kwa habari ya wake za Watu Mwigulu Nchemba anao uzoefu wa kutosha, Igunga etc etc
 
Last edited by a moderator:
Hii thread kichwa cha habari ilitakiwa isomeke hivi:MAPOKEZI MAKUBWA KWA WAZINIFU MASHUHURI.
 
Mara nyingi kwenye shughuli za kijingajinga kama hizi huwezi kukuta watu wanaojiheshimu.

Halafu msongamano wenu utamnyma uhuru Josephine Mushumbusi. Amefanya shopping ya nguvu Marekani, sasa mkijazana pale ataona noma na mizigo kibao wakati anawalaghai kuwa alienda study tour...

Wewe umri wako miaka mingapi?
 
Vijana acheni ushabiki wa kipuuzi, jifanyieni shughuli za kuzalisha mali ili mjipatie kipato.

Huyo babu Slaa ni mtu wa kupita tu, muda wenu una thamani sana kama mkiutumia vizuri.

Hakuna binadamu aliyezaliwa kumshangilia mwenzake, we all suppose to be winners.


HAMY-D = Shonza
 
kuhusu ZeMarcopolo, nadhani kuna utaratibu wa members kuchagua kama watahitaji kuonekana na hizo icon ama lah. Ni imani yangu ZeMarcopolo ni miongoni mwa members wa aina hii ambao hawakupenda kuonekana na hizo icon ila wamechangia uendeshaji wa jukwaa letu.

Acha fix arifu hamy-d, ukichangia tu lazima hiyo Icon ionekane.

Jambo la msingi ambalo ungeweza kufanya ni kumsaidia jamaa yako zemarcopolo hiyo shilingi elfu thelathini ili angalau na yeye aunge mkono uwepo wa JF sio anakesha hapa 24/7 lakini hajatoa hata thumni.
 
Last edited by a moderator:
- Ni kweli ametuwakilisha vizuri sana kwa kwenda nchi za watu na mke wa mtu ambaye kesi yake bado ipo mahakamani, sawa sawa!!, hii ni bendera fuata upepo tu bila hata kuuliza!!

Le Mutuz


Kilago alikuwa mke wa nani? Tena kale kazee kasivyo na aibu kakaridhi hadi watoto wa Kilango. Kasivyo na haya kazee ka miaka 98 kanakwenda kupora mke mwenye umri sawa na watoto wake wa kiume..Siye wenye macho akili mkichwa.
 
Mimi nashauri Slaa W (PhD) aachwe aje nyumbani na akiona infaa basi awe na press conference tuachane na mambo ya kizamani kujazana airport kumpokea .Haina maana yeyote wote tunamkubali na apate muda wa kuongea na wana habari yote yatakuwa sawa .Wananchi wafanye kazi na siasa uchwara za ki CCM tuwaachie wenyewe .
 
- I mean ni simple common sense tu, unafikiri wale wazungu hawajui kwamba Dr. Slaa anasafiri na mke wa mtu? Ubalozi wao hapa unafanya nini? Lipo faili lake kule State Department ambalo lina habari zake zote ambazo kabla hajaenda ni lazima Viongozi wa juu kule wafahamishwe mapema kuhusu kiongozi anayekuja, uzuri na mapungufu yake, kama wanaweza ku-make deal naye au hapana.

- So alipokuwa huko Wazungu walikuwa wanamuangalia tu lakini wanajua kila kitu mkuu sana, sasa swali ni kama anaweza kuishi na mke wa mtu bila kumaliza taratibu za kisheria kwanza, je anaweza kuwa Rais anyefaa kuliko wa sasa? Nafikiri jibu lipo wazi sana!! ha! ha! ha!

LE Mutuz

Kama wanavyojua kuwa Malecela alipora mke na watoto wa mme mwenzie.. Halafu hivi ni kweli kuwa mama yako yuko Mbeya?? ni swali tu..
 
Vijana acheni ushabiki wa kipuuzi, jifanyieni shughuli za kuzalisha mali ili mjipatie kipato.

Huyo babu Slaa ni mtu wa kupita tu, muda wenu una thamani sana kama mkiutumia vizuri.

Hakuna binadamu aliyezaliwa kumshangilia mwenzake, we all suppose to be winners.
umeongeA KAMA UNAAKILI!
 
Vijana nawapa ushauri wa bure msidhani Chadema wapo kwa ajili ya kuwakwamua kimaisha siyo kweli.

Serikali ya mtu ni kichwa chake mwenyewe siri ya mafanikio ni kufanya kazi.

Usitegeme kushinda vijiweni na kujipa matumaini kuwa Chadema wakichukuwa nchi watagawa pesa.

Nimeipenda hiyo, suala sio CCM, CDM, NCCR, CUF wala nini....japo vina mchango mkubwa lakini maendeleo ya ujumla hayapo, lazima ufanye kazi na hicho ndio kinachotutofautisha kati ya mtu na mtu.

Vinginevyo itakujachukua nchi CDM na watu wasipate kile wanachofikiri watakipata chini ya CDM matokeo yake hali ikawa mbaya zaidi........
 
Back
Top Bottom