KYAMTUNDU
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 1,820
- 295
Fanyeni kazi mjiingize kipato chenu halali.
Msipoteze muda wenu kwa ajili ya mtu anayeandaa maisha yake binafsi ya kustaafu...
Matege ya fikra ni hatari ndugu!
Huo wito ni kwa wpinzani peke yao??
Mbona hujautoa wakati wa ziara ya OBAMA?