Mapokezi Makubwa kwa Dr.Slaa

Mapokezi Makubwa kwa Dr.Slaa

Heshima kwa wote! Wandugu kwa kuwa mpaka sasa dr. Slaa ametuwakilisha vyema huko marekani, (nadhani) hadi wao wanashangaa kwanini hakuchaguliwa badala yake akapewa dhaifu, legelege asiye na hoja jk. Kwa kutambua hilo na dhima nzima ya ziara hiyo 'vission Tanzania' nashauri wote tunaoitakia mema nchi yetu tumiminike uwanjani kumpokea kwa mabango na jumbe za kumtia moyo. NB: hatuhitaji kibali wala ruhusa ya polisi coz sio maandamano bali mapokezi...Mwanasoka mbuyu twite alipokewa na maelfu ya watu uwanjani na hawakuomba ruhusa popote coz hakuna sheria iliyovunjwa, so police stay out of this

Si vizuri kumtukana rais wako.
 
Fanyeni kazi mjiingize kipato chenu halali.

Msipoteze muda wenu kwa ajili ya mtu anayeandaa maisha yake binafsi ya kustaafu...
Hivi wewe humu jamvini unamokesha na kushinda kutwa nzima uko kazini? Au bangi tu!!
 
Fanyeni kazi mjiingize kipato chenu halali.

Msipoteze muda wenu kwa ajili ya mtu anayeandaa maisha yake binafsi ya kustaafu...

Vijana acheni ushabiki wa kipuuzi, jifanyieni shughuli za kuzalisha mali ili mjipatie kipato.

Huyo babu Slaa ni mtu wa kupita tu, muda wenu una thamani sana kama mkiutumia vizuri.

Hakuna binadamu aliyezaliwa kumshangilia mwenzake, we all suppose to be winners.

Mkuu unajua sijakitumia siku nyingi sana hivyo nadhani sasa ni wakati muafaka

Vijana nawapa ushauri wa bure msidhani Chadema wapo kwa ajili ya kuwakwamua kimaisha siyo kweli.

Serikali ya mtu ni kichwa chake mwenyewe siri ya mafanikio ni kufanya kazi.

Usitegeme kushinda vijiweni na kujipa matumaini kuwa Chadema wakichukuwa nchi watagawa pesa.

Msukule wewe hata manyaunyau akichinja paka 20 hauponi tena.Babu amekumaliza kila kitu
Miongoni mwa watu wasiotumia ubongo wao kufikiri... ni kurukia kila kitu kishabiki.. JK anaishia 2015 kikatiba mtahamia chama gani? Ajenda iliyowapeleka CCM itakuwa imekufa.
 
Fanyeni kazi mjiingize kipato chenu halali.

Msipoteze muda wenu kwa ajili ya mtu anayeandaa maisha yake binafsi ya kustaafu...
Hivi wewe tangu upate hii ajira ya kwenye mitandao umekwishatajirika kweli? Au ndo kwanza umegeuka kuwa mwendawazimu?!!
 
Slaa nae anakuja na staili zile zile za Kikwete, kila akisafiri kidogo akirudi lazima msafara wa viongozi kwenda kumpokea, utadhani alikwenda UN kudai uhuru wa nchi.
 
Slaa nae anakuja na staili zile zile za Kikwete, kila akisafiri kidogo akirudi lazima msafara wa viongozi kwenda kumpokea, utadhani alikwenda UN kudai uhuru wa nchi.

Punguza pumba. Tumia ubongo kwa kufikiri kabla hujamwaga shudu zako
 
Mmmm! mambo mengine hata siyo ya kushabikia wacha nijitafutie kipato kwanza hayo ya slaa siku nyingine....
 
Dharau na kejeli kwa rais zina uhusiano gani na mapokezi ya bwn Slaa ndg yangu! Tatizo malezi ya nje ya ndoa uliyopatiwa ndo matokeo yake haya. Mbuyu Twite na Slaa huoni ni tofauti kama vile mbigu na ardhi?
 
Ngoja niandae buti zangu na kirungu...
3594.gif
Hizo zana umezipata wapi na wewe ni ex cop?
 
Back
Top Bottom