Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,043
- 1,012
Fanyeni kazi mjiingize kipato chenu halali.
Msipoteze muda wenu kwa ajili ya mtu anayeandaa maisha yake binafsi ya kustaafu...
Rubbish
Fanyeni kazi mjiingize kipato chenu halali.
Msipoteze muda wenu kwa ajili ya mtu anayeandaa maisha yake binafsi ya kustaafu...
We msukule Mingoi tupe mrejesho unajisikiaje unapopigwa kitu chenye ncha tamu...hahahahaaaaaKumbe kiboko yako ni Mzito Kabwela...kudadeki unenywea kama unashindiliwa kitu chenye ncha tamu!
Fanyeni kazi mjiingize kipato chenu halali.
Msipoteze muda wenu kwa ajili ya mtu anayeandaa maisha yake binafsi ya kustaafu...
Ngoja mzee aponde mali na HAWARA kufa kwaja.
kumbe mtu akienda hanimuni wapambe kazi yao ni kupost kama big brother? kazi unayo Jose? ila ndoa kazi. hakuna chochote anachofanya zaidi ya kusambaza vipeperushi vya tour yake na hoteli aliyojenga kwa fedha za chama, acheni kuwalaghai watanzania. hawana akili ndogo kama zenu. kweli akili ndogo kazi sana.Heshima kwa wote! Wandugu kwa kuwa mpaka sasa dr. Slaa ametuwakilisha vyema huko marekani, (nadhani) hadi wao wanashangaa kwanini hakuchaguliwa badala yake akapewa dhaifu, legelege asiye na hoja jk. Kwa kutambua hilo na dhima nzima ya ziara hiyo 'vission Tanzania' nashauri wote tunaoitakia mema nchi yetu tumiminike uwanjani kumpokea kwa mabango na jumbe za kumtia moyo. NB: hatuhitaji kibali wala ruhusa ya polisi coz sio maandamano bali mapokezi...Mwanasoka mbuyu twite alipokewa na maelfu ya watu uwanjani na hawakuomba ruhusa popote coz hakuna sheria iliyovunjwa, so police stay out of this
Hii ni syphilis ya akili,kwani hao kwani wanakula kwako? Au kwanini mnasombelea watu kwa malori waudhurie mikutano yenu msiwaache wafanye kazi?Fanyeni kazi mjiingize kipato chenu halali.
Msipoteze muda wenu kwa ajili ya mtu anayeandaa maisha yake binafsi ya kustaafu...
ukweli siku zote unauma, umeguswa pabaya nini? au unajitekenya mwenyewe na unacheka mwenyewe? acha kuwewesekaRubbish
Hamy-D, wewe unamshabikia nani?? Au ndiyo wale mliopewa pipi na soda mkaona haya ndiyo maisha?? Ukikua utayajua na utaona. Time'll tell YOU.
Heshima kwa wote! Wandugu kwa kuwa mpaka sasa dr. Slaa ametuwakilisha vyema huko marekani, (nadhani) hadi wao wanashangaa kwanini hakuchaguliwa badala yake akapewa dhaifu, legelege asiye na hoja jk. Kwa kutambua hilo na dhima nzima ya ziara hiyo 'vission Tanzania' nashauri wote tunaoitakia mema nchi yetu tumiminike uwanjani kumpokea kwa mabango na jumbe za kumtia moyo. NB: hatuhitaji kibali wala ruhusa ya polisi coz sio maandamano bali mapokezi...Mwanasoka mbuyu twite alipokewa na maelfu ya watu uwanjani na hawakuomba ruhusa popote coz hakuna sheria iliyovunjwa, so police stay out of this
Vijana acheni ushabiki wa kipuuzi, jifanyieni shughuli za kuzalisha mali ili mjipatie kipato.
Huyo babu Slaa ni mtu wa kupita tu, muda wenu una thamani sana kama mkiutumia vizuri.
Hakuna binadamu aliyezaliwa kumshangilia mwenzake, we all suppose to be winners.
ANA WIVU WA KIKE HUYO MWACHE BILA SHAKA ANAFANYIA KAZI KIJITONYAMA!! kwa watoa kucha na macho!!ukweli siku zote unauma, umeguswa pabaya nini? au unajitekenya mwenyewe na unacheka mwenyewe? acha kuweweseka
mpe vidonge!!je,wewe na hiyo kambi yako mnafanya kazi saa ngapi kucha,kutwa mpo hapa hata chooni hamuendi
kwakuwa hakili zenu haziwashi munaweza mukafanya hivyo mtu alikuwa ameeda kutanua na mke wa mtu halafu munamupoke kwa maadamo
Vijana nawapa ushauri wa bure msidhani Chadema wapo kwa ajili ya kuwakwamua kimaisha siyo kweli.
Serikali ya mtu ni kichwa chake mwenyewe siri ya mafanikio ni kufanya kazi.
Usitegeme kushinda vijiweni na kujipa matumaini kuwa Chadema wakichukuwa nchi watagawa pesa.
Nani anasema ni maandamano? Kumpokea mtu anayerudi safari ni lazima iwe maandamano?
Dr.Slaa ni kipenzi nambari wani cha Watanzania. Akirudi safari ya kikazi lazima apokelewe kwa shangwe. Kwanini kinakuuma? Sitakuweko kwani niko mbali na Dar.
- Ni kweli ametuwakilisha vizuri sana kwa kwenda nchi za watu na mke wa mtu ambaye kesi yake bado ipo mahakamani, sawa sawa!!, hii ni bendera fuata upepo tu bila hata kuuliza!!
Le Mutuz