Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
Honeymoon imekwisha, mabilioni yameteketea, Josephine amejifunza kuvaa viatu. Soon tutamuona ndani ya high heel
Kinakuuma nini? Ulitaka aende honeymoon na mama yako?
Honeymoon imekwisha, mabilioni yameteketea, Josephine amejifunza kuvaa viatu. Soon tutamuona ndani ya high heel
Vibwengo wameshakuharibu usichana wakoMbona nyie mnapeleka mata.ko yenu airport kila siku JK akirejea kutoka kwenye kuuza UNGA Marekani?
Hii thread imekwishaingiliwa na virus!!!
Kamanda mbona umepanic hebu tulizana punguza munkari.Kinakuuma nini? Ulitaka aende honeymoon na mama yako?
Kamanda, JF siyo mali ya Chadema ni jukwaa huru.yaani mi inanikera mbaya.ujue tunakosa fursa za michango ya watu makini kwa sababu ya mitusi ya hii mijitu.cjui tuweke wapi hoja za doctor
Kinakuuma nini? Ulitaka aende honeymoon na mama yako?
Vijana nawapa ushauri wa bure msidhani Chadema wapo kwa ajili ya kuwakwamua kimaisha siyo kweli.
Serikali ya mtu ni kichwa chake mwenyewe siri ya mafanikio ni kufanya kazi.
Usitegeme kushinda vijiweni na kujipa matumaini kuwa Chadema wakichukuwa nchi watagawa pesa.
yaani mi inanikera mbaya.ujue tunakosa fursa za michango ya watu makini kwa sababu ya mitusi ya hii mijitu.cjui tuweke wapi hoja za doctor
Vijana acheni ushabiki wa kipuuzi, jifanyieni shughuli za kuzalisha mali ili mjipatie kipato.
Huyo babu Slaa ni mtu wa kupita tu, muda wenu una thamani sana kama mkiutumia vizuri.
Hakuna binadamu aliyezaliwa kumshangilia mwenzake, we all suppose to be winners.
Honeymoon imekwisha, mabilioni yameteketea, Josephine amejifunza kuvaa viatu. Soon tutamuona ndani ya high heel
Dokta love pimbi
Misukule kwa matusi tu hamna mshindani
Vibwengo wameshakuharibu usichana wako
Heshima kwa wote! Wandugu kwa kuwa mpaka sasa dr. Slaa ametuwakilisha vyema huko marekani, (nadhani) hadi wao wanashangaa kwanini hakuchaguliwa badala yake akapewa dhaifu, legelege asiye na hoja jk. Kwa kutambua hilo na dhima nzima ya ziara hiyo 'vission Tanzania' nashauri wote tunaoitakia mema nchi yetu tumiminike uwanjani kumpokea kwa mabango na jumbe za kumtia moyo. NB: hatuhitaji kibali wala ruhusa ya polisi coz sio maandamano bali mapokezi...Mwanasoka mbuyu twite alipokewa na maelfu ya watu uwanjani na hawakuomba ruhusa popote coz hakuna sheria iliyovunjwa, so police stay out of this
Jibu hoja yote usijibu nusunusu. magamba ila siku mumekuwa mkiongelea kuwa Dr. Slaa mzee sasa jibu hoja hizo na utuambie Samweli Sitta ana umli gani acha uvivu au ndio unakimbilia kuchukua buku 7 yako?Watu kama huyu mara nyingi huwa hawajitokezi kwenye maandamano. Huwa wanaangalia kwenye TV tu!
Vijana kuweni makini...
Le Mutuz umeangamiza waasi utetezi wao utabaki matusi tu- Ni kweli ametuwakilisha vizuri sana kwa kwenda nchi za watu na mke wa mtu ambaye kesi yake bado ipo mahakamani, sawa sawa!!, hii ni bendera fuata upepo tu bila hata kuuliza!!
Le Mutuz
nasikia ndo baba yako .......
Vibwengo wameshakuharibu usichana wako
"Ukishangaa ya Mussa utayaona ya Firauni" dunia imekwisha wazinifu wanataka kupokewa kwa shangwe?- Ni kweli ametuwakilisha vizuri sana kwa kwenda nchi za watu na mke wa mtu ambaye kesi yake bado ipo mahakamani, sawa sawa!!, hii ni bendera fuata upepo tu bila hata kuuliza!!
Le Mutuz