Mapokezi Makubwa kwa Dr.Slaa

Mapokezi Makubwa kwa Dr.Slaa

yaani mi inanikera mbaya.ujue tunakosa fursa za michango ya watu makini kwa sababu ya mitusi ya hii mijitu.cjui tuweke wapi hoja za doctor
Kamanda, JF siyo mali ya Chadema ni jukwaa huru.

Kama mnakereka ingekuwa vizuri kama mngeanzisha forum yenu Chadema uone kama tutakuja huko.
 
Vijana nawapa ushauri wa bure msidhani Chadema wapo kwa ajili ya kuwakwamua kimaisha siyo kweli.

Serikali ya mtu ni kichwa chake mwenyewe siri ya mafanikio ni kufanya kazi.

Usitegeme kushinda vijiweni na kujipa matumaini kuwa Chadema wakichukuwa nchi watagawa pesa.

Wanachofanya ni kupata mtu wa kuwaongoza kwa wao wanavyodhani it's right,sidhani kama wamesema wanataka chadema iwafanyie kazi..wanahitaji mabadiliko ya uongozi basi.
 
Kwenye mambo ya maana kuna mizimu inapoteaga lakini huku wapo kibao,bado na wale 4 sijui bundle zimeisha?
 
Vijana acheni ushabiki wa kipuuzi, jifanyieni shughuli za kuzalisha mali ili mjipatie kipato.

Huyo babu Slaa ni mtu wa kupita tu, muda wenu una thamani sana kama mkiutumia vizuri.

Hakuna binadamu aliyezaliwa kumshangilia mwenzake, we all suppose to be winners.

ha ha ha....nimecheka sana Mkuu..kwa hivyo wewe ushangiliaji wako wa siku zote humu jamvini umekuwa wa kujishabikia mwenyewe tu?!
 
Heshima kwa wote! Wandugu kwa kuwa mpaka sasa dr. Slaa ametuwakilisha vyema huko marekani, (nadhani) hadi wao wanashangaa kwanini hakuchaguliwa badala yake akapewa dhaifu, legelege asiye na hoja jk. Kwa kutambua hilo na dhima nzima ya ziara hiyo 'vission Tanzania' nashauri wote tunaoitakia mema nchi yetu tumiminike uwanjani kumpokea kwa mabango na jumbe za kumtia moyo. NB: hatuhitaji kibali wala ruhusa ya polisi coz sio maandamano bali mapokezi...Mwanasoka mbuyu twite alipokewa na maelfu ya watu uwanjani na hawakuomba ruhusa popote coz hakuna sheria iliyovunjwa, so police stay out of this

- Ni kweli ametuwakilisha vizuri sana kwa kwenda nchi za watu na mke wa mtu ambaye kesi yake bado ipo mahakamani, sawa sawa!!, hii ni bendera fuata upepo tu bila hata kuuliza!!

Le Mutuz
 
Watu kama huyu mara nyingi huwa hawajitokezi kwenye maandamano. Huwa wanaangalia kwenye TV tu!

Vijana kuweni makini...
Jibu hoja yote usijibu nusunusu. magamba ila siku mumekuwa mkiongelea kuwa Dr. Slaa mzee sasa jibu hoja hizo na utuambie Samweli Sitta ana umli gani acha uvivu au ndio unakimbilia kuchukua buku 7 yako?
 
- Ni kweli ametuwakilisha vizuri sana kwa kwenda nchi za watu na mke wa mtu ambaye kesi yake bado ipo mahakamani, sawa sawa!!, hii ni bendera fuata upepo tu bila hata kuuliza!!

Le Mutuz
Le Mutuz umeangamiza waasi utetezi wao utabaki matusi tu
 
- Ni kweli ametuwakilisha vizuri sana kwa kwenda nchi za watu na mke wa mtu ambaye kesi yake bado ipo mahakamani, sawa sawa!!, hii ni bendera fuata upepo tu bila hata kuuliza!!

Le Mutuz
"Ukishangaa ya Mussa utayaona ya Firauni" dunia imekwisha wazinifu wanataka kupokewa kwa shangwe?



 
Back
Top Bottom