Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,419
"Malezi huanzia nyumbani" "apple never fall far from the tree" keep it upNdio maana nikasema mpeleke mama yako akawe mke wa Slaa, tabu iko wapi?
"Malezi huanzia nyumbani" "apple never fall far from the tree" keep it upNdio maana nikasema mpeleke mama yako akawe mke wa Slaa, tabu iko wapi?
Le Mutuz ni matokeo ya uzinifu na si ajabu mother aliamua kubambikiza mtoto wa mzee, maana kwa kawaida watoto wa nje ya ndoa ufanana sana na baba zao sasa Le mutuz niambie amefanana kweli na kale kakongwe? Tena kibaya zaidi zamani alikuwa anaanika issue za huyu mzee "
Vijana acheni ushabiki wa kipuuzi, jifanyieni shughuli za kuzalisha mali ili mjipatie kipato.
Huyo babu Slaa ni mtu wa kupita tu, muda wenu una thamani sana kama mkiutumia vizuri.
Hakuna binadamu aliyezaliwa kumshangilia mwenzake, we all suppose to be winners.
"Malezi huanzia nyumbani" "apple never fall far from the tree" keep it up
Aisee! Hapa kuna haja ya kuwa ALERT CIA, FBI, na DEA wafuatilie kuhusu hili jambo....Mbona nyie mnapeleka mata.ko yenu airport kila siku JK akirejea kutoka kwenye kuuza UNGA Marekani?
Bado haiondoi ukweli kuwa mama yako anamlea mheshimiwa Waziri...
Hapo kwenye red hawa ndugu kwa safari hii ya USA lazima wataongeza mtoto wa haramu mwingine.Hii thread kichwa cha habari ilitakiwa isomeke hivi:MAPOKEZI MAKUBWA KWA WAZINIFU MASHUHURI.
Hapo kwenye red hawa ndugu kwa safari hii ya USA lazima wataongeza mtoto wa haramu mwingine.
We RITZ bin Mbululu kwani baba yako anapokula fedha zetu amezifanyia nini? acha uchawi wa kuwafanyia fitina watanzania waache wampokee raisi wao.Vijana nawapa ushauri wa bure msidhani Chadema wapo kwa ajili ya kuwakwamua kimaisha siyo kweli.
Serikali ya mtu ni kichwa chake mwenyewe siri ya mafanikio ni kufanya kazi.
Usitegeme kushinda vijiweni na kujipa matumaini kuwa Chadema wakichukuwa nchi watagawa pesa.
Amemwaga mbegu za haramu kwenye shamba la mwanzo amemkimbia, akamwaga tena kwa huyu mcharuko.Kesi bado iko mahakamani mume halisi wa mcharuko anakula 3M.Kila mwezi Dr.Slaa akipitisha kidogo tu jamaa anatishia kufufua kesi.Hapo kwenye red hawa ndugu kwa safari hii ya USA lazima wataongeza mtoto wa haramu mwingine.
Wewe ni msemaji wa Josephine? mara ngapi Josephine anajibu hoja hapa JF? au CDM nao wameanza kutoa buku 7, kwa washabiki kujibu hoja?Acha kukashifu mama wa wenzako...tutaenda sawa. Mseme Josephine kwenye issues za maana sio issues personal.
1. Uhusiano wao haramuKuna wenzenu walisukuma gari la Mrema, leo hii wako wapi??
Mtu kaiba mke wa mtu, unaenda kumpokea vp, na kwa kipi?
Kweli tuna safari ndefu?? Hivi kweli watu mko 'busy' au ndio mnakula kwa dada??
Tatizo sio usemaji au kutokusema. Suala hapa ni nidhamu. Yakupasa umheshimu Josephine kama mama katika viwango vile vile ambavyo mama yako ungependa uheshimiwe. Sio unakuja hapa jamvini na mibangi yako kama umetoka kufumaniwa unaanza kutukana wamama wa watu...shwaini we!Wewe ni msemaji wa Josephine? mara ngapi Josephine anajibu hoja hapa JF? au CDM nao wameanza kutoa buku 7, kwa washabiki kujibu hoja?
Ninakwambia hivi, kama kuiba mke wa mtu ni rahisi hivyo, niruhusu nije kumuiba mama yakoKuna wenzenu walisukuma gari la Mrema, leo hii wako wapi??
Mtu kaiba mke wa mtu , unaenda kumpokea vp, na kwa kipi?
Kweli tuna safari ndefu?? Hivi kweli watu mko 'busy' au ndio mnakula kwa dada??
Fanyeni kazi mjiingize kipato chenu halali.
Msipoteze muda wenu kwa ajili ya mtu anayeandaa maisha yake binafsi ya kustaafu...
Vijana nawapa ushauri wa bure msidhani Chadema wapo kwa ajili ya kuwakwamua kimaisha siyo kweli.
Serikali ya mtu ni kichwa chake mwenyewe siri ya mafanikio ni kufanya kazi.
Usitegeme kushinda vijiweni na kujipa matumaini kuwa Chadema wakichukuwa nchi watagawa pesa.