Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,919
Kilago alikuwa mke wa nani? Tena kale kazee kasivyo na aibu kakaridhi hadi watoto wa Kilango. Kasivyo na haya kazee ka miaka 98 kanakwenda kupora mke mwenye umri sawa na watoto wake wa kiume..Siye wenye macho akili mkichwa.
Yeye mwenyewe William kazaliwa nje ya ndoa hana haki pale au mlikuwa hamjui ?