MTAZAMO
Platinum Member
- Feb 8, 2011
- 19,990
- 34,838
Sio kila anayechangia anataka kujulikana kuwa amechangia...
I see!!
Sio kila anayechangia anataka kujulikana kuwa amechangia...
Vijana acheni ushabiki wa kipuuzi, jifanyieni shughuli za kuzalisha mali ili mjipatie kipato.
Huyo babu Slaa ni mtu wa kupita tu, muda wenu una thamani sana kama mkiutumia vizuri.
Hakuna binadamu aliyezaliwa kumshangilia mwenzake, we all suppose to be winners.
Mara nyingi kwenye shughuli za kijingajinga kama hizi huwezi kukuta watu wanaojiheshimu.
Halafu msongamano wenu utamnyma uhuru Josephine Mushumbusi. Amefanya shopping ya nguvu Marekani, sasa mkijazana pale ataona noma na mizigo kibao wakati anawalaghai kuwa alienda study tour...
We RITZ bin Mbululu kwani baba yako anapokula fedha zetu amezifanyia nini? acha uchawi wa kuwafanyia fitina watanzania waache wampokee raisi wao.
Binafsi kwa masuala ya kimataifa nilikuwa simwani kabisa Dr.W.Slaa ila niliposoma ile hotuba aliyoitoa huko Marekani,daah yule kamanda yupo vizuri sana upstairs,Fanyeni kazi mjiingize kipato chenu halali.
Msipoteze muda wenu kwa ajili ya mtu anayeandaa maisha yake binafsi ya kustaafu...
Tatizo sio usemaji au kutokusema. Suala hapa ni nidhamu. Yakupasa umheshimu Josephine kama mama katika viwango vile vile ambavyo mama yako ungependa uheshimiwe. Sio unakuja hapa jamvini na mibangi yako kama umetoka kufumaniwa unaanza kutukana wamama wa watu...shwaini we!
Vijana acheni ushabiki wa kipuuzi, jifanyieni shughuli za kuzalisha mali ili mjipatie kipato.
Huyo babu Slaa ni mtu wa kupita tu, muda wenu una thamani sana kama mkiutumia vizuri.
Hakuna binadamu aliyezaliwa kumshangilia mwenzake, we all suppose to be winners.
Vijana nawapa ushauri wa bure msidhani Chadema wapo kwa ajili ya kuwakwamua kimaisha siyo kweli.
Serikali ya mtu ni kichwa chake mwenyewe siri ya mafanikio ni kufanya kazi.
Usitegeme kushinda vijiweni na kujipa matumaini kuwa Chadema wakichukuwa nchi watagawa pesa.
Mheshimu anayestahili kuheshimiwa, na hutakuwa umepoteza muda wako!Vijana acheni ushabiki wa kipuuzi, jifanyieni shughuli za kuzalisha mali ili mjipatie kipato.
Huyo babu Slaa ni mtu wa kupita tu, muda wenu una thamani sana kama mkiutumia vizuri.
Hakuna binadamu aliyezaliwa kumshangilia mwenzake, we all suppose to be winners.
Kweli imefikia kiasi hiki kuitana shwaini kwa mambo ya vyama? I am giving up and have nice week endTatizo sio usemaji au kutokusema. Suala hapa ni nidhamu. Yakupasa umheshimu Josephine kama mama katika viwango vile vile ambavyo mama yako ungependa uheshimiwe. Sio unakuja hapa jamvini na mibangi yako kama umetoka kufumaniwa unaanza kutukana wamama wa watu...shwaini we!
Vijana nawapa ushauri wa bure msidhani Chadema wapo kwa ajili ya kuwakwamua kimaisha siyo kweli.
Serikali ya mtu ni kichwa chake mwenyewe siri ya mafanikio ni kufanya kazi.
Usitegeme kushinda vijiweni na kujipa matumaini kuwa Chadema wakichukuwa nchi watagawa pesa.
kwani huyo slaa ni nani
Vijana nawapa ushauri wa bure msidhani Chadema wapo kwa ajili ya kuwakwamua kimaisha siyo kweli.
Serikali ya mtu ni kichwa chake mwenyewe siri ya mafanikio ni kufanya kazi.
Usitegeme kushinda vijiweni na kujipa matumaini kuwa Chadema wakichukuwa nchi watagawa pesa.
Vijana acheni ushabiki wa kipuuzi, jifanyieni shughuli za kuzalisha mali ili mjipatie kipato.
Huyo babu Slaa ni mtu wa kupita tu, muda wenu una thamani sana kama mkiutumia vizuri.
Hakuna binadamu aliyezaliwa kumshangilia mwenzake, we all suppose to be winners.
Ngoja mzee aponde mali na HAWARA kufa kwaja.
Fanyeni kazi mjiingize kipato chenu halali.
Msipoteze muda wenu kwa ajili ya mtu anayeandaa maisha yake binafsi ya kustaafu...