MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 20,643
- 42,641
Wengi wenu mna mapishi ya hovyo. Kwenye restaurant zenu vyakula ni vya kusubiri upikiwe ila vikiletwa mara nyingi havijaiva na vina ladha ya kukera. Ni lodge moja tu inaitwa Nyati kule Tunduma niliridhika na mapishi yao. Niliagiza chapati 6 na rost nyama zikawa ziko poa sana ikabidi niongeze chapati zingine 3. Ila mara nyingi nikisafiri ninatoka nje kula kwenye migahawa hata mama ntilie. Ajirini watu wanaoweza kupika.