Mapinduzi yaja Tanzania

Mapinduzi yaja Tanzania

Mchungaji,

Jana kuna thread nime comment kuhusu yanayoendelea huko Malawi na kama yataweza kutokea Tanzania. Nikasema Watanzania tumekuwa wapole sana kwa serikali yetu. Serikali imejaa kibri na inajiona inaweza kufanya lolote kwa wananchi na bado inategemea kuwepo madarakani. Watanzania tume kuwa kama hatuna namna ya kuiwajibisha serikali yetu. Tunalalama tuu. Nikasema pia tatizo moja kubwa ambalo linatukabili ni kuwa tumekubali matatizo yanayotukabili kuwa part ya maisha yetu. Matokeo yake tunaishia kulalamika tuu bila kuchukua concrete action to eradicate the problems. Nikaweka picha hiyo hapo chini na kusema kuwa kama inafikia hatua ya watu kama hao kuyakubali matatizo kuwa part ya maisha then, there is nothing you can do about it.

30e4_46bb.jpg


Nikasema people believe things have fallen apart and that "It is no Longer at Ease" like it used to be. But they're doing nothing because they strongly believe "A Man of the People" will come around and rescue them. Nikasemasa there are also those who believe that "The Beautiful Ones are not yet Born", kwa hiyo wanasubiri mpaka wazuri wazaliwe. Lakini naamini the majority are afraid of "The Petals of Bloods" ndio maana tunasizitiza amani na utulivu. We're afraid to face "The Trial of Dedan Kimathi".

Mchungaji kama umepitia huko Twitter, Facebook na blogs za Watanzania, jaribu kusoma comments zilizoachwa na wachangiaji. Mara nyingi wachangiaji wanasema Eee Mungu tusaidie. Wengi wanaamini there is nothing they can do about the problems they are facing, so they have left it to God to help them. Hata wakati wa Mapinduzi ya Tunisia na Misri watu hapa walikuwa wanamwomba Mungu yatokee pia Tanzania. Then, jaribu kupitia blogs za Wakenya. They don't mention God in their comments, unless ni issue ya kidini. They don't depend on God to fix their problems. Kama Wakenya walikuwa wanamtegemea Mungu wasingepata katiba mpya.

Kwa kifupi siamini kama mapinduzi yanakuja Tanzania. Not yet. Bado sana. Tena sana. Tutandelea kulalamika, kutoipenda serikali n.k lakini yote tutamwachia Mungu. Sijui huko kanisani huwa mnawafundisha nini waumini. Kuwa mwombe Mungu tuu na matatizo yako yote yataisha?

Sahihi kabisa ! Ni ukweli huu mchungu kuukubali, lakini ukirudi nyuma ni mfumo wetu na makuzi yetu! Anachosema Kiongozi wa Dini ama na serikali tuliaminishwa ni sahihi kabisa. Ndiyo maana hata viongozi wa dini wanatubeza eti ni chaguo la Mungu. Kupenda kwetu kuamini uwongo basi tunapelekea kila kitu kuomba nguvu za kimungu zitusaidie umeme urudi na rushwa iondoke.

Time is always a good judge...lets wait a little longer, with our concerted efforts I tend to believe we will be there one day!!!
 
Mmmh, amazing!! hapo ndipo penye shida tena. Maana kukishakuwa na mgawanyiko kati ya wanajeshi hiyo vita yake haitaisha. Yatakuwa kama ya Ghadaf. Wenzetu wa Tunisia na Misri walipata mafanikio makubwa kwa kuwa jeshi lote liliwaunga mkono wananchi. Lakini sitashangaa kama kweli hao vijana wanampenda JK. Maana kama watu wanatestia mabomu yao kwa raia (cf. Mbagala, gongolamboto) na bado hakuna hata mmoja anayechukuliwa hatua za kisheria, kwanini wasimpende.

mkuu nahisi serikali imeona njia sahihi ya kulinda maovu yao nikuwa karibu na jeshi, hivi umesahau jenerali Shimbo alivyoropoka kipindi kile cha uchaguzi? angali hata pesa wanazotengewa jeshini haziguswi na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali na wala hakuna wa kuhoji matumizi yake bungeni.
 
Watanzania wenzangu naomba niwakumbushe kwamba tunapoona kikwetwe ni tatizo tukumbuke yeye ni tunda la mti unaoitwa CCM. Mti mzuri huzaa matunda mazuri na mti mbovu huzaa matunda mabovu. Tutafanya kosa kubwa sana kama tutafikiria kuwa laweza kutokea jema ndani ya CCM. Juhudi zinazoonekana kufanywa kipindi hiki ni kutaka kuendelea kutawala na sio kuleta maendeleo.

Juhudi za mapambano ziendelee kwa nguvu zaidi kuliko hivi sasa. Hatua ya kwanza ilikuwa ni kuweka bayana tatizo kubwa la nchi hiii ni ufisadi, kwanza walikataa lakini sasa wamekubali; huu ni ushindi mkubwa sana. Kwa kuwa wananchi wameona na CCM imekubali hatua ya pili ni kuhoji kwa nini walitumia kodi zetu kufuga majambazi wa uchumi wetu na wao wamekuwa wanufaikaji wa huo mfumo?. Miaka 50 inawatosha kabisa kuonyesha uwezo wao.
1. Walianza na Nyerere - 24 Yrs
2. Akafuatia A.H. Mwinyi - 10Yrs
3. BWMkapa - 10yrs
4. Na sasa Kikwete - 6Yrs (Probabably will be 10Yrs)

Jamani hawa ni watu wanne tofauti lakini waliokuwa selected randomly from CCM busket. Waliosoma hesabu za probability inabidi kuitimisha kuwa kapu hili lina sample mbovu, should be rejected. Si watu hata na mipango yao ni mibovu kwa nini tudanganyike kufanya makosa tena?

Viongozi wa kusitasita na waoga wasioweza kusimamia maamuzi yao hawafai kabisa kabisa mfano S.Sita, Nape M. H. Mwakyembe na wengine wengi kitendo cha kutaka kuondoka CCM na kufanya mageuzi na kushindwa kufanya hivyo kwa ahadi za vyeo na leo wanapiga kelele za mageuzi ndani ya chama ni uzandikii na ubinafsi wa hali ya juu sana. Lengo la kutaka kutoka ni kutafuta nafasi za uongozi na si kuwatumikia wananchi. Watanzania msidanganyike na hawa wabinfsi. Tuliambiwa kuwa kuichagua CCM ni MAAFA.

Mimi naona mbali sijui wewe.
 
mkuu vijana waliomaliza mafunzo ya jeshi huko monduli juzi mwz wa pili huwaambii chochote kuhusu shimbo na jk, wanawapenda kuliko maelezo, rafiki zangu kabisa nilimaliza nao udsm na walikuwa wapinzani wakubwa wa serikali ndo walisema maneno hayo baada yakutoka kwenye mafunzo, nahisi kuna kitu wamelishwa, au hulka ya ubinafsi.
mkuu hata kama umenihakikishia ni rafiki zako siamini unalolisema, labda huyu rafiki zako si raia wa nchi hii!
 
Mwaka 1982 walijaribu ... Miaka 30 baadaya wanaweza kutenda! Ujasiri hauji hivi hivi - Ujasiri upatikana baada ya kushindwa katika njia zote zinazofaa!

ndugu usinichekeshe na zile siasa za 1982. Lazima mkubali kuwa Uhuru wenu mlipewa ofisini hivyo hakuna jasiri hata mmoja mwenye kuthubutu. Niliona mengi sana wakti nipo chuo kikuu mlimani. watu sio majasiri bali ni waoga sana na wanafiki wakubwa ndio maana mkaitwa WaDanganyika kwa maana tu tonge moja la ugali linaweza kuwabadili viongozi wenu.

Msijiongopeeeeee. Msubiri tu 2015 mjaribu bahati yenu.
 
quote_icon.png
By Ben
Moderators tunaomba msifunge au kuhamisha hii thread...........................! na wala Usalama wa Taifa usiwatishe!
Kweli Mods waache watanzania watoe dukuduku lao kuhamisha au kutoa topic kama hizi ni ku practice uoga tunaouzungumzia kuwafanya watanzania wawe watu wa kujadili mambo na matukio mepesi mepesi, na usalama wa taifa hapa ndipo sehemu nzuri ya kujua watanzania wana mawazo gani kuhusu nchi yao na kuyapeleka kunakohusika.
 
"Sisi kama jeshi hatuwezi kufanya mapinduzi, maana tukifanya hivyo tunaweza kujikuta tumekosa support ya wananchi. Ninyi wananchi ndiye mnayechangua serikali mnayoitaka, na sisi kama wanajeshi tunasimamia maamuzi ya wananchi. Lakini ikitokea kwamba wananchi hao hao walioichagua serikali wakaamua kuikataa serikali yao, sisi kama jeshi la wananchi bado tutakuwa upande wa wananchi" mwisho wa kunukuu.

Very theoretical in deed. It does not work like that in practice. Yakitokea machafuko hapa kweli unafikiri jeshi litakwa upande upande wa Wananchi? Just be honest. Wakati wa kampeni mwaka jana jeshi lilitoa statement gani? Ile milipuko ya mabomu Gongo la Mboto, jeshi lilikuwa upande upi? Usilinganishe kabisa jeshi letu na jeshi la Misri. They are completely different. Connection ya jeshi la Misri na Wamisri ni very exceptional.
 
mkuu nahisi serikali imeona njia sahihi ya kulinda maovu yao nikuwa karibu na jeshi, hivi umesahau jenerali shimbo alivyoropoka kipindi kile cha uchaguzi? Angali hata pesa wanazotengewa jeshini haziguswi na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali na wala hakuna wa kuhoji matumizi yake bungeni.
basi hao marafiki ni wabinafsi sana na hawafai kuishi nji hii!
 
Sahihi kabisa ! Ni ukweli huu mchungu kuukubali, lakini ukirudi nyuma ni mfumo wetu na makuzi yetu! Anachosema Kiongozi wa Dini ama na serikali tuliaminishwa ni sahihi kabisa. Ndiyo maana hata viongozi wa dini wanatubeza eti ni chaguo la Mungu. Kupenda kwetu kuamini uwongo basi tunapelekea kila kitu kuomba nguvu za kimungu zitusaidie umeme urudi na rushwa iondoke.

Time is always a good judge...lets wait a little longer, with our concerted efforts I tend to believe we will be there one day!!!


We will be there lakini sio mapema kama wengi tunavyofikiri. It will take a very long time. Especially kwa mtu kama huyu will make the process even longer.

Mchungaji asante kwa topic hii, mimi binafsi nashukuru Mungu kwa kutupa kiongozi legelege Kikwete....

I prefer to speak with evidence. kama inafikia hatua ya kumshukuru Mungu kwa kukupa kiongozi legelege, then what do you expect?
 
Mchungaji,

Mchungaji kama umepitia huko Twitter, Facebook na blogs za Watanzania, jaribu kusoma comments zilizoachwa na wachangiaji. Mara nyingi wachangiaji wanasema Eee Mungu tusaidie. Wengi wanaamini there is nothing they can do about the problems they are facing, so they have left it to God to help them. Hata wakati wa Mapinduzi ya Tunisia na Misri watu hapa walikuwa wanamwomba Mungu yatokee pia Tanzania. Then, jaribu kupitia blogs za Wakenya. They don't mention God in their comments, unless ni issue ya kidini. They don't depend on God to fix their problems. Kama Wakenya walikuwa wanamtegemea Mungu wasingepata katiba mpya.

Kwa kifupi siamini kama mapinduzi yanakuja Tanzania. Not yet. Bado sana. Tena sana. Tutandelea kulalamika, kutoipenda serikali n.k lakini yote tutamwachia Mungu. Sijui huko kanisani huwa mnawafundisha nini waumini. Kuwa mwombe Mungu tuu na matatizo yako yote yataisha?

EMT,

Ni kweli kabisa ya kuwa, jambo lililo ndani ya uwezo wa binadamu mwenyezi Mungu hahusiki kabisaaaaa. Ndo maana sisi binadamu tulipendelewa kuliko viumbe wengine wooooote!!

Always a 1000 Kilometers journey begins with one step.......
 
  • Thanks
Reactions: EMT
basi hao marafiki ni wabinafsi sana na hawafai kuishi nji hii!

mkuu wanajeshi wengi nji hii ni wabinafsi, wanalipwa hela nyingi sana na wanamtii Shimbo km Mungu wao, believe me, jaribu kumdodosa mmoja uone, watakwambia nnayosema hapa, hawao tusiwategemee kabisa katika mapinduzi tunayotarajia kuyafanya, labda askari magereza au manjuka wa mwema wanaoua raia, cha msingi watu wajitokeze kwa wingi ili risasi ziwe chache kuliko waandamanaji.
 
WaTanganyika msijiongopeee HAMNA KABISA UJASIRI huo wa kuleta mapinduzi zaidi ya mapinduzi ya kilimo kuita kilimo kwanza.

Mapinduzi yanataka watu thabiti na waliojitolea kutetea maslahi ya wengi kwani lolote linaweza tokea. Nyie wengi ni wanafiki na kwa kuwa nchi mlipewa kwa njia ya barua basi mtasubiri hivyo hivyo mpaka barua nyingine ije.

Poleni sana

Mkuu you said it all. Mapinduzi ambayo Watanzania tunayafikiria ni utopia kwa sasa.


mm imeniuma ila ni KWELI

Ukweli unauma. Umeukubali but that is not what many Tanzanians want to hear.
 
Watanzania wenzangu naomba niwakumbushe kwamba tunapoona kikwetwe ni tatizo tukumbuke yeye ni tunda la mti unaoitwa CCM. Mti mzuri huzaa matunda mazuri na mti mbovu huzaa matunda mabovu. Tutafanya kosa kubwa sana kama tutafikiria kuwa laweza kutokea jema ndani ya CCM. Juhudi zinazoonekana kufanywa kipindi hiki ni kutaka kuendelea kutawala na sio kuleta maendeleo.

Juhudi za mapambano ziendelee kwa nguvu zaidi kuliko hivi sasa. Hatua ya kwanza ilikuwa ni kuweka bayana tatizo kubwa la nchi hiii ni ufisadi, kwanza walikataa lakini sasa wamekubali; huu ni ushindi mkubwa sana. Kwa kuwa wananchi wameona na CCM imekubali hatua ya pili ni kuhoji kwa nini walitumia kodi zetu kufuga majambazi wa uchumi wetu na wao wamekuwa wanufaikaji wa huo mfumo?. Miaka 50 inawatosha kabisa kuonyesha uwezo wao.
1. Walianza na Nyerere - 24 Yrs
2. Akafuatia A.H. Mwinyi - 10Yrs
3. BWMkapa - 10yrs
4. Na sasa Kikwete - 6Yrs (Probabably will be 10Yrs)

Jamani hawa ni watu wanne tofauti lakini waliokuwa selected randomly from CCM busket. Waliosoma hesabu za probability inabidi kuitimisha kuwa kapu hili lina sample mbovu, should be rejected. Si watu hata na mipango yao ni mibovu kwa nini tudanganyike kufanya makosa tena?

Viongozi wa kusitasita na waoga wasioweza kusimamia maamuzi yao hawafai kabisa kabisa mfano S.Sita, Nape M. H. Mwakyembe na wengine wengi kitendo cha kutaka kuondoka CCM na kufanya mageuzi na kushindwa kufanya hivyo kwa ahadi za vyeo na leo wanapiga kelele za mageuzi ndani ya chama ni uzandikii na ubinafsi wa hali ya juu sana. Lengo la kutaka kutoka ni kutafuta nafasi za uongozi na si kuwatumikia wananchi. Watanzania msidanganyike na hawa wabinfsi. Tuliambiwa kuwa kuichagua CCM ni MAAFA.

Mimi naona mbali sijui wewe.

Sioni kama umeona mbali hapo. Same old story of talking about political parties. Unachojaribu kusema ni kuwa CCM ndio liability kwa taifa. Realitically, that is not the case. Watanzania wote kwa ujumla ndio liability kwa Taifa. That is the naked truth. Hata ukireplace CCM na kuweka CUF, Chadema, NCCR Mageuzi etc, we will still face the same problems, unless and until sisi Watanzania wenyewe tubadilike.
 
Mchungaji,

Jana kuna thread nime comment kuhusu yanayoendelea huko Malawi na kama yataweza kutokea Tanzania. Nikasema Watanzania tumekuwa wapole sana kwa serikali yetu. Serikali imejaa kibri na inajiona inaweza kufanya lolote kwa wananchi na bado inategemea kuwepo madarakani. Watanzania tume kuwa kama hatuna namna ya kuiwajibisha serikali yetu. Tunalalama tuu. Nikasema pia tatizo moja kubwa ambalo linatukabili ni kuwa tumekubali matatizo yanayotukabili kuwa part ya maisha yetu. Matokeo yake tunaishia kulalamika tuu bila kuchukua concrete action to eradicate the problems. Nikaweka picha hiyo hapo chini na kusema kuwa kama inafikia hatua ya watu kama hao kuyakubali matatizo kuwa part ya maisha then, there is nothing you can do about it.

30e4_46bb.jpg


Nikasema people believe things have fallen apart and that "It is no Longer at Ease" like it used to be. But they're doing nothing because they strongly believe "A Man of the People" will come around and rescue them. Nikasemasa there are also those who believe that "The Beautiful Ones are not yet Born", kwa hiyo wanasubiri mpaka wazuri wazaliwe. Lakini naamini the majority are afraid of "The Petals of Bloods" ndio maana tunasizitiza amani na utulivu. We're afraid to face "The Trial of Dedan Kimathi".

Mchungaji kama umepitia huko Twitter, Facebook na blogs za Watanzania, jaribu kusoma comments zilizoachwa na wachangiaji. Mara nyingi wachangiaji wanasema Eee Mungu tusaidie. Wengi wanaamini there is nothing they can do about the problems they are facing, so they have left it to God to help them. Hata wakati wa Mapinduzi ya Tunisia na Misri watu hapa walikuwa wanamwomba Mungu yatokee pia Tanzania. Then, jaribu kupitia blogs za Wakenya. They don't mention God in their comments, unless ni issue ya kidini. They don't depend on God to fix their problems. Kama Wakenya walikuwa wanamtegemea Mungu wasingepata katiba mpya.

Kwa kifupi siamini kama mapinduzi yanakuja Tanzania. Not yet. Bado sana. Tena sana. Tutandelea kulalamika, kutoipenda serikali n.k lakini yote tutamwachia Mungu. Sijui huko kanisani huwa mnawafundisha nini waumini. Kuwa mwombe Mungu tuu na matatizo yako yote yataisha?
Ukweli mtupu!Nimekuwa nikiyasema haya humu jamvini all the times.Mpaka pale tutakaposema "Lets do something" then tutaweza kupata mabadiliko.Tofauti na hapo inakatisha tamaa sana.Kwasababu hakuna kitu kibaya duniani kama woga.Woga amongst other things unaweza kutafsirika kama ujinga.

Woga ni adui wa maisha ya mwanadamu popote pale ulimwenguni.Woga unepelekea kutokuthubutu,ambako kunapelelekea maana halisi ya nchi yetu ilipo.
 
EMT,

Ni kweli kabisa ya kuwa, jambo lililo ndani ya uwezo wa binadamu mwenyezi Mungu hahusiki kabisaaaaa. Ndo maana sisi binadamu tulipendelewa kuliko viumbe wengine wooooote!!

Always a 1000 Kilometers journey begins with one step.......

Kabisa Mkuu. Utamwomba Mungu akupe mwongozo (guidance), support, strength, help katika kutatua matatizo yako. But you can sit there in your heartache waiting on God to save you from your old ways.

The LORD gives his people strength
The LORD gave his people strength
The LORD will give power to his people
The LORD will give strength unto his people

Psalm 29:11

The LORD will give strength - prosperity in our secular affairs, success in our enterprises and his blessing upon our fields and cattle. But if you don't have enterprises, fields and cattle, then there will be no blessing. What for? The LORD cannot bless for nothing.
 
Mapinduzi hayawezi kutokea ila yawezekana kabisa machafuko kutokea. Dalilizote zimekwisha jitokeza na navyowajua Wadanganyika wanasubiri tu mbiu ya Mwizi waanze kualikana wakiwa na mapanga mikononi. Ni jambo jingine kusema mapinduzi kwa sababu mapinduzi hupangwa na hutayarishwa na kundi la watu wakati machafuko ni cheche ndogo tu inayotakiwa kuwashwa na hali ikabadilika kabisa..

Kusema kweli hali iliyopo sasa hivi inatisha na nachelea kusema nina mashaka makubwa sana kama JK atamaliza miaka minne iliyobakia kwa usalama ikiwa hatachukua maamuzi magumu kukabiri hali mbaya ya uchumi iliyopo. Tatizo la Umeme hayatokani na mvua ambazo JK amedai hazikunyesha bali mipango mibaya ya serikali ktk utekelezaji wa kilimo kwanza. Mvua zimenyesha sana mwaka huu kuliko miaka 20 iliyopita, imewakumbusha wananchi zile mvua za miaka ya 70 na 80 lakini kwa sababu wananchi wengi wamevuta maji toka vyanzo vya mito kumwagilia mashamba yao, kujenga visima na kadhalika hii ndio athari yake kwani mto hauna vyanzo vya chemichemi kama za ziwa ama Bahari ni maji yanayopita kwa kasi kutoka vyanzo mbalimbalia ikiwa ni pamoja na mvua.

Wakati wananchi wanalia na umeme hali ya uchumi wetu ni mbaya kupita kiasi na pengine kuliiko hata Ugiriki isipokuwa sisi waafrika ni kawaida yetu kuficha maradhi, hivyo ugonjwa utakuja kutuumbua!... katika hali hiyo nina mashaka sana kama wananchi watakuwa na subira tena.
 
WaTanganyika msijiongopeee HAMNA KABISA UJASIRI huo wa kuleta mapinduzi zaidi ya mapinduzi ya kilimo kuita kilimo kwanza.

Mapinduzi yanataka watu thabiti na waliojitolea kutetea maslahi ya wengi kwani lolote linaweza tokea. Nyie wengi ni wanafiki na kwa kuwa nchi mlipewa kwa njia ya barua basi mtasubiri hivyo hivyo mpaka barua nyingine ije.

Poleni sana
Mkuu Barubaru kwani wewe ni mtanzania wa wapi? mbona unajitoa?ama ulishaukana uraia wako! Kauli zako kwakweli zinanihamasisha hata kuvaa bomu!!!
 
Back
Top Bottom