MAJANI YA KUNDE
JF-Expert Member
- Aug 25, 2008
- 213
- 37
Watanzania NI MFANO halisi wa Wajinga waliokuwa na almasi akatokea mjanja na kutupa kioo kisha kuichukua Almasi yetu Slaa was the right candidate for Tanzania Hata wazee ndani ya CCM walimkubali wanamjua utendaji wake hatuhitaji mtu wa maneno kila kitu kipo sheria ,taratibu na maazimio ya Tanzania ipi inatakiwa Hawa Kikwete na CCM YAO WAMEFIKA MWISHO.Hakuna yeyete atakae toka huko CCM MSAFI NA MWENYE NIA YA DHATI YA KULETAMAENDELEO.