Reverend Masanilo,
Kuna mahali nilichangia kwenye thread aliyoianzisha mkandara leo alfajiri nikasema
Mkandara,
Hoja nzuri sana umetoa.Kama demokrasia ingekuwa universally beneficial kwa mataifa yote basi tungekuwa katika nafasi nzuri zaidi ya kunufaika.Kwa hali ilivyo sasa,ni kweli kuna kila Dalili kwamba Demokrasia imetushinda tunaifanyia majaribio tu bado tena kwa mbinu na mikakati ile iliyoshindwa
Kwa kweli hii dhana tuliyoletewa ya Demokrasia,imesababisha sisi kurudi nyuma.Hatuna tofauti na mfumo wa kisultani.Leo hii maamuzi magumu ya hayawezi kuchukuliwa kwa hoja ya kipuuzi kabisa mkuu wa nchi yupo nje ya nchi.Rais akiwa nje kuna VP na wengineo,katiba yenye maono ya demokrasia inasema hivyo.
Ni bora turudi kwenye mfumo wa chama kimoja utakaozuia fikra ili sisi wengine tusiopenda kuburuzwa tutumie nguvu za kimapinduzi kwa kusukumwa na uzalendo wetu tuchukue nchi tuongeze kidikteta lakini kizalendo.Tunahitaji utawala kama wa Gaddaffi,tunahitaji mfumo kama wa kagame na Hugo Chavez.tunahitaji mfumo kama wa Evo morales,kusema kweli na siogopi kusema Democracy does not Suit us.bado hatujajiandaa,hii ni imported vice ! ! !
Kama si kuitikia wito na kukubali kuburuzwa na mfumo wa kibeberu,leo hii ningekuwa kwenye kambi,milima ya mbali na au hata msituni kujiandaa kizalendo.Ningekuwa na sababu za kutosha ! ! ! Huwezi kuwa na demokrasia ya kweli kama wananchi wako ni maskini,wanasumbuliwa na maradhi na Ujinga....Huwezi kuwa na uongozi ambao ni zao la Demokrasia bila kuwa na msingi wa imani ya kisiasa,kiuchumi na kijamii katika kiungo cha uongozi na utawala (namaanisha ideology).
Leadership tuliyo nayo ni hadaa tu,sio kwa serikali tu hata kwa vyama vingine vya siasa.Tunapata pigo kubwa sana kwa ngumi iliyovaa gloves za demokrasia(Pseudo democracy).jaribu kufikiria na kutafakari juu ya mfumo wote wa vyama vya siasa Tanzania,jaribu kufuatilia mfululizo wa matukio kwenye vyama hivyo.Kila siku tunapiga hatua kuwasukuma vijana wazalendo kuingia kambini,milimani au misituni.kila dakika ambayo tunahubiri democracy na vijana wazalendo kweli kweli kwa nchi yao hawaoni uhalisia na matunda yatokanayo na dhana hiyo basi tunawatoa kwenye Demokrasia tunawapeleka misituni.
Haya yana Mwisho,kinachohitajika ni hatua za haraka zichukuliwe ama la basi yatatimia.Carl max,alisema...'A single step in the Revolutionary movement worths a Dozen programmes'
kununua mitambo ya umeme si sawa na kununua kotijk sio mawingu y mvua aende akanyeshe mtera.. Hii kauli sitausahau..jibu rahisi kwenye mambo magumu ..
Reverend Masanilo,
Kwa kweli hii dhana tuliyoletewa ya Demokrasia,imesababisha sisi kurudi nyuma.Hatuna tofauti na mfumo wa kisultani.Leo hii maamuzi magumu ya hayawezi kuchukuliwa kwa hoja ya kipuuzi kabisa mkuu wa nchi yupo nje ya nchi.Rais akiwa nje kuna VP na wengineo,katiba yenye maono ya demokrasia inasema hivyo.
Ni bora turudi kwenye mfumo wa chama kimoja utakaozuia fikra ili sisi wengine tusiopenda kuburuzwa tutumie nguvu za kimapinduzi kwa kusukumwa na uzalendo wetu tuchukue nchi tuongoze kidikteta lakini kizalendo.Tunahitaji utawala kama wa Gaddaffi,tunahitaji mfumo kama wa kagame na Hugo Chavez.tunahitaji mfumo kama wa Evo morales,kusema kweli na siogopi kusema (this kind of Democracy does not Suit us). bado hatujajiandaa,hii ni imported vice ! ! !
WaTanganyika msijiongopeee HAMNA KABISA UJASIRI huo wa kuleta mapinduzi zaidi ya mapinduzi ya kilimo kuita kilimo kwanza.
Mapinduzi yanataka watu thabiti na waliojitolea kutetea maslahi ya wengi kwani lolote linaweza tokea. Nyie wengi ni wanafiki na kwa kuwa nchi mlipewa kwa njia ya barua basi mtasubiri hivyo hivyo mpaka barua nyingine ije.
Poleni sana
Hivi vyombo vya usalama kila nikivitafakari nachanganyikiwa zaidi, ilikuwaje nchi za wenzetu wanajeshi wa vyeo vya chini tu wakafanikisha mapinduzi kibao? Tangu nilipoijua JF ninajiuliza tufanyeje wanajeshi na polisi wa vyeo vya chini wapate access ya forum kama hizi, tungepata hata mmoja tu wa kutungua ndege moja au kuteketeza msafara wa magari machache, ili watakaokalia ikulu wawe na adabu kidogo. Si suala la kuunda kikosi, ni suala la mmoja au wachache walio kwenye idara sahihi kuwa wazalendo na kujitolea kufanya tendo litakaloiokoa nchi bila mzunguko mrefu.Mchungaji tunatakiwa kwenda mbali zaidi bado wenzetu katika vyombo vya dola havija tuunga mkono vya kutosha tunahitaji zaidi michango yao hasa kama wataanzisha sabotage mapema na hata operation ya kuwateketeza viongozi wanaotuangamiza, lazima sasa Jeshi na Usalama wa Taifa wajitenge waunde kikosi maalum cha siri kuwashughulia hawa watu sijui kwanini bado wamelala wakati Taifa lina angamia.
miaka minne mkiwa na rais kilaza kama huyu ni kama karne,..i hope inatokea rais kashindwa kuendelea na ofisi for health reasons sababu kwa ukondoo wetu thst is the only way m.k.w.e.r.e anaweza kustep down before 2015...let's join hands in prayers christians and muslim and all other beliefs..god save us..amenNimesoma mawazo ya watu wote lakini bado sijaona hayo mapinduzi ya kweli yatapangwa vipi? Kama walichukua nchi kwa mtandao kwa nini tusiirudishe nchi kwa kutumia nyenzo zao hizo hizo? Jamani tuache kuongea sasa ni wakati wa kupanga miaka minne si mingi jamani
hapo kwenye red sema umwagikaji mkubwa wa damu maana arusha,nyamongo,mbeya,tabora na sehemu nyingine damu imeshamwagika lakini mkoloni mweusi kagoma kuachia utajiri wetu,..Rev..
Mabadiliko halisi hapa Tanzania yatakuja kwa njia ya umwagikaji damu - hatuwezi kukwepa hilo hata kidogo. Siasa imeshindwa kubadili mfumo lakini nina UHAKIKA kuwa RISASI inaweza kuleta mabadiliko ndani ya angalau miaka kumi...
"... Freedom is coming (TODAY)!..."
Mchungaji tunatakiwa kwenda mbali zaidi bado wenzetu katika vyombo vya dola havija tuunga mkono vya kutosha tunahitaji zaidi michango yao hasa kama wataanzisha sabotage mapema na hata operation ya kuwateketeza viongozi wanaotuangamiza, lazima sasa Jeshi na Usalama wa Taifa wajitenge waunde kikosi maalum cha siri kuwashughulia hawa watu sijui kwanini bado wamelala wakati Taifa lina angamia.
Moderators tunaomba msifunge au kuhamisha hii thread...........................! na wala Usalama wa Taifa usiwatishe!