God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,062
R.I.P peace biiiiiiiiiiiiiiiiiiiitch, ivi ni kwa nini nyie mkiumizwa ndo mnapenda kujikuta mnaumia sana, hivi mnadhani mnapotuumiza sisi tuna mioyo ya chuma isiyoumia au? what goes up must come come down, malipo ni hapa hapa nyie wanawake mnaboa sana, mkiona kijana flani ana pesa mnatuacha na dharau kibao, shukuru hata huyo bro hajaacha dharau na maneno ya shombo tena shukuru hajakuachina na ngoma, mna roho mbaya sana nyinyi.Yaan nimeachwa kwenye mataa mapenzi yanauma jamani yaani nimekaa na huyu mwanaume kwa miaka mitano nimekataa wanaume kibao ambao alikua wanani-approach wakiwa na nia njema nahisi nimechanganyikiwa sielewi wapi pakuanzia.
Nimelia hadi sauti imekauka i regret the day i said yes to him. Wanaume shikamooni sikuwai kudhani kuwa alikua na mahusiano nje, kha nimepata life time lesson wanawake wa humu muwe macho hapa nawaza ningekua nimemzalia daaah ningekua na hali gani nahisi ningechizi.
Hebu wanajammii nishaurini ntamsahauje huyu maana naona kama siwez siku ya nne leo am not myself. Yaan kadiriki kumpa simu mwanamke wake mpya waniambie kuhusu uhusiano wao mapenzi yauma jamani najiuliza nina tatizo gani jaman jaman nitamsahauje huyu.........
by the way naju kuna wanawake wana nia njema sana na wana huruma sana hawa huwa hawapati na madhara yoyote na Mungu huwa anawalinda daima ila nyie wanafiki ndo mhuwa mnaliwa tena mnaliwa pabaya mno na roho yako haitakua na amani ata ufanyeje shenz