Mapenzi yananitesa sana

Mapenzi yananitesa sana

Ndugu zangu, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30+ na nina uchumi wa kati tuu , ila mapenzi yamekua sehemu ya kunitesa sana katika maisha yangu sijui nifanyaje yani yananitesa kweli kweli

1: Nina wanawake wakula nao starehe ila kila nikimaliza kulala nao nafsi inaniuma sana na kunihukumu vibaya mno

2: Natafuta mwanamke wa kuoa ila kila ninae mpenda nakutaka awe mke wangu anakataa sijui shida ilo wapi

3: Nikisema niachane na mapenzi moyo ndiyo unauma zaidi na kuwa mpweke sana

Naombeni msaada ndugu zangu, mimi mapenzi yananitesa sana. Nifanyaje niache kuteseka hivi ndugu zangu
Kaa chini ujitafakari itakuwa kuna mahali unakosea na hao wanawake wankuwa n wew Kwa ajili unawap pesa lkn likj swal la ndoa hawataki itakuwa kun mhli unkosea
 
Kaa chini ujitafakari itakuwa kuna mahali unakosea na hao wanawake wankuwa n wew Kwa ajili unawap pesa lkn likj swal la ndoa hawataki itakuwa kun mhli unkosea
Nime tafakari sana nashindwa kuelewa wapi na kosea ndugu yangu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30+ na nina uchumi wa kati tuu , ila mapenzi yamekua sehemu ya kunitesa sana katika maisha yangu sijui nifanyaje yani yananitesa kweli kweli

1: Nina wanawake wakula nao starehe ila kila nikimaliza kulala nao nafsi inaniuma sana na kunihukumu vibaya mno

2: Natafuta mwanamke wa kuoa ila kila ninae mpenda nakutaka awe mke wangu anakataa sijui shida ilo wapi

3: Nikisema niachane na mapenzi moyo ndiyo unauma zaidi na kuwa mpweke sana

Naombeni msaada ndugu zangu, mimi mapenzi yananitesa sana. Nifanyaje niache kuteseka hivi ndugu zangu
Inaonekana hauna malengo binafsi katika maisha. You are weak. Grow up be like alpha male. Unasumbuliwa na utoto in your early 30's
 
Achana na mapenzi wekeza nguvu zako kwenye ishu zingine.Fanya hata kilimo Cha tikitimaji.

Mapenzi hayakuumbiwa kila mtu.
 
Jipe mda kwanza wa kuwa peke yako..jiulize shida inaanzia wapi???kwanini wakatae wote???na ukiweza waulize y hawataki lzm kun sababu
 
Jipe mda kwanza wa kuwa peke yako..jiulize shida inaanzia wapi???kwanini wakatae wote???na ukiweza waulize y hawataki lzm kun sababu
Aachane na ndoa na mapenzi yenyewe kwani kila mtu kaoa duniani humu?
 
Ndugu zangu, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30+ na nina uchumi wa kati tuu , ila mapenzi yamekua sehemu ya kunitesa sana katika maisha yangu sijui nifanyaje yani yananitesa kweli kweli

1: Nina wanawake wakula nao starehe ila kila nikimaliza kulala nao nafsi inaniuma sana na kunihukumu vibaya mno

2: Natafuta mwanamke wa kuoa ila kila ninae mpenda nakutaka awe mke wangu anakataa sijui shida ilo wapi

3: Nikisema niachane na mapenzi moyo ndiyo unauma zaidi na kuwa mpweke sana

Naombeni msaada ndugu zangu, mimi mapenzi yananitesa sana. Nifanyaje niache kuteseka hivi ndugu zangu
Komaa
 
Back
Top Bottom