GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,380
Asante.Pole sana, uko desperate ya kua na mahusiano ya kuelekea ndoa ndio maana.
Relax, usiwaze ndoa. Mambo yatajipa yenyewe mbele ya safari, usimsahau Mungu kwenye hilo.
Kila la kheri.
Asante.Pole sana, uko desperate ya kua na mahusiano ya kuelekea ndoa ndio maana.
Relax, usiwaze ndoa. Mambo yatajipa yenyewe mbele ya safari, usimsahau Mungu kwenye hilo.
Kila la kheri.
Asante sanaPole sana, uko desperate ya kua na mahusiano ya kuelekea ndoa ndio maana.
Relax, usiwaze ndoa. Mambo yatajipa yenyewe mbele ya safari, usimsahau Mungu kwenye hilo.
Kila la kheri.
Sijui tufanyaje mkuuWe jamaa uko kama mimi, except namba 2 hiyo mimi ndio sina kabisa.
Yaani ni shida.
Yule alikua anasumbuliwa kichwa ushamuacha au?
Elewa sina mke. Sometime ukiwa chizi wa mapenzi unaweza muita demu wako mke au mama.. alafu mwisho wa siku anakukimbia pindi anapo kamilisha mission yakeYule alikua anasumbuliwa kichwa ushamuacha au?
Mi mkongwe ujue?
Kuna uzi uliweka huku siku nyingi kumuombea mkeo msaada.
Kwa sababu wewe umeolewa?Ndoa sio lazima
Si tunajua una mke.Elewa sina mke. Sometime ukiwa chizi wa mapenzi unaweza muita demu wako mke au mama.. alafu mwisho wa siku anakukimbia pindi anapo kamilisha mission yake
Njoo nikuuzie "Vumbi la Zaire" umalize tatizo lakoNdugu zangu, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30+ na nina uchumi wa kati tuu , ila mapenzi yamekua sehemu ya kunitesa sana katika maisha yangu sijui nifanyaje yani yananitesa kweli kweli
1: Nina wanawake wakula nao starehe ila kila nikimaliza kulala nao nafsi inaniuma sana na kunihukumu vibaya mno
2: Natafuta mwanamke wa kuoa ila kila ninae mpenda nakutaka awe mke wangu anakataa sijui shida ilo wapi
3: Nikisema niachane na mapenzi moyo ndiyo unauma zaidi na kuwa mpweke sana
Naombeni msaada ndugu zangu, mimi mapenzi yananitesa sana. Nifanyaje niache kuteseka hivi ndugu zangu