Mapenzi yananitesa sana

Mapenzi yananitesa sana

Hivi si umeoa wewe?

Si kuna uzi ulikua unamtafutia mkeo tiba ya kuumwa kichwa wewe?

Unahitaji msaada mkuu.
 
Ndugu zangu, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30+ na nina uchumi wa kati tuu , ila mapenzi yamekua sehemu ya kunitesa sana katika maisha yangu sijui nifanyaje yani yananitesa kweli kweli

1: Nina wanawake wakula nao starehe ila kila nikimaliza kulala nao nafsi inaniuma sana na kunihukumu vibaya mno

2: Natafuta mwanamke wa kuoa ila kila ninae mpenda nakutaka awe mke wangu anakataa sijui shida ilo wapi

3: Nikisema niachane na mapenzi moyo ndiyo unauma zaidi na kuwa mpweke sana

Naombeni msaada ndugu zangu, mimi mapenzi yananitesa sana. Nifanyaje niache kuteseka hivi ndugu zangu
Pole, kuwa na mwanamke wa type yako
 
Mara ya mwisho kuteswa na mapenzi ilikuwa 2017 tena x wangu mmoja aliyeniacha kwa dharau na kejeli Leo kanipigia anadai siku hizi naringa sana na yupo kwenye ndoa ila analalamika simtafuti hata kumsalimia tu baada ya juhudi zake kugonga mwamba ila pole mkuu wanawake ndio walivyo hawajui wanataka nini.
 
Mara ya mwisho kuteswa na mapenzi ilikuwa 2017 tena x wangu mmoja aliyeniacha kwa dharau na kejeli Leo kanipigia anadai siku hizi naringa sana na yupo kwenye ndoa ila analalamika simtafuti hata kumsalimia tu baada ya juhudi zake kugonga mwamba ila pole mkuu wanawake ndio walivyo hawajui wanataka nini.
Siyo wanawake Tu hat wanaume pia🤗
 
Mke wa mtututututu sumu
Kwenye jambo la mtututututu kaa mbali×2
 
 
Back
Top Bottom