Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,162
- 18,847
Huyu jamaa anastahili kuzabwa Kofi akili zimkae sawa.
Anaharibu brand ya wanaume.
Anaharibu brand ya wanaume.
Mimi nna super glue anaweza akainywa tu..!!Kama anataka sumu ya panya pia ipo aseme eletewe
AU ashura yule wa Diwani Rwaka?Ashura kama ashura
Hivi Depal utaacha lini masikhara tutampoteza mwana Jf ujueOi
Kabla kujiua naomba uniachie chaji yako na earphone
Nyoka nyokaaa, au nyoka nyoka??Na wanamgonga bila kupewa maji wala chakula
Siku ukija kugundua kuwaza kujiua kwa ajili ya mapenzi ni ujinga na unajikomoa mwenyewe wenzako wanaendelea kula raha utajichekaAshura ni nini ulitaka kutoka kwangu sikukupa, japo sikuwa na kazi ya kueleweka lakini nilipambana kwa ajili yako na mtoto wetu huku nikijipa moyo wanaume tumeumbwa kuteseka, licha ya magumu yote niliamini ipo siku Mungu ataniona.
Ooh, lakini imekuwa tofauti kwangu kumbe hata mtoto uliyesema ni wangu Ashura umenidanganya umezaa na mtu mwingine, bora angekuwa ni mtu wa mbali kumbe ni kaka yangu wa damu na sasa mnapanga mniroge niwe kichaa.
Ashura ahadi zote ulizonipa kumbe ulikuwa ukinilaghai, kumbe mwenzangu kwa kushirikiana na kaka yangu mlipanga kunimaliza na hata kile kidogo nilichokuwa nacho mnataka kukichukua.
Ashura siamini kama ni wewe ndio umekuja kuwa hivi, lakini mimi ndio nilikuwa mpumbavu, walimwengu waliambia kuhusu wewe sasa nitaficha wapi uso wangu mimi!
NI BORA NIFE TU NIKAMPUNZIKE KULIKO KUISHI KWENYE HII DUNIA ILIYOJAA MATESO.
Kwaherini wana JF tutaonana mbinguni kwa Baba.
Bora wewe unayemtia matumaini ila wengine ndo wanamuongezea stressPole mwaya hili nalo litapita... chamsingi usikae tu ndani mwenyewe,, toka nje upige story hata na majirani utapata relief
Acha ujinga wewe!Ashura ni nini ulitaka kutoka kwangu sikukupa, japo sikuwa na kazi ya kueleweka lakini nilipambana kwa ajili yako na mtoto wetu huku nikijipa moyo wanaume tumeumbwa kuteseka, licha ya magumu yote niliamini ipo siku Mungu ataniona.
Ooh, lakini imekuwa tofauti kwangu kumbe hata mtoto uliyesema ni wangu Ashura umenidanganya umezaa na mtu mwingine, bora angekuwa ni mtu wa mbali kumbe ni kaka yangu wa damu na sasa mnapanga mniroge niwe kichaa.
Ashura ahadi zote ulizonipa kumbe ulikuwa ukinilaghai, kumbe mwenzangu kwa kushirikiana na kaka yangu mlipanga kunimaliza na hata kile kidogo nilichokuwa nacho mnataka kukichukua.
Ashura siamini kama ni wewe ndio umekuja kuwa hivi, lakini mimi ndio nilikuwa mpumbavu, walimwengu waliambia kuhusu wewe sasa nitaficha wapi uso wangu mimi!
NI BORA NIFE TU NIKAMPUNZIKE KULIKO KUISHI KWENYE HII DUNIA ILIYOJAA MATESO.
Kwaherini wana JF tutaonana mbinguni kwa Baba.
Shida humu huwezi kujua kama mtu yuko serious au anatania ndomana...Bora wewe unayemtia matumaini ila wengine ndo wanamuongezea stress
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Hata nyie dada zetu mnateseka
Mapenzi yanawatesa sana kaka zetu

Ila wengine wanachukulia masikhara hawajui mwenzao anapitia magumu ganiShida humu huwezi kujua kama mtu yuko serious au anatania ndomana...
Wakati unaangalia upande wetu uangalie na upande wenu,ni vile wanawake hawaletagi nyuzi za kulia lia humu ila yanayowakuta wanajua wenyewe.Kuna kuteseka na kuteseka na kulia lia humu ndani
Mmezidi kua simps, acha yawakute