Mapenzi ya siku hizi ya kuviziana

Mapenzi ya siku hizi ya kuviziana

Kwa staili hiyo, hawajapenda kabisa.

Wanauza mapenzi to the highest bidder and only daft men will fall into this trap.

Na kwa staili hii wasipobadilika, watalizwa sana na machozi yao hayatakauka.
 
Utajisumbua bure mzee mwenzangu, sumni yako nitakula na bado nitabaki wa baridi kama maji ya mtungini!

(Hiyo sumni tuma kwenye namba ileile inayoishia na 70)[emoji6]
Hahaha aisee, kweli jasiri haachi asili.
 
Kuna wengine wanazo ila waoga kwa madem. Back to 2015-16 wkt nko chuo nilikua na jamaa angu sana nilimpa jina la alwattan huyu janja kwao walikuwa na pesa sana kuendesha hizi prado, vx, bmw kwake ilikua kawaida sana, hyu jmaa shida ilikua mdomo tu yan alikuw na dem mbaya kwel [emoji23][emoji23]. Mimi ndio nlokuwa na kaz ya kumtongozea madem hasa tukienda batani ndo nilikua namtafutia chombo anakula[emoji119]. My point unaweza kuwa na Pesa ila ukawa mwoga kwa madem kumbuka ukishakuwa mwoga huwez omba namba au kutongoza
kwahyo umeamua kunianika dingi
 
Pata pesa ujue tabia halisi ya me na kosa pesa ujue tabia halisi ya ke (ukielewa hii concept utaelewa kuchangamkiwa baada ya kutoa kitu inatokea wapi)nature inafata mkondo wake mkuu
 
mimi sijawahi kuomba hela kwa mwanaume na wala sidhan kama inafundishika ni tabia tu ya mtu
kuna mmoja nilikuwa sijawahi kumuomba kitu na ndio alikuwa wa kwanza kunipa hela.Siku moja tulikuwa tunazunguka madukani kununua viatu kwa ajili ya graduation akapiga simu uko wapi nikamwambia nipo huku natafuta simple za graduation akasema sogea mahali fulani nikamwambia nipo na marafiki zangu akasema njoeni wote tukaenda hapo ndo nilijua kumbe ana duka la viatu na vitu vingine nakumbuka tulipewa viatu na saa bure wote halafu akanipa elfu 50000 akasema hii kanunue keki nikarud home na elfu 80000 point hapa ni kuwa kuna wanaume wanatoa tu bila kuombwa ila wengine hawajiongezi
naomba kujua kama bado upo nae . na kama mliachana ni kwa sababu zipi
 
Ongeza sautii Cole Williams kuna watu nataka wasikiee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Haya sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_20190725_122448.jpeg
 
Hahahahhaha I feel attacked.
BTW this is such an insecure mentality to have.

True love does exist THO a man should be trying to get our attention na nyie wenyewe huwa mnaamini katika hela ndiyo kitu pekee kinachoweza kututeka.
Sisi tufanyaje?

you feel attacked by gospel truth..huh?

what’s true love then? how can we separate true one from fake one? imekaaje hii?

why should i be the one who tries to get your attention and not vice verse? wanawake bwana
 
Tutapasua ear drum... Afu nasikia sauti kubwa inapunguza nguvu za kiume[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eeeh[emoji23][emoji23][emoji23]makelele yanapunguza nguvu za kiume.
Dunia hii jamani.
 
you feel attacked by gospel truth..huh?

what’s true love then? how can we separate true one from fake one? imekaaje hii?

why should i be the one who tries to get your attention and not vice verse? wanawake bwana

Yeah.
True love ni kumpenda someone unconditional. True love doesn't make any conditions like I will love you kama utanipa hela au kama hautaniomba hela ,or I love you because you are so beautiful or you are good I bed and what not.

And yes it definitely does exist NOW and forever but it's not in a way that most people expect. Some of y'all need a lesson on maturity coz mnadhani kwa sababu mtu amekuomba hela basi mnafuta kabisa kwamba mapenzi ya kweli hayapo, au hamna mapenzi. Mtu kukuomba hela anaweza kukuomba kwa sababu a nakupenda na she's/he's comfortable to share her /his problems with you. Y'all should be proud of that.

Mapenzi ya kweli yapo lakini hautoyapata kwa kila mtu, is so rare these days but can't hide the fact that it does exist. Mtu umefosi kumpenda mtu ambaye sio your soulmate amekutenda then unafunga kurasa kwa kuconclude kwamba mapenzi ya kweli hayapo ...hell no yapo sana na tunayafurahia.

"why should i be the one who tries to get your attention and not vice verse? "
Hii ni kawaida, But if we want to let a man know that we are interested in him kuna vitu huwa tunafanya na nyie mnajiongeza kama nyie mnavyodhani kwamba mkitupa hela ndiyo tutaamini mnatupenda.
 
Siku hizi idadi kubwa ya wanawake siyo wote lakini, wanaangalia pale penye rutuba...

Hawaangalii mapenzi wanaangalia utaamfa vipi kwenye shida zake...



Cc: mahondaw
 
Na hii imekaaje mwanaume ukishamsaidia mpenzi wako hela...mkikosana kidogo unamdai tena kwa fujo...
Hii imetokea leo kwa rafiki yangu yani nimejisikia vibaya sana

Samahani kwa kutoka nje ya mada
Nadhani ni matokeo ya wanawake kujiposition kuwa wanauza huduma ya uhusiano ndio maana uhusiano ukifeli mwanaume anadai chake
 
Back
Top Bottom