Mapenzi ya siku hizi ya kuviziana

Mapenzi ya siku hizi ya kuviziana

walewaleeeee mapenzi biashara.
Ila hili tatizo nahisi ni sisi wanaume ndio tumechangia kwa kiasi kikubwa, mambo ya kuchapa na kusepa ndio yamepelekea dada zetu nao kuamua kutuuzia.
Umeonge vzur..kama sina uhakika naww nisile tuu pesa zako
 
"Siku hz moyo wa mwanamke ni kama nyumba ya kupanga, usipolipia huwezi kukaa" alisikika mlevi mmoja

[emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210]

Mimi ndo nataka nianze huo mchezo sasa, maana umama teresa wangu unanicost.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na hii imekaaje mwanaume ukishamsaidia mpenzi wako hela...mkikosana kidogo unamdai tena kwa fujo...
Hii imetokea leo kwa rafiki yangu yani nimejisikia vibaya sana

Samahani kwa kutoka nje ya mada
Huyo rafiki yako hajitambui
 
Ila mi niko tofauti siombi namba natanguliza prsa mbele namba najua atatoa maana hakuna mwanamke anadanganya namba ya kumuwekea hela
Kukojoza sina utalaam nalunda penzi kwa hela kukojoza wenzangu watafanya, mi show off tu na wapenzi wametulia
 
Ukweli usiopingika, mwanamke anapenda yoyote yule atayeweza kumkojoza nakumuhudumia mahitaji yake. Hayo mengine nimbwembwe2
Hutujui wanawake wewe unaweza kukojoza na kuhudumia mahitaji yote na bado usipendwe
 
Binafsi sijawahi kumwomba mwanaume ambae Nishawahi kuwa nae kwenye mahusiano nae kitu chochote iwe pesa au kitu kingine kutoka kwake. Nasubiri apende yeye anipe na asiponipa siwezi kumind, tho napendaga nipewe zawadi coz na Mimi natoaga sana tu. Nikiwa nashida nitamuomba rafiki namaliza shida yangu.

Pili kuna wanaume ambao wanajiongeza hata kabla hujamuomba anakupa. huyu huna haja ya kumwomba.

Tatu, Mara nyingi sana sisi wanawake, ukiona mwanamke kakuomba kitu hasa hela trust me hajakupenda yupo hapo kwa lengo Fulani.mwanamke akikupenda kutoka moyoni anakuonea huruma, hata wewe ukiwa na shida yupo tiyari kukukopea ili akusaidie.

Haiwezekani eti mtu hakuchangamkii, gafla akuombe kitu ukimpa ndio akuchangamkie, hapo hakuna mapenzi, anakuomba kitu, ukimnyima akutafutie sababu ya kukuacha.
umemaliza kila kitu asante
 
Hata baadhi ya wanaume mko ivo ivo sikuhizi. Sijui ni kweli au inakuaje,au anakupima...watu hata hamjazoeana vizuri anakwambia kuna hela ya biashara na sim ameibiwa umsaidie kwa mda huo..na anakua so innocent, na anataja figures kubwa kubwa yani alivyopoteza,kama ukweli sina hyo ela anaanza kukupotezea.
It's not once..imetokea mara tatu..na lazima hela ahusishe na biashara, au kutaka kuongezewa kiasi flani cha hela kufanikisha jambo..utapeli si utapeli,uongo si uongo,kama ni kipimo mnafeli mnaofanya hivi. Wote wapigaji sikuhizi. Si me wala ke. Inaogopesha sana.
 
Umeongea ki GT mr daby!!ila mwisho wa siku ukila mzigo unampotezea yeye ndo anaanza kujishtukia
 
Wewe unataka umzoee wa nini ?

Wenzako tunakulaga mizigo baadae ndio tunaulizwa, "sasa baby what about us."
 
Binafsi sijawahi kumwomba mwanaume ambae Nishawahi kuwa nae kwenye mahusiano nae kitu chochote iwe pesa au kitu kingine kutoka kwake. Nasubiri apende yeye anipe na asiponipa siwezi kumind, tho napendaga nipewe zawadi coz na Mimi natoaga sana tu. Nikiwa nashida nitamuomba rafiki namaliza shida yangu.

Pili kuna wanaume ambao wanajiongeza hata kabla hujamuomba anakupa. huyu huna haja ya kumwomba.

Tatu, Mara nyingi sana sisi wanawake, ukiona mwanamke kakuomba kitu hasa hela trust me hajakupenda yupo hapo kwa lengo Fulani.mwanamke akikupenda kutoka moyoni anakuonea huruma, hata wewe ukiwa na shida yupo tiyari kukukopea ili akusaidie.

Haiwezekani eti mtu hakuchangamkii, gafla akuombe kitu ukimpa ndio akuchangamkie, hapo hakuna mapenzi, anakuomba kitu, ukimnyima akutafutie sababu ya kukuacha.
umeongea ukweli mtupu
 
ktk break up yoyote muathirika wa kwanza ni mwanamke (psychologically na physical) so mwanamke atajitahidi akuchune/akuumize na wewe before coz anajua/anahisi utamtumia na kumuacha (hali hio imeletwa na ss wanaume ya kudonoa na kuacha) finally mazoea ya kuomba hela/ vizinga yanajenga tabia.
 
Back
Top Bottom