Daughterrr
JF-Expert Member
- Jun 27, 2019
- 477
- 585
Mi namba natoaga tuu..ila uko mbeleni ndo tutajua..Dem hawez kupa namba kizembe lazima awe ameona una something.
Mi namba natoaga tuu..ila uko mbeleni ndo tutajua..Dem hawez kupa namba kizembe lazima awe ameona una something.
Naomba namba yako bbyMi namba natoaga tuu..ila uko mbeleni ndo tutajua..
hujakosea kabisa mkuu.Hili hata kwa wana. Ukiona unachangamkiwa siku umetoa ofa.
Hama kijiwe Mzee.
kwa sababu ishakua ni comon problem sipendi kufanana na wengine yaan hata niwe nna shida ya laki nisipolipa nakamatwa basi sitakuambia nitakamatwa tuu mana sijakuzoea hatujuani na sipendi unione mm kama wanawake wengine.Unakutana na mdada....unajenga mazoea anakupa mawasiliano. Unajaribu kuwasiliana naye unaona kama hakupi muda kivile. Unajisemea aah labda hanipendi.
Kama mnavyojua moyo unamilango mingi...mmoja unakuambia labda umpe muda anakuzoea atakuwa poa baadae. Kabla hajakuzoea unaombwa kitu.
Kwa wenye akili kidogo unajishauri ndani ya dakika unamwambia sawa umekipata chukua. Ukishampa anaanza kukuchangamkia hadi unashindwa kuelewa imekuaje.
Sasa mimi maswali yangu kwa wadada ni haya.
Kabla sijawauliza naamini wa humu wapo wanaofanya wengine hawalifanyi hili. Na silalamiki nataka mtupe uzoefu.
1. Je, huwa mnapenda?
2. Kama jibu ni ndiyo huwa mnapenda. Kwanini switch ya upendo wenu inawashwa mkipewa mlichoomba?
3. Ok, tuseme mwanaume aliyeomba mawasiliano haujampenda na umetumia mbinu ya kumwomba kitu ili akukimbie. Sasa kwanini ukipewa unajipendekeza kwake saana hadi mwanaume anaanza kujistukia? Kama hukumpenda naamini huwezi badili moyo kwa kakitu kadogo.
4. Je, hii ni tabia ambayo ipo ndani ya mwanamke au ni ya kujifunza?
5. Je, mpo ambao mlikuwa hamifanyi na sasa mnaifanya? Kipi kilikufanya ukaanza kuifanya?
6. Je, mnapofanya hili mnakuwa na maana gani?
7. Mpo ambao hamfanyi hiki kitu? Nyie huwa mnafanyaje?
Nisiwe muongo nikikutana na hii hali kwanza huwa hivi...kwanza nakutumia meseji....akili inaniambia huyu labda hajanipenda nini? Najisemea acha nione ndani ya masaa mawili. Before unaombwa kitu...unatoa. baada ya kutoa unachangamkiwa...
Najiuliza mambo mengii hadi naanza kuwaza ujinga mwingine maana jibu nabaki sina.
chukuaNaomba namba yako bby
Unakutana na mdada....unajenga mazoea anakupa mawasiliano. Unajaribu kuwasiliana naye unaona kama hakupi muda kivile. Unajisemea aah labda hanipendi.
Kama mnavyojua moyo unamilango mingi...mmoja unakuambia labda umpe muda anakuzoea atakuwa poa baadae. Kabla hajakuzoea unaombwa kitu.
Kwa wenye akili kidogo unajishauri ndani ya dakika unamwambia sawa umekipata chukua. Ukishampa anaanza kukuchangamkia hadi unashindwa kuelewa imekuaje.
Sasa mimi maswali yangu kwa wadada ni haya.
Kabla sijawauliza naamini wa humu wapo wanaofanya wengine hawalifanyi hili. Na silalamiki nataka mtupe uzoefu.
1. Je, huwa mnapenda?
2. Kama jibu ni ndiyo huwa mnapenda. Kwanini switch ya upendo wenu inawashwa mkipewa mlichoomba?
3. Ok, tuseme mwanaume aliyeomba mawasiliano haujampenda na umetumia mbinu ya kumwomba kitu ili akukimbie. Sasa kwanini ukipewa unajipendekeza kwake saana hadi mwanaume anaanza kujistukia? Kama hukumpenda naamini huwezi badili moyo kwa kakitu kadogo.
4. Je, hii ni tabia ambayo ipo ndani ya mwanamke au ni ya kujifunza?
5. Je, mpo ambao mlikuwa hamifanyi na sasa mnaifanya? Kipi kilikufanya ukaanza kuifanya?
6. Je, mnapofanya hili mnakuwa na maana gani?
7. Mpo ambao hamfanyi hiki kitu? Nyie huwa mnafanyaje?
Nisiwe muongo nikikutana na hii hali kwanza huwa hivi...kwanza nakutumia meseji....akili inaniambia huyu labda hajanipenda nini? Najisemea acha nione ndani ya masaa mawili. Before unaombwa kitu...unatoa. baada ya kutoa unachangamkiwa...
Najiuliza mambo mengii hadi naanza kuwaza ujinga mwingine maana jibu nabaki sina.
Well said....Kwenye oesa uwa mi binafsi uwa najishtukia sana
kwa sababu ishakua ni comon problem sipendi kufanana na wengine yaan hata niwe nna shida ya laki nisipolipa nakamatwa basi sitakuambia nitakamatwa tuu mana sijakuzoea hatujuani na sipendi unione mm kama wanawake wengine.
Na nyie wanaume mnaboa mkipata wanawake tusiojua kuomba ela na nyi hamjiongez..mm pesa sikuombi ila usiponipa nakupotezea..Ata kama nna kazi pesa ya mwanume ni tam kuliko yangu.
Nipe basi namba yako pmMi namba natoaga tuu..ila uko mbeleni ndo tutajua..
walewaleeeee mapenzi biashara.Kwenye oesa uwa mi binafsi uwa najishtukia sana
kwa sababu ishakua ni comon problem sipendi kufanana na wengine yaan hata niwe nna shida ya laki nisipolipa nakamatwa basi sitakuambia nitakamatwa tuu mana sijakuzoea hatujuani na sipendi unione mm kama wanawake wengine.
Na nyie wanaume mnaboa mkipata wanawake tusiojua kuomba ela na nyi hamjiongez..mm pesa sikuombi ila usiponipa nakupotezea..Ata kama nna kazi pesa ya mwanume ni tam kuliko yangu.
Wacha weeh, ngoja nikutumie sumni kidogo ya ugoro nione kama utanichangamkia.[emoji2212][emoji2212][emoji2212] Hapa si pahala pangu!
Mi namba natoaga tuu..ila uko mbeleni ndo tutajua..
Ushaambiwa KILA MWANAUME ANA SAUTI, ILA PESA NDO VOLUME BUTTON.