Mapenzi ya siku hizi ya kuviziana

Mapenzi ya siku hizi ya kuviziana

mimi sijawahi kuomba hela kwa mwanaume na wala sidhan kama inafundishika ni tabia tu ya mtu
kuna mmoja nilikuwa sijawahi kumuomba kitu na ndio alikuwa wa kwanza kunipa hela.Siku moja tulikuwa tunazunguka madukani kununua viatu kwa ajili ya graduation akapiga simu uko wapi nikamwambia nipo huku natafuta simple za graduation akasema sogea mahali fulani nikamwambia nipo na marafiki zangu akasema njoeni wote tukaenda hapo ndo nilijua kumbe ana duka la viatu na vitu vingine nakumbuka tulipewa viatu na saa bure wote halafu akanipa elfu 50000 akasema hii kanunue keki nikarud home na elfu 80000 point hapa ni kuwa kuna wanaume wanatoa tu bila kuombwa ila wengine hawajiongezi
 
Ila mi niko tofauti siombi namba natanguliza prsa mbele namba najua atatoa maana hakuna mwanamke anadanganya namba ya kumuwekea hela
Kukojoza sina utalaam nalunda penzi kwa hela kukojoza wenzangu watafanya, mi show off tu na wapenzi wametulia
Duu jamaa utakuwa muongaji mzuri
 
Sio mlengwa but i would like to respond few questions;

1.We men should wake up and realize the word “love” is no longer existing in women’s dictionary of current generation we have, it has already been removed and replaced by new one “money” kama wanavyosemaga wao “no money, no honey”

2.They pretend to love you once they see you are not stingy and there is aesy accessibility to your pocket(hapa ndio kwenye zile sababu za mjomba anaumwa,simu imedondoka kwenye maji n.k).

3.Actualy they dont chase you away, they use that as a weapon to test your stinginess, if you agree to give in to their financial demands instantly they will even save your number in their phone book by that time, you refuse! they will give you zero attention na utajiondoa mwenyewe.

4.Some are hardwired for being financial parasites, they believe men are forever givers na baadhi wanajifunza kutokana na unpleasant past relationships.

7.Women are insatiable in nature kama wapo ambao hawafanyi basi ni wachache saana na wa hivyo ni wale wanaozaliwa na kukulia ikulu.

Hahahahhaha I feel attacked.
BTW this is such an insecure mentality to have.

True love does exist THO a man should be trying to get our attention na nyie wenyewe huwa mnaamini katika hela ndiyo kitu pekee kinachoweza kututeka.
Sisi tufanyaje?
 
Unakutana na mdada....unajenga mazoea anakupa mawasiliano. Unajaribu kuwasiliana naye unaona kama hakupi muda kivile. Unajisemea aah labda hanipendi.

Kama mnavyojua moyo unamilango mingi...mmoja unakuambia labda umpe muda anakuzoea atakuwa poa baadae. Kabla hajakuzoea unaombwa kitu.

Kwa wenye akili kidogo unajishauri ndani ya dakika unamwambia sawa umekipata chukua. Ukishampa anaanza kukuchangamkia hadi unashindwa kuelewa imekuaje.

Sasa mimi maswali yangu kwa wadada ni haya.

Kabla sijawauliza naamini wa humu wapo wanaofanya wengine hawalifanyi hili. Na silalamiki nataka mtupe uzoefu.

1. Je, huwa mnapenda?

2. Kama jibu ni ndiyo huwa mnapenda. Kwanini switch ya upendo wenu inawashwa mkipewa mlichoomba?

3. Ok, tuseme mwanaume aliyeomba mawasiliano haujampenda na umetumia mbinu ya kumwomba kitu ili akukimbie. Sasa kwanini ukipewa unajipendekeza kwake saana hadi mwanaume anaanza kujistukia? Kama hukumpenda naamini huwezi badili moyo kwa kakitu kadogo.

4. Je, hii ni tabia ambayo ipo ndani ya mwanamke au ni ya kujifunza?

5. Je, mpo ambao mlikuwa hamifanyi na sasa mnaifanya? Kipi kilikufanya ukaanza kuifanya?

6. Je, mnapofanya hili mnakuwa na maana gani?

7. Mpo ambao hamfanyi hiki kitu? Nyie huwa mnafanyaje?

Nisiwe muongo nikikutana na hii hali kwanza huwa hivi...kwanza nakutumia meseji....akili inaniambia huyu labda hajanipenda nini? Najisemea acha nione ndani ya masaa mawili. Before unaombwa kitu...unatoa. baada ya kutoa unachangamkiwa...

Najiuliza mambo mengii hadi naanza kuwaza ujinga mwingine maana jibu nabaki sina.
Mkuu,Naomba nikuulize swali,Akikuchangamkia inakua ni mazima au ni kwa muda tuu,alafu anarudi kama alivyokua?
 
Kwanini si kipaumbele?
Kwa sababu unaogopa kupigwa vizinga?
Loyal people we still exist tho...[emoji23][emoji23][emoji23]
Unajua nini wanasemaga kuna muda ni bora kuwa mwenyewe hakuna atayekuumiza.😀😀
 
Shida kubwa ya mapenzi ya siku hizi wadada wengi wanapenda sana KITONGA....


Unakuta mdada yeye kiwango kikubwa boyfriend wake awe ana play part kubwa sana kwenye maisha yake unaweza sema ndio kama baba yake.....

Kiufupi wanapenda vitu ambavyo vipo nje wa uwezo wao
Kitonga kwa upande mwingine ni mlima. Ukitokea Morogoro. Kwanini mnaichukulia kitonga ni mteremko tu?
 
Kabisa kabisa

Kuna dada mmoja anafanyiwa yote hayo lakin anamsaliti jamas eti kisa sio mkorofi,jamaa mpole mpole. Nampa hitaji la moyo wake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahahahahah unaona sasa
 
Hajui , tena mnanibembelezea.
Nikikataa mnavizia pochi yangu mnaziweka huko nikifika nyumbani nazikuta[emoji23][emoji23].
Good morning Cole Williams.

Good morning Mcute, Duniani kuna watu wabishi sana mpaka wakutane na raia kama wewe

Endelea kuwakilisha kizazi bora kabisa ulimwenguni
 
Back
Top Bottom