mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,355
- 23,084
Hata akushike tu akifinye mashavu kidogoHata yakiwa wapi ukiwa bored uko bored tu. Yani huyo kaka kesho ampe nauli mwenzie arudi kwao maana hajapendwa kabisaaaa
Hata akushike tu akifinye mashavu kidogoHata yakiwa wapi ukiwa bored uko bored tu. Yani huyo kaka kesho ampe nauli mwenzie arudi kwao maana hajapendwa kabisaaaa
Tena naomba tuheshimiane sana mkuu, siku nikiacha na kiwanda kitafungwa aiseeee.....![]()
![]()
![]()
kumbe hujaacha tu haya mambo? Jiandae kurudi milembe day soon

Akutane na mwanamke cold kama mimi namwambia naumwa. Kwanza mtu wa hivyo akikushika ndo kama anakukera zaidiHata akushike tu akifinye mashavu kidogo
Nisamehe kiongozi nilisahau kuwa serikali inawategemea sana kama chanzo cha mapato (kodi)Tena naomba tuheshimiane sana mkuu, siku nikiacha na kiwanda kitafungwa aiseeee.....![]()
![]()
![]()

Akutane na mwanamke cold kama mimi namwambia naumwa. Kwanza mtu wa hivyo akikushika ndo kama anakukera zaidi
tehteehh....Nisamehe kiongozi nilisahau kuwa serikali inawategemea sana kama chanzo cha mapato (kodi)![]()
![]()
![]()
Mnoo jamani. Nilishawahi kuchezewa mchezo na mtu eti niende nikamchukulie mzigo wake Moro. Ye alikua ananitaka mi nikamchukulia rafiki tu nikajua kanielewa. Nafika Moro namwambia anipe contact za mtu wa kuonana nae ananiambia ooh kuna tax panda mwambie akulete sehemu fulani. Nafika nalikuta lenyewe. Muda wa kulala akaniambia ananipeleka hoteli kwangu. Kufika nakuta na nguo zake. Eti tulale wote hatufanyi kitu. Mi najiamini asingefanya kitu labda anibake. Alinisumbua usiku kucha ila ambavyo nilikua sina hisia nae nilimkazia na kumsukuma juu.Haha wewe ni cold sana
HuhuhuDahhhhh........
Yaani hadi unafikia kulalamika na wewe, basi huyo mwanaume hana tofauti na dadazake wallah......
Hapo nimekuelewa mkuu...Huhuhu
Anamakero buana huyo dem kakereka ye hata hajui
Tatizo anaweza kuwa bado mvulana ndio maana

Duuh hakuna kitu inauma ulale na mwanamke alafu agome kutoa K yaani huo uliofanya ni unyama aisee. Usiku kucha dushe limekaza hadi mishipa inaumaMnoo jamani. Nilishawahi kuchezewa mchezo na mtu eti niende nikamchukulie mzigo wake Moro. Ye alikua ananitaka mi nikamchukulia rafiki tu nikajua kanielewa. Nafika Moro namwambia anipe contact za mtu wa kuonana nae ananiambia ooh kuna tax panda mwambie akulete sehemu fulani. Nafika nalikuta lenyewe. Muda wa kulala akaniambia ananipeleka hoteli kwangu. Kufika nakuta na nguo zake. Eti tulale wote hatufanyi kitu. Mi najiamini asingefanya kitu labda anibake. Alinisumbua usiku kucha ila ambavyo nilikua sina hisia nae nilimkazia na kumsukuma juu.
Sasa nishakwambia sikutaki unalazimisha umetaka mwenyewe kukomaza dushe lako.Duuh hakuna kitu inauma ulale na mwanamke alafu agome kutoa K yaani huo uliofanya ni unyama aisee. Usiku kucha dushe limekaza hadi mishipa inauma
Jizasi krasti!!!Mnoo jamani. Nilishawahi kuchezewa mchezo na mtu eti niende nikamchukulie mzigo wake Moro. Ye alikua ananitaka mi nikamchukulia rafiki tu nikajua kanielewa. Nafika Moro namwambia anipe contact za mtu wa kuonana nae ananiambia ooh kuna tax panda mwambie akulete sehemu fulani. Nafika nalikuta lenyewe. Muda wa kulala akaniambia ananipeleka hoteli kwangu. Kufika nakuta na nguo zake. Eti tulale wote hatufanyi kitu. Mi najiamini asingefanya kitu labda anibake. Alinisumbua usiku kucha ila ambavyo nilikua sina hisia nae nilimkazia na kumsukuma juu.
Sasa nishakwambia sikutaki unalazimisha umetaka mwenyewe kukomaza dushe lako.

Mkuu....Mnoo jamani. Nilishawahi kuchezewa mchezo na mtu eti niende nikamchukulie mzigo wake Moro. Ye alikua ananitaka mi nikamchukulia rafiki tu nikajua kanielewa. Nafika Moro namwambia anipe contact za mtu wa kuonana nae ananiambia ooh kuna tax panda mwambie akulete sehemu fulani. Nafika nalikuta lenyewe. Muda wa kulala akaniambia ananipeleka hoteli kwangu. Kufika nakuta na nguo zake. Eti tulale wote hatufanyi kitu. Mi najiamini asingefanya kitu labda anibake. Alinisumbua usiku kucha ila ambavyo nilikua sina hisia nae nilimkazia na kumsukuma juu.

Sema wewe mkuuHivi wanaume wa Daslam, mna matatizo gani....![]()
![]()
![]()
Maana kila kukicha hamuishi kulalamika yaani....![]()
![]()
![]()
umeona ..ehhh Jamaa sioTatizo hana kifua Mkuu imebaki kujiua tu uyo
Dahhhhh........Sasa nishakwambia sikutaki unalazimisha umetaka mwenyewe kukomaza dushe lako.

Sikumpenda sasa. Kwanini nimfurahishe yeye mimi roho iumie.Dahhhhh........
Naona tu jinsi ulivyo mfanyia roho mbaya baba wa watu huku mnara umekesha unasoma 4G...![]()
![]()
![]()