Mapenzi ya siku hizi michosho tuu

Mapenzi ya siku hizi michosho tuu

Tena wanachokilalamikia chenyewe hakina kichwa wala miguu....

Sasa kama humwongeleshi atafanya nini zaidi ya kuchat? Mdada akae na Ushimen hapa halafu aanze kuchat? Atapata wapi nafasi hiyo

Vijana punguzeni malalamiko,ongezeni ubunifu
Minawaza tu hapa nikipata mdada na nikamsalimia kisha akaitikia baasssss.......
Huko kuitikia tu salam yangu, tayari nitakua nishamaliza kazi wallah....
 
b9bea7be6613cfbeb2b8cee359c3b799.jpg
9f1c9fdbb8d6a0abda8644abe52db75d.jpg
cc61d64f23df50caef12168249bf870f.jpg
Usishangae ndio walivyo kulalamika wanawaiga Dada zao
Subhanallah......
 
Hapo hupendwi, ingekuwa mimi ningeita muhudumu namnunulia bia tuanze kupiga story.
 
Nishazeeka mkuu...
Haya mapengo hakuna wa kunikula ndimi tena wallah....
Alokwambia mapenzi ni kulana ndimi ni nani? Mapenzi ni kupeana vile msivyonavyo. Wewe umpe asokuwanacho naye akupe usonacho!
Bila shaka mapengo yako hayajaathiri ulichonacho
 
Huyu ban inamuhusu kwa 100% ili ikuwe fundisho kwa wengine kama yeye
Apigwe tu ban apumzike. Umemsafirisha toka mkoani alafu amekaa anachati tu na jamaa anamuangali alafu anakuja kulialia huku
 
Alokwambia mapenzi ni kulana ndimi ni nani? Mapenzi ni kupeana vile msivyonavyo. Wewe umpe asokuwanacho naye akupe usonacho!
Bila shaka mapengo yako hayajaathiri ulichonacho
Kwamara ya kwanza leo nimependeka mubashara humu jf wallah....
Kumbe kupendwa raha eehhhh...
 
Sasa asile?? wanaume mnataka nn lakini?mara wanakula kidogo wanatia hasara,mara hawali,mara wanaomba hela,iv mnataka nini?

Duhhh.....
Kweli wenye tusio bahati hatubahatiki humu wallah....
Mkuu, ebu ukuje kwangu kama vp mintakulisha mwamwiii... kama hivi..
IMG-20141211-WA0007.jpg
 
Back
Top Bottom