Mapenzi ya siku hizi michosho tuu

Mapenzi ya siku hizi michosho tuu

Wekeza shambani kwenye kilimo mkuu walau tuone kama Tanzania ya viwanda itawezekana.

Kamwe usijaribu walu kuthubutu kuwekeza kwenye 'mbunye'
 
Heri yako anachati akiwa club wengine wanachati mkiwa kitandani simu haweki mbali ukimaliza shoo mapunziko kashika simu wako adiktedi na simu
 
Asante mkuu....
Ila Mungu fundi sana wallah
Huyo baba mnara haukumvunjika kweli.... .... maana Dahhhhh
Basi sawa mkuu
Kwanza alikua hajiamini ndo maana alitumia hiyo mbinu akijua tukiwa rum nitamkubalia.
 
Back
Top Bottom