Mapenzi ya siku hizi michosho tuu

Mapenzi ya siku hizi michosho tuu

Kwan baada ya huo mtoko naww si unaenda kumla?..unatokaje na demu halaf mwisho wa siku unarumdisha anapokaa nenda nae kwako au gesti...acha kuzubaa
 
Unakuta unatoka na demu out, tena abda umemsafirisha toka mkoa mwingine. mkifika sehemu labda pub yaani kazi yake ni kula na kunywa na fuuul kuchati, hata cjui anakuwa anachati na nani hakuna hata maongezi, mxewuuuuuu!!!

Unaishia kuchunwa tuu hata story hamna, inaboa saana.
Kumbe ushajua unachunwa unalalamika nini sasa?
 
hpa duniani penda mungu,wazazi,na watatu n pesa ,inawezakana unalalamika kumbe kwake uliingia na gia kubwa kuonekana unazo mjini hpa tuliza akili
 
Back
Top Bottom