Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Babu nani kakupenda?Kwamara ya kwanza leo nimependeka mubashara humu jf wallah....![]()
![]()
Kumbe kupendwa raha eehhhh...![]()
![]()
![]()
Babu nani kakupenda?Kwamara ya kwanza leo nimependeka mubashara humu jf wallah....![]()
![]()
Kumbe kupendwa raha eehhhh...![]()
![]()
![]()
tehteehh......Apigwe tu ban apumzike. Umemsafirisha toka mkoani alafu amekaa anachati tu na jamaa anamuangali alafu anakuja kulialia huku
Kaja wazungumzeKwani ametoka kwao kuja kuchati

Duhhhh.....Babu nani kakupenda?
Duhhhh.....
Naona umeamua kunielekeza kibla mubashara kabisa...
embu niondoke zangu mie maana naona nje radi zimeanzaMmh si wangezungumza kwenye simu, lakini kaja kwa nia moja tuKaja wazungumze![]()
.. you know now

Hahahs nikitoka hapo hata kutembea kutanishindaDuhhh.....
Kweli wenye tusio bahati hatubahatiki humu wallah....![]()
![]()
![]()
Mkuu, ebu ukuje kwangu kama vp mintakulisha mwamwiii... kama hivi..![]()
View attachment 704468
Basi sawa mkuu....![]()
![]()
![]()
embu niondoke zangu mie maana naona nje radi zimeanza
Kumbe ushajua unachunwa unalalamika nini sasa?Unakuta unatoka na demu out, tena abda umemsafirisha toka mkoa mwingine. mkifika sehemu labda pub yaani kazi yake ni kula na kunywa na fuuul kuchati, hata cjui anakuwa anachati na nani![]()
![]()
![]()
hakuna hata maongezi, mxewuuuuuu!!!
Unaishia kuchunwa tuu hata story hamna, inaboa saana.
Kaja wazungumze![]()
tehteehh....Mmh si wangezungumza kwenye simu, lakini kaja kwa nia moja tu![]()
![]()
.. you know now
![]()
![]()

Mmh si wangezungumza kwenye simu, lakini kaja kwa nia moja tu![]()
![]()
.. you know now
![]()
![]()
yeye alitaka wapige story sijui waongee hakuwa na mawazo kama yako

HahaaaaaPole Mkuu kama kapata griss kwanini asilainishe vyuma vyake!
Huyo alokupa kazi ya ulinzi, hathamini mali zake.....Basi sawa mkuu....
Ngoja nami nikaze hapa, maana nimeingia lindoni zam ya usiku

Huo ndio maosi wa maana mkuu, ebu achana na hizo chips za Dar ukujage huku Ushirombo ukule mifudi ya maana...Hahahs nikitoka hapo hata kutembea kutanishinda

tehteehh....![]()
![]()
![]()
Ebu ngoja niendelee kuwafuatilia hadi nielewe hii lugha wallah...![]()
![]()
![]()
kwani hujaelewa mkuu?Haya we mtetee tu, au ni wewe nini unayezungumziwa hapa? Kweli utoke mkoani uje kupiga story tu![]()
![]()
yeye alitaka wapige story sijui waongee hakuwa na mawazo kama yako
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
tehteehh.....Huyo alokupa kazi ya ulinzi, hathamini mali zake.....![]()
![]()
![]()