Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,469
- 105,006
Kipindi cha ujana wangu hapakua na hizi simu wala magazeti ya udaku......Unakuta unatoka na demu out, tena abda umemsafirisha toka mkoa mwingine. mkifika sehemu labda pub yaani kazi yake ni kula na kunywa na fuuul kuchati, hata cjui anakuwa anachati na nani![]()
![]()
![]()
hakuna hata maongezi, mxewuuuuuu!!!
Unaishia kuchunwa tuu hata story hamna, inaboa saana.
Enzi zile nilikua na mdada tukitoka anakula na kunywa, huku anasoma gazeti la Uhuru.
Na hata mkifika room wakati wa show yeye anakua anasoma tu makala za kwenye gazeti huko anazungusha nyonga...
Sasa mkuu ungekutana na wahivyo sindio ungekuja kulia kabisa....
.