Mapenzi ya siku hizi michosho tuu

Mapenzi ya siku hizi michosho tuu

Huo ndio maosi wa maana mkuu, ebu achana na hizo chips za Dar ukujage huku Ushirombo ukule mifudi ya maana...
Hahaa ushirombo uniandalie na maziwa ya mgando,mna ng'ombe sana,ndo natoka hapa Lunzewe nakuja
 
Hahaa ushirombo uniandalie na maziwa ya mgando,mna ng'ombe sana,ndo natoka hapa Lunzewe nakuja
Ewwaaaaahhhhh........
Ngoja nijisogeze hapo Buhuntubili nikupokee kabla hawaja kufisadi wallah...
 
b9bea7be6613cfbeb2b8cee359c3b799.jpg
9f1c9fdbb8d6a0abda8644abe52db75d.jpg
cc61d64f23df50caef12168249bf870f.jpg
Usishangae ndio walivyo kulalamika wanawaiga Dada zao
Hao ni wanaume au tomboys?
 
Back
Top Bottom