R-K-O
JF-Expert Member
- Jun 27, 2023
- 482
- 2,138
Nilianza maisha kwa kutegemea mishahara ya ajira serikalini ila nashukuru nikaweza kujiongeza nifanye na biashara, huku kwenye biashara kwakweli huwa nakutana na watu wengi zaidi.
Sasa katika watu nilioweza kuwajua ni mfanya biashara flani ni mteja wa mara tulizoeana zaidi kupiga story huku deals zinaendelea.
Ni kijana mdogo tu ana miaka 27, ana crown yake na apartment ya laki 4 kila mwezi,
katika story za hapa na pale siku akanionesha picha ya pisi anayoifukuzia kwa wiki 3 hivi, huyo binti hakuwa mgeni kwangu maana ni mdogo wake mke wa jirani,
sasa nikamuuliza vipi, ana mpango wa kumuoa au, ndio akaanza kufunguka huyo binti ni mizinga sana, kashamhonga laki 7 kwa shopping, out, matmizi, n.k. lakini hajapata mzigo dem visingizio kibao period, kuumwa, kachoka, n.k. kapania apige tu kupunguza hasira za hela anazotoa.
niliona kabisa kijana kachoma pesa maana aliwahi kuwa dem wa ndugu yangu tuliezoeana sana, kuna muda aliwahi kumpata huyo jirani na niliona kwenye status yake, anafanya kazi kampuni binafsi mshahara laki 4.
baadae nikamcheki ndugu, huwa tumezoeana nikamuuliza kuhusu yule jirani, akasema yule walishamalizana aligharamika elf 30, siku ya kwanza aliomba namba akamwaga sera na kumtumia elf 12, kesho yake jamaa alipotoka kazini akaenda kumtafuna geto, alimla siku 3 mfululizo jioni kila akitika kazini.
PESA ZITAFUTWE ILA NA AKILI ZIWEPO/
Sasa katika watu nilioweza kuwajua ni mfanya biashara flani ni mteja wa mara tulizoeana zaidi kupiga story huku deals zinaendelea.
Ni kijana mdogo tu ana miaka 27, ana crown yake na apartment ya laki 4 kila mwezi,
katika story za hapa na pale siku akanionesha picha ya pisi anayoifukuzia kwa wiki 3 hivi, huyo binti hakuwa mgeni kwangu maana ni mdogo wake mke wa jirani,
sasa nikamuuliza vipi, ana mpango wa kumuoa au, ndio akaanza kufunguka huyo binti ni mizinga sana, kashamhonga laki 7 kwa shopping, out, matmizi, n.k. lakini hajapata mzigo dem visingizio kibao period, kuumwa, kachoka, n.k. kapania apige tu kupunguza hasira za hela anazotoa.
niliona kabisa kijana kachoma pesa maana aliwahi kuwa dem wa ndugu yangu tuliezoeana sana, kuna muda aliwahi kumpata huyo jirani na niliona kwenye status yake, anafanya kazi kampuni binafsi mshahara laki 4.
baadae nikamcheki ndugu, huwa tumezoeana nikamuuliza kuhusu yule jirani, akasema yule walishamalizana aligharamika elf 30, siku ya kwanza aliomba namba akamwaga sera na kumtumia elf 12, kesho yake jamaa alipotoka kazini akaenda kumtafuna geto, alimla siku 3 mfululizo jioni kila akitika kazini.
PESA ZITAFUTWE ILA NA AKILI ZIWEPO/