Mapenzi ya mtandaoni yameniangushia kwa binti mwenye ulemavu, hakika huyu ndiye chaguo la moyo wangu

Mtunze sana mtoto wa watu, muheshimu na umthamini. Fanya kazi kwa bidii usije mkosesha haja za moyo wake
 
Mpende tu kaka
Kama Moyo wako uko tyr
Ana haki ya kupendwa na yeye
Kama Binadam
Hujafa hujaumbika.
 
Kama vile hulalamiki, ila unalalamika.

Anyway, kila la kheri kwenu
Ni kweli maana kiukweli Myebusi Mweusi hajitambui kuwa sasa yupo saa 12 asubuhi, bado yupo kitandani na macho yake hayaoni, baadaye akiamka saa 1 ataanza kuona; je ataishi naye huyo hadi saa 12 Jioni? Nadhani Ven26 unanipata.
 
Kipendacho roho ni dawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…