Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,791
- 8,009
Mtunze sana mtoto wa watu, muheshimu na umthamini. Fanya kazi kwa bidii usije mkosesha haja za moyo wake
Kwani Myebusi Mweusi ana tabia gani?Bila shaka ana pesa kukuzidi. Kwa tabia zako si rahisi umpende mlemavu hivi hivi tu
Nieleweshwe hapa tafadhali.I want to her forever
Nani kasema unalalamika kwangu?
Ni kweli maana kiukweli Myebusi Mweusi hajitambui kuwa sasa yupo saa 12 asubuhi, bado yupo kitandani na macho yake hayaoni, baadaye akiamka saa 1 ataanza kuona; je ataishi naye huyo hadi saa 12 Jioni? Nadhani Ven26 unanipata.Kama vile hulalamiki, ila unalalamika.
Anyway, kila la kheri kwenu
NimekuelewaNi kweli maana kiukweli Myebusi Mweusi hajitambui kuwa sasa yupo saa 12 asubuhi, bado yupo kitandani na macho yake hayaoni, baadaye akiamka saa 1 ataanza kuona; je ataishi naye huyo hadi saa 12 Jioni? Nadhani Ven26 unanipata.
VizuriNimezama mazima kwa nadhiri na viapo vyote
Kipendacho roho ni dawaKwa muda mrefu nimekuwa mpweke ila siku za karibuni kwenye mtandao nikawa niko busy na dada mmoja mzuri sana.
Basi tukaona kuna haja ya sisi kuonana kwani niko Dar na Yeye yuko Dar. Tukapanga kukutana naye Slipway.
Ijumaa jioni baada ya saa za kazi nikawa nimepiga kambi Waterfront Bar, nikaangiza kinywaji changu huku nikimsubiri mrembo.
Haikuchukua muda mrefu, angaingia msichana mrefu mweupe. Nikamkaribisha kwa hug moja matata sana.
Ule ulemavu wa mkono wake uliokatwa baada ya yeye kupata ajali, kwangu sijaona kwamba ni kasoro wala dosari. Nimeona ni chachu ya mimi kumpa moyo wangu wote, kumpenda zaidi na kumtunza kikamilifu.
Huyu binti sitaki nimuache, daima amekuwa akilini mwangu. Sijawahi kupenda namna hii.
Namuomba Mungu aliimarishe penzi letu hata tuufikie mwisho mwema