asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Eeeenh wata gwan man!!!!!!!
Nyonga tumoke wote hii nyingine muachie kaka yako!!!!!
ha ha ha ha
daktari huyo mgonjwa wako anahitaji injection........ hebu mapatie resuscitation chap chap
Eeeenh wata gwan man!!!!!!!
Nyonga tumoke wote hii nyingine muachie kaka yako!!!!!
Hahaaaaaaa!!!
Acha tu nicheke maana! Nisije mwaga mchele kwenye kuku wengi!!!!
asije akakusoma Evelyn Salt , ha ha ha ha....... besti bana........
Kuna baadhi ya madaktari wana tabia za ajabu sana wamevuka mipaka badala ya marupurupu yao kuwa ni pesa sasa marupurupu imekuwa ni ngono kwa wagonjwa.
Yaani mgonjwa akiwa anatibiwa daktari anaanza kumtongoza ili kulipwa fadhila ya ngono baada ya mgonjwa kupona. Wengine wanadiriki hata kufanyia ushenzi huu ofisini kabisa!
Je, haya ndo marupurupu ya doctor? Hii ni kinyume kabisa cha maadili.
Dr mzima?twende 77 kama wagonjwa sio wengi
Kumbe mnajitolea wenyewe kwa madokta!
Kama anaimbisha tu mpaka aeleweke na si kubaka, na mgonjwa kukubali au kukataa kwake hakutaathiri huduma atayopata hapo hospitali,sioni shida.
Kuna mabint wanakuwa turned on na makoti meupe yale!!!!
madoctor walivo na mvuto tutaacha kujitolea?
acha tuliwe tu...
ha ha ha ha
daktari huyo mgonjwa wako anahitaji injection........ hebu mapatie resuscitation chap chap
Vipi?
Na wewe ni daktari?
Vipi kwani kuna shida kwa pouch ya douglass mamy???!!!
Me Like this!
cc asakuta same
Hivi mnajua wagonjwa wengi wa kike ndo huwa wanatongoza na kujilengesha kwa madaktari..?Wameamua kuweka professional ethics zao pembeni. Daktari kama huyu akigunduliwa basi ni kumfuta kazi na kuhakikisha hapati ajira kama Dr popote pale nchini hata kufungua zahanati yake asiruhusiwe.
Eveleyn salt..wewe unajua vzr sana mchezo ulivyo..mgonjwa mwenyewe anatoa akipenda sasa kwanini doctor akatae?
Vipi kwani kuna shida kwa pouch ya douglass mamy???!!!
Hivi mnajua wagonjwa wengi wa kike ndo huwa wanatongoza na kujilengesha kwa madaktari..?
Wameamua kuweka professional ethics zao pembeni. Daktari kama huyu akigunduliwa basi ni kumfuta kazi na kuhakikisha hapati ajira kama Dr popote pale nchini hata kufungua zahanati yake asiruhusiwe.