E bwana, madaktari wa kinywa na meno nao wanakomaje, especially kwa wadada ambao matatizo yao siyo emergency. Yaani ni cosmetic na elective zaidi. Wanatupia visketi vifupi na vinguo vya juu dizaini ya top, akijibweteka tu kwenye dental chair kisketi kinapanda juu, paja zote mbili nje nje, akiniinama kidogo katop kanapanda, kimgongo chote nje, hapo sasa kama ni shanga haya, kama ni gold or chain za kichina haya, kama ni bikini au chupi imesahaulika kazi kwako. Sasa hapo dentist ndo kuweka sura ya ukauzu kweli kweli, la sivyo hata gharama za matibabu zitasahaulika. Ukijologa utoe namba za simu ndo hatariii zaidi, hata usiku wa manane utasikia ngriii ngriii ngriiii, samahani dr, yaani jino linauma balaa, ilhali unajua kabisaa umemchapa na dawa za maumivu ambazo hata cancer inaziogopa. Jamani madaktari mara nyingi wanategwaaaa
Teh teh teh! Nawewe ni kama yule relative wa mgonjwa aliyemgegeda nurse.
Nimeona purukushani zako kwa huyo manzi na high speed. Teh teh teh! Sipati picha ukimtia mbaroni.
Mkuu kuna wagonjwa wanaojenga imani na madaktari wanaowatibu, ndiyo maana unakuta baadhi ya wagonjwa wanachagua madaktari wa kuwatibu, usipomjali wakati wa kumhudumia anakukwepa, next meeting unaonanaye kwenye corridor hospital anamtafuta daktari mwingine wa kumtibu hata kama uliweka appointment naye .
It seems you are a good Doctor ndiyo maana wanakuganda! That's good in medical Field.
RESPECT FOR THE PATIENT
Doctors must pay full respect at all times and in all circumstanceses to persons they attending.
This principle applies irrespective of age,race,colour,gender,sexual orientation,life style,religion,education level,social economic position or political affinities of the perssons they are attending as well as of the status,e.g refugees,prisoners or visitors and of the diseases or dissabilities from which they are suffering
kwa hisani ya MAT ethics booklet
Mbona kama ngumu kuamini mkuu?
Atakuja kusema hapa!!!!
Mbona unaogopa kumwambia si umesema Ennie ndo shemeji yangu?Muulize Dengue Aedes
Mbona unaogopa kumwambia si umesema Ennie ndo shemeji yangu?
Mbona unaogopa kumwambia si umesema Ennie ndo shemeji yangu?
Kwani nini kinaendelea hapa mbona sielewi?