Kuna baadhi ya madaktari wana tabia za ajabu sana wamevuka mipaka badala ya marupurupu yao kuwa ni pesa sasa marupurupu imekuwa ni ngono kwa wagonjwa.
Yaani mgonjwa akiwa anatibiwa daktari anaanza kumtongoza ili kulipwa fadhila ya ngono baada ya mgonjwa kupona. Wengine wanadiriki hata kufanyia ushenzi huu ofisini kabisa!
Je, haya ndo marupurupu ya doctor? Hii ni kinyume kabisa cha maadili.
Unadhani kwa nini wanaogopa?
Kuna baadhi ya madaktari wana tabia za ajabu sana wamevuka mipaka badala ya marupurupu yao kuwa ni pesa sasa marupurupu imekuwa ni ngono kwa wagonjwa.
Yaani mgonjwa akiwa anatibiwa daktari anaanza kumtongoza ili kulipwa fadhila ya ngono baada ya mgonjwa kupona. Wengine wanadiriki hata kufanyia ushenzi huu ofisini kabisa!
Je, haya ndo marupurupu ya doctor? Hii ni kinyume kabisa cha maadili.
kweli mkuu wanakera sana.tena inaniudhi mtu kajifungua juzi tu anaanza kukustalk,akikutana na daktari mwingine anagoma kutibiwa mpaka aje kwako.sometimes wanaliwa kutokana na vimbelembele vyao.binafsi nishawahi kuwa na wapenzi kama wawili lakini niliwatokea baada ya wao kupona na sio kwa kutumia taaluma yangu.kuna mke wa mtu alinifanya nibadilishe mpaka namba ya simu...
Kuna baadhi ya madaktari wana tabia za ajabu sana wamevuka mipaka badala ya marupurupu yao kuwa ni pesa sasa marupurupu imekuwa ni ngono kwa wagonjwa.
Yaani mgonjwa akiwa anatibiwa daktari anaanza kumtongoza ili kulipwa fadhila ya ngono baada ya mgonjwa kupona. Wengine wanadiriki hata kufanyia ushenzi huu ofisini kabisa!
Je, haya ndo marupurupu ya doctor? Hii ni kinyume kabisa cha maadili.
Quoted part of original Hippocratic OathInto whatever houses I enter, I will go into them for the benefit of the sick, and will abstain from every voluntary act of mischief and corruption; and, further, from the seduction of females or males, of freemen and slaves.
Kama anaimbisha tu mpaka aeleweke na si kubaka, na mgonjwa kukubali au kukataa kwake hakutaathiri huduma atayopata hapo hospitali,sioni shida.
Kuna mabint wanakuwa turned on na makoti meupe yale!!!!
Watanyang'anywa vyeti wangapi asilimia 60 wapo hivyo sijui kwa nini au mazingira ya vitanda kwenye ofisi zao na kwa magyno ile kuvu vua nguo kunawapa ushawishi.
E bwana, madaktari wa kinywa na meno nao wanakomaje, especially kwa wadada ambao matatizo yao siyo emergency. Yaani ni cosmetic na elective zaidi. Wanatupia visketi vifupi na vinguo vya juu dizaini ya top, akijibweteka tu kwenye dental chair kisketi kinapanda juu, paja zote mbili nje nje, akiniinama kidogo katop kanapanda, kimgongo chote nje, hapo sasa kama ni shanga haya, kama ni gold or chain za kichina haya, kama ni bikini au chupi imesahaulika kazi kwako. Sasa hapo dentist ndo kuweka sura ya ukauzu kweli kweli, la sivyo hata gharama za matibabu zitasahaulika. Ukijologa utoe namba za simu ndo hatariii zaidi, hata usiku wa manane utasikia ngriii ngriii ngriiii, samahani dr, yaani jino linauma balaa, ilhali unajua kabisaa umemchapa na dawa za maumivu ambazo hata cancer inaziogopa. Jamani madaktari mara nyingi wanategwaaaa
Ha ha ha ha ha
Kweli huo in mtihani. ..
hapo sasa besti!!!!!!!!!!!
Umeona hapo tu best!!!
Naaam besti yangu.........
hlf ulivyoitamka km vile na wewe inahuu besti..........
Hahaaaaaaa!!!Naaam besti yangu.........
hlf ulivyoitamka km vile na wewe inahuu besti..........
Hahaaaaaaa!!!
Acha tu nicheke maana! Nisije mwaga mchele kwenye kuku wengi!!!!