BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Dr nchi yoyote ile duniani na katika baadhi ya nchi pale ambapo Drs walishindwa kuheshimu professional ethics za taaluma zao basi kama kulikuwepo na ushahidi wa kutosha basi hawakuruhusiwa tena kuendelea na udaktari wao.
Nchi ipi unayozungumzia?