chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,367
- 27,773
kweli mkuu wanakera sana.tena inaniudhi mtu kajifungua juzi tu anaanza kukustalk,akikutana na daktari mwingine anagoma kutibiwa mpaka aje kwako.sometimes wanaliwa kutokana na vimbelembele vyao.binafsi nishawahi kuwa na wapenzi kama wawili lakini niliwatokea baada ya wao kupona na sio kwa kutumia taaluma yangu.kuna mke wa mtu alinifanya nibadilishe mpaka namba ya simu...
Mkuu kuna wagonjwa wanaojenga imani na madaktari wanaowatibu, ndiyo maana unakuta baadhi ya wagonjwa wanachagua madaktari wa kuwatibu, usipomjali wakati wa kumhudumia anakukwepa, next meeting unaonanaye kwenye corridor hospital anamtafuta daktari mwingine wa kumtibu hata kama uliweka appointment naye .
It seems you are a good Doctor ndiyo maana wanakuganda! That's good in medical Field.