E bwana, madaktari wa kinywa na meno nao wanakomaje, especially kwa wadada ambao matatizo yao siyo emergency. Yaani ni cosmetic na elective zaidi. Wanatupia visketi vifupi na vinguo vya juu dizaini ya top, akijibweteka tu kwenye dental chair kisketi kinapanda juu, paja zote mbili nje nje, akiniinama kidogo katop kanapanda, kimgongo chote nje, hapo sasa kama ni shanga haya, kama ni gold or chain za kichina haya, kama ni bikini au chupi imesahaulika kazi kwako. Sasa hapo dentist ndo kuweka sura ya ukauzu kweli kweli, la sivyo hata gharama za matibabu zitasahaulika. Ukijologa utoe namba za simu ndo hatariii zaidi, hata usiku wa manane utasikia ngriii ngriii ngriiii, samahani dr, yaani jino linauma balaa, ilhali unajua kabisaa umemchapa na dawa za maumivu ambazo hata cancer inaziogopa. Jamani madaktari mara nyingi wanategwaaaa