GIUSEPPE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 5,239
- 6,196
Apate wapi? kwa kiwango chake cha elimu hakuna kazi, labda afanye kazi ya kutafuta kazi.vipi lakini alipata kazi ?
Apate wapi? kwa kiwango chake cha elimu hakuna kazi, labda afanye kazi ya kutafuta kazi.vipi lakini alipata kazi ?
Niwie radhi mkuuWee ntake radhi, shenzy type, nani dogo janja, unazani mimi nimemaliza chuo mwaka jana au juzi? muda mrefu umepita mzee, sana tena.
Aiseee umenichekesha sana, hapo ukiwasiliana na shigongo hutakosa zabuniBack in days uko ndo tumeanza first year LL.B moja, huku na huku nakutana na msichna mmoja mzuri dunia nzima, yaani kila jicho lilikua linamtazama mule class wote ndo hatujuani juani iv, na mie nlikua na look moja amaizing yaan ukiniona unaweza kuzani nimetokea rorya au tarime, sasa siku chache zikapita tukapangana ma group discuss na tarime boy nlivyo na mazali nikajikuta group moja na huyu demu mkali dunia mzima.
Sasa huyu binti hakuwai ata kupoteza sekunde yake kunitazama sanaa, na kwenye discuss zetu sikupendaga kua mzungumzaji sanaa ila nikiongea kitu ni point hio na lazima waiandike.
sasa mie binafsi hata sikuwai kuwaza kwamba kuna siku et na mie ntakuja kua na chuma kama kile et kinaniita baby kabisaa, thubutu, tarime boy malaika wa bwana alikua bado hajanishukia.
sasa siku ya siku niko geto nikaskia hodi mlangon kwangu, nikatoka kutizama na actually nlikua nimevaa kikawaida tu yaani kisimiyu boy, na nlikua natoa kitu(kupika) basi nkaenda kufungua mlango, asee nusu nizimie nkakutana na tabasamu matata kucheki daah ni yule kisu wa dunia nzima, asee nlipatwa na kigugumuzi kama crazy gk, akasema ata haingii ndani ila amekuja kuchukua material flan iv mwalim alitoa kama notisi na mie kwa group.letu ndio nlikua nimetoa copy, basi nkamwambia aingie kwanza ndo nampa maana kikwetu ni laana hio mgeni kuishia mlangon tu.
ndo demu kuingia, miksa kukuta bonge la subwoofa linatwanga tu ma nyimbo, khaaa ndo akaanza kushangaa yuko like iv kumbe na wew hua ni mjanja iv yaan mie najuaga wew ni chata ya either simiyu au kariua, nkajichekesha pale ila kumbe binti kani notice mie ni mtu wa ku keep profile low.
siku zikapita, hakikutokea kitu cha maana ata, ila siku moja tumerudishiwa karatasi za test mzee nikawa nimenyoosha vizuri tu kuliko group letu lile, sasa uyu kisu dunia nzima siku ya siku kaja geto anataka nimuelekeze vitu flani, siku ya kwanza kaja nikamuelekeza demu kaelewa vizuri na mie nlikua nafundishia sifa yaan nikiongea ni kama TB Joshua flan iv, upako wa kimasomo.kwelii kweli mzee
siku ya pili tena akaja, na mara zote izi mie nlikua namuogopa ata kumshika tu mkono sanaa maana naona anaweza kuniona na leta njaa wakat hata hatuendan mie ngudu boy, sasa siku hii bhana ikawa kama utan tu na hata sijui ilikuaje mpaka nikawa kama nimevuta bangi na sikumuogopa kabisa uyu binti, baada ya kufundishana nikamwambia tuangaliane atakaecheka atamlipa mwenzie buku daah demu akacheka sana mwanzo, meisho akakubali tukaangaliana sasa, nikakaza na hii ni moja ya trick zangu za kiyunani na ina fanya kazi haswaa, basi kadri tunavyoangaliana ndivyo mie najileta karibu zaidi na hapa.mie ndo natawala mchezo kiujanja ujanja nikacame close hatari demu katulia tu nkampelekea mdomo dem aka respond, tobaa hakuna siku ambayo malaika walitembelea live live kama hii, sasa wakat napiga deep kisa nikatest kunyonya hadi shingo mtoto katulia tu anajinyonga na nikimshika pengime sikutani na usingizi, siku hii ndio nlijua kupanga ni kuchagua, nkapitishia kidole down there na hii ni kanuni namba tatu ya kiyunani na ukifikia hatua hii mzigo umekula, basi nikala nikajiwekea historia mpyaa binafsi.
Nachokumbuka tu siku hio sikupata na usingiz kabisaa nlikesha kwa furaha na ni mara ya pili kukesha kwa furaha ya kwanza ikiwa ile siku nliyofaulu la saba maana nlijiwekea rekodi ambayo ni zaid ya ballon dior na hasa enzi zile la saba wilaya nzima waliokua wanafaulu hawazidi wanne, na mie mtaa mzima nlifaulu peke angu nikawa naogopeka nna mibrain mingi mtaan sitongozagi enzi izo bhana hahahahaah elimu siku hizi imekufa.
tukawa wapenzi official, tukaja kua tunaishi pamoja tuko wote sanaa na kwa miaka hio minne ya chuo nlikua najiona sina tofauti na wakina obama au labda jay z wao wananizid fame tu na hela ila ulimwengu wa maraha na visu hawa.
ila sasa mwisho wa siku masomo yakaisha, na hapo ndipo mwisho wetu ulipoanza kufikia, demu akawa busy sanaa karudi kwao mikoan huko akapata kazi kabla yangu, siku miezi ikapita but ni mtu ambae nlikua sichoki kumwazia na kumpangia mengi juu yetu na nlikua najua yeye ndo ntakaemuoa, sasa zikaja tetesi toka kwa mashoga zake wanasema ana mimba, waungwana hakuna habari iliyowai kunistua kama hii, nliumia sana, nikaja kuchunguza kweli bhana, nkapigia simu nkamwambia mama izi siku zote kumbe ulikua ulikua unani actia? binti akakkubali na akasema tu sorry basi nkamwambia mama mpaka mimba kweli si bora ingekua kawaida tu mie ningesamehe tu.
daah nliumia na kua disapointed sanaaa sanaa, basi ndio ivyo bhana mwisho nikawa sipendi tena yaan mabinti wakitaka mchezo nawawashia luninga mara black mara white vp, nshajilia sana na kukimbia
sijiisigi chochote na hua staki ushauri wa kimapenzi najiona binafsi nna degree mbili za mapenzi na mahusiano, nimeyaona mengi sasa.
kwa wadogo zangu mlioko chuoni tafadhalin kueni makini sana hamna ulazima wa kuingia wazima wazimakwa hao watu wenu mliokutana tu ukubwan ni kua waangalifu tu, ila uenda bahati ikawa yenu who knows.
mbali na yote sometimes hua namkumbuka sanaa, ni muda sasa umepita, na hapo nimefupisha tu maana kuna mengine kama kuchekwa na dunia nzima aloo stakigi hata kukumbuka na back then nimekata ringi hatari, kazi sina yaan nkajua kabisaa hakuna Mungu nikawa hadi Atheist, hahahaahahah
baada ya kusota sana na kazi=0 ukaamua kuwa atheist na sasa naona umeamia chama la FREEMANSONS.. 666 chataMiaka yote hio mpaka leo mkuu kweli?
Hahahaha kweli aisee!!Mkuu 666 chata hapo ktk wilaya nzima mnafaulu wa3 ama 4 tu! Hapo tupo sote. Wilayani kwetu majibu ya Mtihani wa la 7 yalikuwa yanabandikwa BOMANI na SOKO KUU tu!
Tumtafute alieua elimu yetu Mkuu!
Apate wapi? kwa kiwango chake cha elimu hakuna kazi, labda afanye kazi ya kutafuta kazi.
Hahahaha kweli aisee!!
Mi nilimaliza darasa la saba miaka ile dar shule za sekondari ni hizi tu
Azania
Benja
Kisutu
Zanaki
Jangwani
Kibasila
Kiluvya
Kambangwa
Tambaza
Ukikosa hapo basi unaenda private
Nilimaliza mavurunza pale kimara tulifaulu 14 tu kati ya 234
Hivi majuzi nikasema ngoja nikaitembelee shule yangu ya msingi heheheh nakuta pembeni wamejenga sekondari inaitwa saranga makubwa!!
Enzi zile ukifaulu sifa sana hadi jogoo unachinjiwa
Saivi unaamishwa tu
Unatoka kilimahewa primary unaenda kilimahewa sekondari hahahahah
Zamani raha sana.
baada ya kusota sana na kazi=0 ukaamua kuwa atheist na sasa naona umeamia chama la FREEMANSONS.. 666 chata