Mapenzi ya Chuo bwana, ila sometimes i miss her

Nlichokielewa; wewe ulimaliza shule enzi zile kata nzima hakuna alofaulu lasaba ha h hahaa
 
Hongera sana kwa kuwa mtu mmoja Uliyeiwakilisha mtaa wako kwenye matokeo ya darasa la saba, Hongera pia kwa kuwa miongoni mwa watu 4 walioiwakilisha Wilaya yenu kujiunga na elimu ya upili.
SWALI
Kuna sehemu umesema zamani mlikua na akili compare na sahivi, sasa why ufahulu wenu ulikua wa watu wachache?
Pili hivi inaingia akilini wilaya ya Tarime (Ambayo ukizungumzia zamani yenu hiyo ilikua inaunganishwa na wilaya ya Rorya) ifaulishe wanafunzi wanne tu kiwilaya? Halafu ujigambe mlikua na akili!!!.
Tatu, Inamaanisha Zamani yenu hiyo wanafunzi wa shule za upili walikua wanatoka wapi hadi wajaze shule zilizopo ndani ya wilaya husika make kwa Tarime kuna shule 3 kama si 4 za zamani, Au akili zilikuepo tarime tuu that's why mkawa mnafaulu wanne?
Lingine ni kwamba mlikua mnatumia vigezo gani kutambua na kubaini mna akili?
Mwisho hongera sana kwa kumpata mrembo dunia nzima Tarime (Rorya) Boy.
 
Hata me kanishangaza! yani watanzania wabinafsi ndomana na viongozi wapo hivyo wanataka kushiba wao tu.
Nimeshangaa sana mkuu, yani wilaya nzima wafaulu wanne halafu mtu anajigamba walikua na akili?Daaaah!!
I WISH I COULD BE BORNED ENZI ZA MWALIMU.
 
Daah pole mwenzie amepata kazi,ulimfundisha vema ukaona unafaidi papuchi,yeye kafaidi madesa na mafundisho yako.Sasa uko mtaani walalamika yeye anamegwa na lijamaa la mkoani huk
 
tukawa wapenzi official, tukaja kua tunaishi pamoja tuko wote sanaa na kwa miaka hio minne ya chuo nlikua najiona sina tofauti na wakina obama au labda jay z wao wananizid fame tu na hela ila ulimwengu wa maraha na visu hawa.
How comes unaishi na dem miaka minne na huoneshi madhara? Au ulikuwa unakojoa upepo? Ona sasa mwenzako kamchukua, 'ndani ya mwezi' keshamjaza mimba...
Nina wasi wasi na ujogoo wako....
 
Back in days uko ndo tumeanza first year LL.B....
...................... then nimekata ringi hatari, kazi sina yaan nkajua kabisaa hakuna Mungu nikawa hadi Atheist, hahahaahahah
Ndomaana huwa nasemaga kuwa, ukitaka kusoma soma sana mpaka ma PHD, au kama unataka kawaida wewe ishia form 4 kisha piga ka kozi ka kishkaji kisha jichangaje kwenye life. Mtu una LLB kisha unadai umekata ringi? Amakweli walisema kusoma sana ni woga wa maisha.
Ukiangali kwenye ajira wamejaa watu walomaliza form 4 na vikozi kwenye vichuo uchwara lakini magraduate wapo mtaani tu wengine wameishia kuuza duka. kuna demu alikuja kuomba kazi za ndani kwa mdingi wangu, nilikuja jua kuwa demu ni graduate wa UDOm kwenye mambo ya Sijui mnaita uhusiano wa kimataifa, na mwenzake wa kozi kama hiyo anauza mitumba mtaani.
 
Ndomaana huwa nasemaga kuwa, ukitaka kusoma soma sana mpaka ma PHD, au kama unataka kawaida wewe ishia form 4 kisha piga ka kozi ka kishkaji kisha jichangaje kwenye life. Mtu una LLB kisha unadai umekata ringi? Amakweli walisema kusoma sana ni woga wa maisha.
Ukiangali kwenye ajira wamejaa watu walomaliza form 4 na vikozi kwenye vichuo uchwara lakini magraduate wapo mtaani tu wengine wameishia kuuza duka. kuna demu alikuja kuomba kazi za ndani kwa mdingi wangu, nilikuja jua kuwa demu ni graduate wa UDOm kwenye mambo ya Sijui mnaita uhusiano wa kimataifa, na mwenzake wa kozi kama hiyo anauza mitumba mtaani.
vipi lakini alipata kazi ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom