Wanawake hawajui thamani yao ndo maana wanajirahisi hivyo. Pia wanaume walio wengi wako kwa ajili ya kutimiza tamaa zao basi
ha ha ha..., kimsingi kupewa fasta kunapunguza value ya mwanamke. mwanamke hata kama ulikuwa humpend akikuzungusha upendo kwake unazidi, unaona kama ana kitu special ambacho utajitahidi mpaka ukipate. unakuja kula mzigo huku ushaanza kumpenda, so kumwacha sio rahisi kama aliyekupa kwa siku moja.mkizungushwa maneno.....mkipewa haraka maneno!!!!!!!!
hivi mnatakaje??????????
hakuna njia hapa, simama ukaguliweNinapita tu.......
ha ha ha..., kimsingi kupewa fasta kunapunguza value ya mwanamke. mwanamke hata kama ulikuwa humpend akikuzungusha upendo kwake unazidi, unaona kama ana kitu special ambacho utajitahidi mpaka ukipate. unakuja kula mzigo huku ushaanza kumpenda, so kumwacha sio rahisi kama aliyekupa kwa siku moja.
believe or not, mimi ni mwanaume, am talking of my experience.
unatakiwa usikubali haraka,2banien hata wiki ivi.Mfano mimi nilitongozwa na Demu mmoja nikambania kama mwezi ivi ndo nikamkubalia sasa ivi mpango mzima.
Akikuambia anakuchunguza muulize mama wewe ni takukuru......
kama muda upo hata siku ya kwanza poa tu bana kwani kuna tofauti gani ukipewa leo au ukipewa mwakani?
kukompliketisha tu maisha........
Ninapita tu.......
Hahahaha! hahahaha! hyo kali! lkn kuchunguzana na kujuana tabia ni muhimu!
hayo mambo ya kufikiria yashapitwa na wakati......
ila sio unapewa unakimbia, otherwise umwambie ukweli kwamba akusuuzie tu kirungu uchape lapa
we ni mpita njia tu. TATIZO HAWASEMI. NA UKIWA HIVYO WANAMTAZAMO KUWA UKO RAHISI...... MEN R ALSO COMPLICATED!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
dah! ongelea experience yako, ulisha wahi kumuweka reserve mtu huku ukigegedwa na mwingine?Wizi mtuuuupu.....!!!!!!
unawekwa reserve, ukijidanganya unazungushwa wakati wengine wanajisevia tu......
wanawake ni zaidi ya unavowajua.......